Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Mkuu Option namba 2 nimeiweka baada ya kuonekana Option number 1 ni ngumu japo mm sijaona ugumu wake so Option namba mbili ni host na kutengeneza conection wa nchi za Canada, USA, Germany , Denmark, Norway, Sweden na Malta so unatengeneza mtandao wa kwenda nchi ambayo unataka ww kwa kupitia mgeni wako utakae muhost so akili ni yako miezi 3 umekaa na mtu ushindwe kutengeneza mambo duh utakuwa unaitaji maombi bt nitakuja na Option number 3 ambayo ni XXL
Ubarikiwe sana Mkuu, endelea na moyo huo huo
 
Jiulize kitu, hapo unapoishi unaweza kulima tuta ukapanda mchicha ukatengeneza hela yako ya kwanza. Na fursa ipo zaidi ukihitaji kutanua hii biashara (huu ni mfano tu). Sasa wewe nenda nje uone kama utaweza kuwa na hilo tuta tu la mchicha!!

Acheni kudanganyana, nenda nje kusoma rudi bongo fursa zimejaa tele hapa. Otherwise kama una utaalamu wako nenda nje ukaajiriwe, kumbuka technologia imesogea zaidi kule hivyo waajiriwa ni wachache. Ukitaka kabebe box, ila kumbuka muda utakaotumia kijana mwenzio anaweza kuongeza biashara yake ya mboga mboga hapa hapa akiisimamia vizuri by the time unarudi huna hata pa kuanzia, mwenzio anakunyoosha tu na greenhouses zake!!


Mchele mixa pumba.

You sound conservative.... kama wale wazee wa long kitambo.

-Kaveli-
 
Mkuu heshima kwako... Umemaliza kitu kuhusu wabongo.


Binafsi mimi hizi roho nyeusi za wabongo ni moja wapo ya sababu kuu ni kwanini naona Tanzania sio mahala pazuri pakuendelea kuishi.


Mkuu wangu wa kazi, kwema?

Hahahaa mkuu umenichekesha. Bongo imejaa roho za korosho kila kona.

Mabeki kibao, ushindi inahitaji sala na kukomaa to the fullest.

Mambo mazuri yapo mbele, tuzidishe misele.

-Kaveli-
 
Britanica alikutenda nini? Mimi sihitaji pesa yoyote nakupa ramani tu...

Kuhusu cheti cha kuzaliwa cha mzazi kisikutishe... Pale uhamiaji hutoa hati za kiapo cha baba au mama, ukienda kuna wanasheria wanakusainia kwa elfu 10 tu ambapo utapatiwa affidavit then utaambatanisha. (muhimu uwe na taarifa kamili za baba au mama)
Ebana nichek 0657316399 tuongee
 
TENGENEZA SHS 17,000,000 NDANI YA MIEZI 6

Ukijiunga na ADSCASH kuanzia sasa hivi unaweza Kupata kipato cha zaidi ya Tshs 17,000,000 ndani ya muda mfupi ujao wa miezi 6 tu!

Kwenye kampuni ya ADSCASH Kuna vifushi vipatavyo 7 vyenye nyota zenye coin hadi 4000!!

Naomba kwa kifupi tu nikufafanulie kifurushi cha nyota 5 na kifurushi cha nyota 7 tu uone maajabu ya kipato kwenye Sarafu hii mpya ambayo inazinduliwa mwisho wa mwezi huu wa Machi!!

Ukinunua Kifurushi cha nyota 5 maana yake wewe utakinunua kwa zaidi ya shs 50,000 kama uwekezaji wako kwenye kampuni na hapo utapata coin 1000!!!!

Hizo coin 1000 + 100 utakuwa na coin 1,100. Endapo utazibadilisha kuwa dollars au Bitcoins hapo ndipo utapewa fedha!!

Kama coin moja itakuwa $1 utalipwa $ 1,100 takribani shs 2,600,000 hivi!

Kama coin itakuwa ni $5 wewe hapo utakuwa na utajiri wa $5,500 au shs milioni 13,000,000 hivi!

Na kama coin moja itapanda bei hadi kufikia$10 ( eeeeh Mungu saidia ipande haraka) mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 hicho atakuwa na $11,000 sawa na zaidi ya shs 25,000,000!!

Kwa hiyo mtu mwenye kifurushi cha nyota 5 huo ndo ushuhuda wake utakavyokuwa kwa mwaka mmoja huu ndani ya Adscash business!!

Mambo matamu sana yanakuja!! Wajasiriamali wa ukweli huwahi fursa za ukweli!!

Ukiwa na kifurushi cha nyota 7 chenye coin zaidi ya 4000+100 utakuwa na uwezo wa Kupata team bonus zote za team yako!!

Hadi siku ya UZINDUZI coin za adscash zitakuwa na bei ya centi 2.5 za kimarekani!! Coin 4000 utazinunua kwa USD 100 !! Baada ya uzinduzi wa kampuni hii coin zako 4100 utaweza kuzitoa au withdraw 4100 kwa rate ya $1 au $2! Hapo sasa coin zako 4100 zitakuwa na thamani ya $4,100 sawa na Tshs 9,500,000 hivi kwa rate ya $1 kwa coin!

Kama coin moja itakuwa$2 hapo utakuwa na
$8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Endapo mtu mwinye team kubwa hatanunua package yoyote hatapata pesa hiyo! Ataambulia coin 100 tu hizo za Bure!

Na huu utakuwa ujinga wa hali ya juu kuamua kujiunga na wajinga wasioona mbali!! Yaani wewe unaweza kuanzia wapi kwa mfano kuacha kuwekeza kwenye Sarafu za adscash kwa shs 250,000 ambazo zaweza kukupatia Tshs 17,000,000 baada ya miezi mitatu au sita?

Jiunge sasa kwa Link hiyo chini na upate coins 100 bure kisha utakuja kuamua uwekeze katika kifurushi gani kulingana na uwezo wako.

(AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.)
Utapelii huu nimesha umizwa mwenzenu hata msijaribu najuta na Bitcoin hakya Mungu utapel mtupu
 
BEI YA VIFURUSHI VYA KUANZA BIASHARA YA ADSCASH BAADA YA UZINDUZI RASMI

Kuna VIFURUSHI vya nyota saba. Nyota 7 ndicho kifurushi cha juu zaidi kikiwa na coin 4000

Bei ya coin kwa sasa ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!!

Hivyo sasa vifurushi vya Adscash vitakuwa kwa bei ifuatayo kabla na Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars 10 sawa na shs 25,000 hivi!

Kifurushi cha Nyota 7 kitakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 hivi

Kifurushi cha nyota 6 kitakuwa na coin 2000. Bei yake itakuwa ni USD 50 sawa na shs 115,000

Kifurushi cha nyota 5 kitakuwa na coin 1000 zenye thamani ya USD 25 au Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi cha nyota saba kitauzwa si chini ya shs 50,000

Kifurushi Cha nyota 4 kina coin 400 zenye thamani ya dollars 10 sawa na shs 20,000 hivi! Ili kununua kifurushi Cha nyota 4 utatakiwa utoe siyo chini ya shs 20,000!!!

Kifurushi Cha nyota 3 kina coin 200 zenye thamani ya USD 5 sawa na shs 10,000 !

Kifurushi Cha nyota 2 kina coin 100 zenye thamani ya USD 2.5 sawa na shs 5,000 hivi!

Kifurushi cha nyota 1 kina coin 1 yenye thamani ya USD 0.03 sawa na shs 50 hivi!

Hivyo ndivyo VIFURUSHI vya Adscash kabla ya UZINDUZI wa kampuni hii!UTAJIRI UTAKAOUPATA KUTOKA ADSCASH COIN BAADA YA UZINDUZI MWISHO WA MWEZI HUU WA MACHI 2017 KULINGANA NA KIFURUSHI CHAKO!

Sarafu ya Digitali iitwayo Adscash inaanza kufanya kazi mwezi huu wa Machi mwishoni!! Wote ambao wamejiunga na ADSCASH mwezi ujao wa April watashindwa kuamini ukubwa wa pesa watazopata kila siku au kila wiki au kila mwezi!!!

Kama wewe utakuwa umewekeza kwenye kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000+100

Bei ya coin kwa bei ya Ufunguzi kwa wote ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!! Hii imetulia sana!! Maana yake ni kwamba watu watapata coins kibao kwa bei ndogo sana!!

Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars kutoka 0.025 USD siku ya uzinduzi hadi $10 Sawa na shs 50 hadi shs 25,000 hivi kwa coin moja!!

Tuanze mfano wa kwanza!

Kama utanunua kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 (BTC 0.09)hivi utakazotoa!! Sasa piga hesabu za chini Adscash coin inapanda baada ya uzinduzi na kufikia $2. Hizo coin zako zitakuwa na thamani ya $8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!

Mfano wa pili:

Kama utanunua kifurushi cha nyota 6 utakuwa na coin 2000+100 utakazozipata kwa USD 50 sawa na shs 115,000!! Baada ya uzinduzi coins ikiwa na thamani ya $2 utakuwa na $2 x 2,100 = $4,200 sawa na zaidi ya shs 10,000,000 hivi! Amazing!!

Mfano wa tatu:

Kama utanunua kifurushiifurushi cha nyota 5 chenye coin 1000 +100 utazipata kwa USD 25 takribani Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi hicho kitakuingizia Dollars $2 x 1,100 = $ 2,200 Sawa na zaidi ya shs 5,000,000!!

Watu wengi wanauliza swali eti hizo pesa zote wazitoa wapi?

Jibu:
Hizo pesa hazitoki kwenye kampuni hii bali zitatoka kwako mwenyewe uliyewekeza! Ukinunua coin 12,000 kwenye kampuni hii ni zako! Kama Ukiamua kusubiri miezi 12 kwanza ili coin zako za adscash zipande hadi kufikia $10/ADS utakuta una $120,000 sawa na zaidi ya Tshs 260,000,000 baada ya miaka 2 tu!

Hii ni sawa na kusema kila mwezi unalipwa Shs 11,000,000 sawa na shs 355,000 kila siku kwa uwekezaji wa 700,000 tu.

Kumbuka kuwa hapo sijajumlisha vipato vya:

1. Gawio la kila siku kutoka kwenye faida ya matangazo ya kampuni hii!

2. Team bonus payment (kwa wale wenye team chini yao) ambayo kwa kweli kama una team yako kubwa!!!! Pesa yako waweza usiamini jinsi itakavyokuwa kubwa sana sana!!

Hivyo ndivyo watu wote waliowekeza kwenye Adscash wanavyotazamia kubadili maisha yao kuanzia April 2017!!

Bado wiki mbili tu kampuni ianze kazi rasmi sokoni!!! Tengeneza team kuuuuubwa kwenye Adscash utengeneze pesa kuuuuubwa!!
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.
Wezi wakubwa nyie nawatafuta nyie matapel kama nin yan
 
Hahaa kwenye hii ishu ya ku host wageni nitaomba wabongo tuwe makini sana kwani wazungu ni tofauti kabisa na sisi.

Binafsi nimefanya kazi za utalii kupeleka wageni mbuga za wanyama na mt Kilimanjaro, mgeni anaweza akakuzoea kiasi kwamba anakukiss, hugg na bla blaa nyingi tu lakini hamaanishi mfanye ma....penz, na ukiloba tu hapo umeharibu kila kitu ... Hapa sijui nieleze vipi.

Kuna mkasa mmoja uliwahi kutokea waiter asubuh aliingia kwenye hema la mgeni ili kuwapatia bed tea akafungua zip ya mlango bila kugonga hodi, wageni kumbe walikuwa bila nguo wanafanya michezo ya usiku, gafla bin faster jamaa Si akawa kesha wapiga chabo bila kuwaona.....kilichofuata waligoma kuendelea na safari.

Tuliwabembeleza sana lakini walikataa kuna pesa ambao kwa kawaida hutoa inaitwa Tip. Sio mshahara ni kama zawadi lakini ni lazima itolewe kikawaida nayo waligoma kutoa yani kiufupi kwa kukosea kwa waiter kugonga kabla ya kuingia kazi yote iliharibika.

Somo hapa waweza kukaa na mtu kwa miezi 3 then yote ukaharibu ndani ya siku 1 na ikawa kazi bure.

[HASHTAG]#mkuu[/HASHTAG] Izzo nimejiregister help stay lakini sijafanikiwa kupata watalii nazani kwa maelezo yako utafungua njia na kwa kuwa nina uzoefu wa kuishi na wazungu wa nchi mbalimbali sitokuangusha ukinipatia nafasi kuwa host family.

Pia wageni kama hao wanapendelea zaidi kukaa ndani ya familia kujifunza tamaduni na kutembelea maeneo ya utalii sio mtu unakaa na mgeni ndani unamletea muvi tu alafu wewe uko busy na smartphone.

Kwa hili ubunifu unahitajika pili host anapaswa kuwa na average behavior, not too hursh, careless. Standard living neither too poor nor rich.

Mwisho kabisa ukiwa host never disclosure all of your potential to your client. Hapa ndio msemo wa ukifaa na kiu baharini we ni mzembe unaingia, wazungu ni wajanja sana na mara nyingi hawafanyi kitu kwa bahati mbaya anaweza kukupima degree za uvumilivu, uaminifu na mengine mengi kupitia vitu vidogo vidogo sana. Ndio maana nasisitiza don't take opportunity of being host for granted
Dah nafikiri mkuu hii option uliyotoa imekaa vizur sana na nimeielewa uwezo wa kujitolea kuhost hawa wageni naona ni njia safi sana ni wewe tu kutengeneza mazingira na mgeni wako.

Sasa mkuu hapa utatusaidia vipi kupata hapo wageni maana nimetafakari sana na maamuzi niliyoona ni vema kupata exposure kwa kuanza kuhost hawa wageni nyumbani kwako
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Poa mkuu tunasubiri mrejesho toka kwenu
Siwezi sema nimefikia hatua gani mkuu maana plans tend to change. But nafikiri nipo sehemu nzuri.

Nikiona njia nayotumia imenyooka nitakuwa na ujasiri wa kuiweka hapa na nyie muifuate ila kwasasa acheni ni take risk mwenyewe. [emoji4][emoji4]
 
Hahahah mkuu pole sana aisee.... Ilikuaje? Nimegundua wabongo ni wepesi mno kutapeliwa... Shida na msongo wa maisha zinawafanya watapeliwe kirahisi.
Nikiwa Uganda chuon kuna rafikiangu alikua bongo nakunijulisha kua kajiunga na hio Bitcoin na kapata mahela kibao, basi kwakua napenda pesa nakwakua nilikua na mwamin sana rafiangu nikamtumia kama laki 3 na nus ili aniunge kutokana na maelezo yake. Kweli baada ya kutuma ile pesa jamaa hakuchelewa akanitumia documents kwenye email address yangu na password kila kitu, nikimaanisha account alinifungulia yeye kwelii nikawa nikiingia kwenye mtandao hela inaonekana inaongezeka lakin ukwel nikwamba hio hela huwez itoa ikaingia kwenye sim yako kama wanavodai wala kumuuzia mtu yeyote kama wanavodai hata ukifanya transaction kwenda kuwauzia wao wenyewe utaambiwa network inasumbua mala lugha kibao mwishowe wanabadilisha mpaka lain za sim. Nahaija nikuta pekeangu nimekuta watu kibao wanalia na hizo biashara za pyramid scheme
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
https://www.google.com/url?sa=t&rct...sg=AFQjCNH9Pvbb83aZc4r_XxpdH36SWqh9aA&cad=rja
Asante sawa mkuu Izzo Mungu akubalic ngoja nipitie hzo scholarship za masters Malta. Swali la nyongeza ukienda kimasomo si unaweza pata part time job kwa malta??
 
Back
Top Bottom