Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Heshima ya mtu ni kitu kikubwa sana siwezi kukubali kupoteza heshima yangu hapa no siwezi mkuu neno tapeli ni kubwa sana wakati ujawai kuchukua hata sh 10 ya mtu si sawa hata kidogo mkuu
 
Heshima ya mtu ni kitu kikubwa sana siwezi kukubali kupoteza heshima yangu hapa no siwezi mkuu neno tapeli ni kubwa sana wakati ujawai kuchukua hata sh 10 ya mtu si sawa hata kidogo mkuu
Mkuu ktk maisha inategemea unatukanwa na nani.... Yaani mtu mjinga ana ku provoke simply hivyo?

Kususa ni kumpa ushindi mkuu, mtu hakujui hata sura wala humjui akuumize akili? Tena kwa hizi anonymous IDs unaweza bishana hata na vitoto vya form four....

Binafsi sijibizani nao nawapuuza nawaachia Invisible Moderator Paw Cookie wafanye kazi yao
 
izzo na lusungo kuna ishu naomba niseme kama mtakubaliana nayo.

Hii ni forum kuna mauza uza mengi. Mfano mdogo tu mimi ninaweza kusajili I'd mpya kuja kuwazingua humu ndani kama nitakuwa na wivu na naona wenzangu wanaenda kufanikiwa. Uzi umetoka mbali saana ila kutoka kwake mbali nitabaki kuyaheshimu maamuzi ya izzo maana ni binadamu pia.

Lakin kama mtaafiki ninachofikiria naombeni kwa wachangiaji ambao wameonekana mwanzo mwa uzi hadi mwishoni mtoke nao nje ya hizi anonymity. Then humu michango itaendelea kama kawaida na hawa mtakao toka nao na kuwapush watakuwa kama reference kwa wasomaji wapya. Hii itasaidia kupunguza hizi blah blah za namna hii. Member waliokuwepo toka mwanzoni mtoke nao nje ya jf.

Hili linachangamoto zake ila ni njia nzuri kurahisisha msaada kwa mhusika. Maana hapa kila mtu akija ana lake.
 
Naomba kuwa Host wa mgeni 1 please kama utahitaji namba nitaku PM
Mkuu uzi uko vizuri sana, na mimi nahtaji kuwa host wa mgeni ata mmoja. swala la lugha siyo tatizo kwangu itapendeza sana nikipata hii nafasi.
 
Mimi naomba unijibu my brother
Nimekutumia pm
Tafadhali
Sio samaki wakioza Woote
Usfanye hivyo.
Barikiwa.
 


Mkuu Mutasha ,

Just in case ukikwama kabisa kwa sababu ya hiyo lugha, nijulishe tusaidiane kutatua hilo tatizo lako.

Kaka ...
 
Wakuu me naona Uzi uendelee Kama kawaida ,,Kama mpaka hapa tulipo fikia hakuna mtu aliyepigwa kwanini Uzi usiendelee,,wakuu mambo yaende hapa hapa mchana kweupe ,,kufatana pm ndo mbaya kuliko mnavozani ,mambo yaendee hapa hapa sebleni ,
NB; kushirikishana muhimu katika kila hatua kila jambo hapa hapa sio PM
 
lusungo

Huo uamuzi ni wabusara sana. Mkuu kwani watu hata pass hajamiliki akiona wengine wanafanikiwa rohoo zinawatoka utadhani wanachangia hata namna ya kupata visa.
 
Kabisa mkuu, binafsi nimeamua kutojibu PM kabisa!!
 
Ok naomben ushauriii mimi natafuta zile scholarship za kulipiwa then baadae nakuja kuingia nao mkataba... Coz nilipata scholarship china kusomea udaktari tatizo lilikuja kwenye pesa...
 
Naomba nikuunganishe na mdau wangu wa makerere na university of Nairobi hope they will have something to share kuhusu hiyo course yako

Barikiwa.
 
Heshima ya mtu ni kitu kikubwa sana siwezi kukubali kupoteza heshima yangu hapa no siwezi mkuu neno tapeli ni kubwa sana wakati ujawai kuchukua hata sh 10 ya mtu si sawa hata kidogo mkuu
Mkuu,Izzo binafsi nakuheshim xana,nakuomba tambua kuwa binadamu wote hatuzaliwa na akili ya kufanana ivo kutokea watu wakupinga jambo lenye manufaa kwa watu wengi huwa hawakosekan,ivo nkuomba bro endelea na moyo wa kuwasaidia watanzania wenzio,maana wewe ni miongon mwa watu wachache wnye moyo wa kuwasaidia wengine.
Na nkwambie ukwel binafs toka 2013 nmepata passport nkiwa na ndoto ya kwnda kusaka maisha nje ya nchi lakn nlikosa mtu mwny taarfa sahih ya nin cha kufanya ili nfanikiwe ivo kupitia uzi huu wewe,lusungo na wengne mmeninspire na kufufua ndoto yangu ya kwnda nje ivo ukiacha naona ndoto angu ambayo nliona inakwnd kutimia kupitia uzi huu inakwnda kufa kwa mara ya pili,please kaka nkuomba tusaidie wdgo zako we tired with the situation of our country.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…