BEI YA VIFURUSHI VYA KUANZA BIASHARA YA ADSCASH BAADA YA UZINDUZI RASMI
Kuna VIFURUSHI vya nyota saba. Nyota 7 ndicho kifurushi cha juu zaidi kikiwa na coin 4000
Bei ya coin kwa sasa ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!!
Hivyo sasa vifurushi vya Adscash vitakuwa kwa bei ifuatayo kabla na Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars 10 sawa na shs 25,000 hivi!
Kifurushi cha Nyota 7 kitakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 hivi
Kifurushi cha nyota 6 kitakuwa na coin 2000. Bei yake itakuwa ni USD 50 sawa na shs 115,000
Kifurushi cha nyota 5 kitakuwa na coin 1000 zenye thamani ya USD 25 au Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi cha nyota saba kitauzwa si chini ya shs 50,000
Kifurushi Cha nyota 4 kina coin 400 zenye thamani ya dollars 10 sawa na shs 20,000 hivi! Ili kununua kifurushi Cha nyota 4 utatakiwa utoe siyo chini ya shs 20,000!!!
Kifurushi Cha nyota 3 kina coin 200 zenye thamani ya USD 5 sawa na shs 10,000 !
Kifurushi Cha nyota 2 kina coin 100 zenye thamani ya USD 2.5 sawa na shs 5,000 hivi!
Kifurushi cha nyota 1 kina coin 1 yenye thamani ya USD 0.03 sawa na shs 50 hivi!
Hivyo ndivyo VIFURUSHI vya Adscash kabla ya UZINDUZI wa kampuni hii!UTAJIRI UTAKAOUPATA KUTOKA ADSCASH COIN BAADA YA UZINDUZI MWISHO WA MWEZI HUU WA MACHI 2017 KULINGANA NA KIFURUSHI CHAKO!
Sarafu ya Digitali iitwayo Adscash inaanza kufanya kazi mwezi huu wa Machi mwishoni!! Wote ambao wamejiunga na ADSCASH mwezi ujao wa April watashindwa kuamini ukubwa wa pesa watazopata kila siku au kila wiki au kila mwezi!!!
Kama wewe utakuwa umewekeza kwenye kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000+100
Bei ya coin kwa bei ya Ufunguzi kwa wote ni USD 0.025 sawa na shs 50 hivi!! Hii imetulia sana!! Maana yake ni kwamba watu watapata coins kibao kwa bei ndogo sana!!
Baada ya uzinduzi coin moja inatarajiwa kupanda hadi dollars kutoka 0.025 USD siku ya uzinduzi hadi $10 Sawa na shs 50 hadi shs 25,000 hivi kwa coin moja!!
Tuanze mfano wa kwanza!
Kama utanunua kifurushi cha Nyota 7 utakuwa na coin 4000. Bei yake itakuwa ni USD 100 sawa na shs 215,000 (BTC 0.09)hivi utakazotoa!! Sasa piga hesabu za chini Adscash coin inapanda baada ya uzinduzi na kufikia $2. Hizo coin zako zitakuwa na thamani ya $8,200 sawa na Tshs 17,000,000 hivi!
Mfano wa pili:
Kama utanunua kifurushi cha nyota 6 utakuwa na coin 2000+100 utakazozipata kwa USD 50 sawa na shs 115,000!! Baada ya uzinduzi coins ikiwa na thamani ya $2 utakuwa na $2 x 2,100 = $4,200 sawa na zaidi ya shs 10,000,000 hivi! Amazing!!
Mfano wa tatu:
Kama utanunua kifurushiifurushi cha nyota 5 chenye coin 1000 +100 utazipata kwa USD 25 takribani Tshs 50,000! Kwa hiyo kifurushi hicho kitakuingizia Dollars $2 x 1,100 = $ 2,200 Sawa na zaidi ya shs 5,000,000!!
Watu wengi wanauliza swali eti hizo pesa zote wazitoa wapi?
Jibu:
Hizo pesa hazitoki kwenye kampuni hii bali zitatoka kwako mwenyewe uliyewekeza! Ukinunua coin 12,000 kwenye kampuni hii ni zako! Kama Ukiamua kusubiri miezi 12 kwanza ili coin zako za adscash zipande hadi kufikia $10/ADS utakuta una $120,000 sawa na zaidi ya Tshs 260,000,000 baada ya miaka 2 tu!
Hii ni sawa na kusema kila mwezi unalipwa Shs 11,000,000 sawa na shs 355,000 kila siku kwa uwekezaji wa 700,000 tu.
Kumbuka kuwa hapo sijajumlisha vipato vya:
1. Gawio la kila siku kutoka kwenye faida ya matangazo ya kampuni hii!
2. Team bonus payment (kwa wale wenye team chini yao) ambayo kwa kweli kama una team yako kubwa!!!! Pesa yako waweza usiamini jinsi itakavyokuwa kubwa sana sana!!
Hivyo ndivyo watu wote waliowekeza kwenye Adscash wanavyotazamia kubadili maisha yao kuanzia April 2017!!
Bado wiki mbili tu kampuni ianze kazi rasmi sokoni!!! Tengeneza team kuuuuubwa kwenye Adscash utengeneze pesa kuuuuubwa!!
AdsCash a new secure ,decenralized cryptocurrency exclusively for the Adworld. A new advertising payment system.