Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Kila tambarare lazima iwe na vijiwe vya kukufanya ujikwae, bahari japo imetulia lakini haikosi mawimbi. Hii ni changamoto tu hakuna sababu ya ku-give up......
 
Mkuu Izzo wawezaje kukata mkono kisa mtoto kanyea kiganja cha mkono?!

Wadau twawahitaji sana, never give up
 
[emoji121]
MKUU,

MBONA KAMA MWAJIRI MWENYEWE KIINGEREZA CHAKE KIBOVU KIASI FULANI!!!

ILA TUWE NA SUBIRA.

Katika mambo yote muhimu ni pia kusoma kwa makini hawa watu.

Mimi nadhani huyu mwanamke ni wa Ulaya mashariki na ameolewa na mzungu wa New Zealand.

Au pia anaweza kuwa ni mzungu wa Ulaya mashariki na ameolewa na mzungu wa UK na wakahamia huko Auckland.

Hiyo ni kwasababu wazungu wa Uingereza wanaweza kwenda Canada na New Zealand bila shida kwani hao ni wajomba zao.

Labda Shyshii kama alifanya "initial analysis." ili kutandaza mkeka wa uaminifu.

Ndiyo maana nimesisitiza sana umakini kwenye hili jambo.
 
Bro stop na habari hii, utakuja kujishushia heshima huko ulipo trust me mimi yameshanikuta wabongo si watu utakuja juta kwa kile unachotaka kufanya ...
mgaka12 acha kumtia izzo hofu ya kusaidia watu wengine. Ni hakika anajua sana uwezekano Wa kuwa dissapointed upo (NI SEHEMU YA MAISHA) ila ameamua kutoa kile anachoweza na kila mmoja akichukue na kukitumia kadiri ya uhitaji na utashi wake.

Inawezekana una 'bad experience' ya kusaidia mtu/watu lakini haina maana wrote wako kama huyo/hao. Binafsi sababu kubwa inayonifanya na mimi niwe hapa kutafuta njia ya kutokea ni KUMSAIDIA MTU AWEZE KUISHI NJE LEGALLY. Matokeo yake sasa hivi yeye anacho kile nilichokuwa nacho mimi (PERMANENT RESIDENCE PERMIT ya kuishi nchi moja wapo ya Schengen) lakini siwezi kusema sitokaa nimsaidie tena mtu huko mbeleni nikifanikiwa. Na zaidi SIWEZI KUMSHAURI MTU ASISAIDIE WENGINE. Thats way too selfish. Kutaka aliyefanikiwa abaki kuwa yule yule na wasiongezeke wengine. Sio tabia nzuri. Iwapo were huwezi ama hutaki kusaidia wengine, muache aliye tayari afanye hivyo.

Alamsiki!!!
 
Heshima ya mtu ni kitu kikubwa sana siwezi kukubali kupoteza heshima yangu hapa no siwezi mkuu neno tapeli ni kubwa sana wakati ujawai kuchukua hata sh 10 ya mtu si sawa hata kidogo mkuu
Bro izzo ntaumia xana na uamuz unaotaka kuuchkua,ni kwel inawezkana unaogopa kushusha heshima ako lkn wkat unaogopa kwa maneno ya mtu mmoja ambae kaamua kufungua akaunt JF kwa mission hyo,wadgo zako utakua umetuacha kwny mataa,kaka siktanii 2013 nmepata passport kwa lengo la kwnd kutafta maisha nje lkn nlikosa mtu mwny moyo kama wako wa kunisaidia,
Ivo nkaishia kukata tamaa.

Lkn kupitia thread hii tena kupitia comment ako ya kupitia Malta nliona kwa mara nyngne ndoto ang imefufuka na kuona nlichokuwa naota kinakwend kutimia kwa mara nyngne mpk leo nliamua kwnd kulipa Tshs 64,486/- kwa ajili ya kutafta family host for volunteer in Malta kupitia Website ya warkaway.

Lkn ghafla nmeona mwili wng kama umepgwa ganz nlivoona pale umeandika kuwidraw kwny mission wkat nlikuona wewe ndo kama tochi kwny uzi ule.

Kaka please nkuomba usivunjike moyo rud tisaidie wdogo zako weng wnakutemea kaka,kwa roho yako isiyo na husuda ya kusaidia watanzania wenzio,

Kaka nkuomba fikiria tena uamuz wako kwa manufaa ya wengi kulko hyo mmoja mwny wivu na roho ya choyo dhid ya mafanikio ya watanganyka wenzie.

Tanzania tumechoka,na kwa kulvo sasa ndo matumain ymepotea,bro npo mtaan toka 2013 nmalza degree lkn mpk sasa maisha hayana raman
 
Heshima ya mtu ni kitu kikubwa sana siwezi kukubali kupoteza heshima yangu hapa no siwezi mkuu neno tapeli ni kubwa sana wakati ujawai kuchukua hata sh 10 ya mtu si sawa hata kidogo mkuu

Mkuu Izzo
Umeweza kufungua milango ya kheri Kwa wadau wengi sanaaaaa tu.Jitu moja lenye Roho ya Kwa nini hawezi kukushawishi kuto endelea Na msaada wako hata kama angesemaje.
Heshima yako wadau wengi humu wanaijuwa
Na Kamwe haita potea.
Ubarikiwe Mkuu
 
Wakuu vipi tena tumeacha kujadili mambo ya msingi tumeanza kujadili watu kweli sikio la kufa halisikii dawa kama mtu anaongea wazo lolote siyo vibaya maana kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo.
 
Wew umeona kwa jicho la tatu. Naiona kolabo ya matapeli humu,Yan kuna watu hapa wanapigwa kirahic mnooo.lol
Ule usemi wa kudandia train kwa mbele unakuhusu. Ungekuwa umeanza na sisi tokea mwanzo ungeelewa. Hakuna mtu aliyeambiwa atoe hela. Hata tangazo la kazi/chuo linapotolewa onyo kutokutoa hela yoyote linawekwa. Je nani ameshatapeliwa? Au wewe nani amekutapeli au kukuomba hela? Acheni unafiki, majungu roho za choyo, chuki na ujuaji wewe pamoja na kundi lako mnalosapotiana na kupeana like kwa uzandiki wenu. Usifikiri watu wote huku wanafikiria utapeli kama nyie mlivyomatapeli.
 
Poleni sana izzo, lusungo pamoja na memba wenzangu tukioanza pamoja. Naimani huwezi kula muwa bila kukutana na fundo na ikiwa uko kwenye mteremko jua kuna mlima kabla.

Kweli izzo alijitoa kadri ya uwezo wake. Ana nia njema na watanzania kwa kushirikiana na sisi tunavyoonyesha moyo ndivyo tunavyompa hari zaidi. Lusungo asante kwa msaada wako tokea mwanzo. Daby siwezi kukusahau na wengine wote. Kila mmoja ana vision na mission katika maisha yake. Wengi katika maisha ni wakatisha tamaa na si wakupao moyo. Naombeni muendelee na moyo ambao tulianza nao nyuma. Si wote wenye kupenda pm na lengo ni kuepuka lawama na usumbufu usio na tija. Stunter ni mara nyingi umetuma kwa adm atuwekee jukwaa letu ila mpaka leo bado hawajafanya hivyo na sijui kwa nini. ADM: naomba kama mmeshindwa hilo basi naomba msiwezeshe wengine access ya mada yetu kama ilivyo prohibited kwenye mada zingine watu kuchangia. Naimani mnapitia kila kinachoandikwa na hakuna shaka yoyote kuwa kuna mtu ameshatapeliwa au alitaka kutapeliwa. Hakuna meseji hata moja iliyoihushia hadhi jf wala kuikashfu kuanzia hii mda imeanza hadi mda huu. Hakuna maneno ya kuudhi ambayo yametolewa zaidi ya intruders wenye nia ovu na mada yenu. Tunaomba utusaidie kwa hili dogo
 

Mkuu Marveljt Tafadhali usitoe bendera NYEUPE ya kushindwa.Kweli kaka Izzo kajitolea sanaaaaa tu mpaka hapa tulipofika.Lusango,Daby,Tokyo40 Na wadau wote ambao sikuandika majina Yao tuendelee tu mpaka wengi wafanikiwe.Mlango umefunguliwa kazi kwetu.
Mimi nitachangia Kwa kadri ya uwezo wangu
 
Ok naomben ushauriii mimi natafuta zile scholarship za kulipiwa then baadae nakuja kuingia nao mkataba... Coz nilipata scholarship china kusomea udaktari tatizo lilikuja kwenye pesa...
Tusaidieni kwenye hili sio kwa doctor tu na fani nyengine
Tusaidieni, mesema hamjibu PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…