Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

izzo nakuelewa sana,mimi natamani nirudi hata leo tz nianze michakato ila nina contract ya kazi imenibana mpaka mwezi wa 7 ntarudi tz.
wabongo wanapenda stori lakini kufanyia kazi ni suala jingine.
Kuna ndugu nmempa mpango mzima wa kwenda Malta kutafuta maisha na nauli ntamuazima kanijibu nisubiri atafikiria wakati anakaa nyumbani hana kazi wala nini,anakaa kwenye tv 25 hours..
Nipe mie hiyo nauli ntakuludishia nkijaliwa
 
Ushauri mkuu naona ingekuwa vizuri sana kwa wale ambao wako tayari kulipuka na njia ya pili ambayo iliyoelekezwa hapo ya kuhost wageni tufanye kujiregister na ifahamike wangapi wako tayari na kwa upande wa mkuu aliyesema atatusaidia kwa hili tuweze kumrahisishia na yeye mipango yake..
 
Mkuu hii option ya pili kama nilovyochangia hapo kwanza naona ni bora zaidi kwakuanzia kupata exposure kwa watu kama sisi tunaoanza Mimi nipo tayari kuwa host mkuu naimani utaniweka kwenye list yako nipate mgen mmoja.
Safi sana naona mwitikio ni mkubwa mkuu izzo njoo ujionee huku ndugu zako hatukuangushi kamwe.
 
Kwani wewe haupo.

Kuna watu wameongezeka hawana chochote zaidi ya utani. Ndiyo maana nimeacha nafikiri umenielewa.
Ni kweli mkuu jana nimekutext bila shaka ulikuwa kwenye mihangaiko vipi jamaa etu anaenda vyema siyo?
 
Ndugu zangu jana nilitoa list ya balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwani nchi ya Malta ina balozi chache sana kwa nchi za Africa balozi zipo Africa ya kaskazini so wanachofanya kuna balozi ambazo unaweza kuomba visa ya Malta kwa Tanzania ni balozi ya Italy ndio unaweza pata visa ya Malta njia ya kwenda Malta ni tatu kusoma,kutalii,kutembea hii inahusisha kufanya kazi kwa kujitolea ambapo yule unayefikia kwake anakutumia barua ya mwaliko

Kama unakwenda kwa ajili ya kufanya kazi ya kujitolea mara nying ni kazi za mikono ambazo unatakiwa kuwa unazijua ni
1 ufundi wa mbao au saidia fundi
2 kuchunga na kuangalia wanyama {mifugo}
3 kupika hii ni kwa wanawake
4 kutunza watoto hii ni kwa wanawake
5 kutunza bustani hii ni kwa wote

Napendekeza kama kazi ya kujitolea ukafanye kijijini au kwenye miji midogo faida yake ni
1Kwanza utajua Lugha zaid ya moja yani lugha ya wenyeji
2 unakuwa unaply low profile{kwani watu ni wachache na wengi ni wazee ambao mala nying hawana mpango na mtu}
3 Ni vyepesi kupata mdhamini wa kukuombea uraia endapo utakaa mwaka mmoja
4 Wengi kule ni wazee so mzee siku zote wanaaminika sana kwa serikali na taasisi zake so kama akikuombea uraia process zako zitakuwa fupi tofauti na akikuombea kijana

Vijiji na miji ya Valletta,Mdina, Zabbar,Cospciua na st paul"s bay

Wale wakina John kisomo kule scholarship nyingi ni kwa level ya masters na PhD ambazo nying ni za serikali BT ninazo scholarship za Sweden,Canada,Denmark , Australia ,Austria ,Germany , Finland, NZ lakini nying ni Masters na PhD lakini mission yetu ni Malta so tunajikita kwenye Malta

Note ; ni uhakika kama ukifanikiwa kukaa ndani ya MALTA mwaka mmoja kupata uraia ni vyepesi na ukifata process zote utafanikiwa lakini pia Mungu ni wa kumuomba kwa kila jambo pia

Kama utafanikiwa nchi za kwenda kwa ulaya ni za Scandinavian country na Ujerumani,Canada, USA kwa sasa hakuna free visa kwa nchi za ulaya mpaka pale watakavyobalisha Luxembourg nchi ambazo usiende kwani ni kimeo ni Italy,Spain, Ufaransa kwani kazi hakuna na maisha ni magumu UK wamejitoa EU so sidhani kama kuna free visa


kuhusu jeshi nilishazungumzia labda kama kuna swali naweza ulizwa

Kumbuka jeshi la wenzetu mafunzo si magumu sana kama huku kwetu najua wengi wanaweza ogopa kutokana na mafuzo huku ni kukomoana kule ni kufundishana majeshi ya wenzetu wamewekeza kwenye technology si katika nguvu za mwili mambo ya kuvunja matofali au kuvuta gari kwa meno hakuna labda uwe kwenye vikosi maalumu kama special force na commando wenzetu siku hizi ni kubonyeza botton tu vinatoka vitu mpaka sijui mkutane mpigane mieleka siku hz hakuna room hiyo siku hiz zinatumwa spy UAV{Unmanned aerial vehicle} inapiga picha jion pilot mmoja au wawili wanachukua chombo aidha fighter jet au bomber ambazo hazionekani kwenye rada na kwenda kudrop madude then baada ya masa 6 au 10 wamerudi huku uko walipo kwenda wakiacha vilio tu na kazi ya ambulance kwa ajili ya kubeba majeruhi au maiti na fire kwa ajili ya kuzima moto

Pia kwa wenzetu jeshi ndipo vitu bora vinapatikana kuanzia elimu bora na huduma bora za afya kwani viongozi wote wa serikali wakiumwa utaskia wamepelekwa kwenye hospital za kijeshi wanasema kitu chochote bora duniani kinapatikana jeshini kwa wale wanaotaka kuomba kazi moja kwa moja unaweza pita hapa www.maltajobport.com

mwenye swali aulize bt no pm kwani sito jibu msg ya mtu yeyote

kirikou1 kweupee Hary Jay Ndata Prishaz WiseLady Mrike wembeee talentboy Dr.adams faida Daby Tombstone Piledrive Padri Mcharo Shyshii lucley kui tagamwa binti kiziwi dangadunguri Tembo2 lusungo kweupee pius1021 Prof cognition Agogo Jr Chakochangu soul provider Mrike
https://www.google.com/url?sa=t&rct...sg=AFQjCNH9Pvbb83aZc4r_XxpdH36SWqh9aA&cad=rja
Kaka jeshini kunaumri wa kuingia na ukivuka ndo mwisho huwezi kuingia sasa vp huko malta umru gan unafaa kuingia jeshini maana bimeona hiyo ndo njia ila nlitaka nijipime kiumri kama nitafaa
 
Safi sana naona mwitikio ni mkubwa mkuu izzo njoo ujionee huku ndugu zako hatukuangushi kamwe.
Yaani Dr ..option ya pili ndiyo ya kukomalia kwanza tutengeneze connection tujue uhalisia wa kwao kwa nadharia kutoka kwao then nafikiri itakuwa tumejisogeza sehemi Fulani kwanza
 
Kujiunga na jeshi kwa ulaya ni mpaka miaka 32 kwani kwa wenzetu jeshi ni service si kazi kama vile ilivyo Africa na project si kujiunga na jeshi la Malta bt ni kupata uraia wa Malta ili kuweza kupata nafasi ya kufanya kazi na kuishi nchi za Ulaya na kujiunga na jeshi kwenye nchi za Ulaya yani A list za ulaya

Kaka jeshini kunaumri wa kuingia na ukivuka ndo mwisho huwezi kuingia sasa vp huko malta umru gan unafaa kuingia jeshini maana bimeona hiyo ndo njia ila nlitaka nijipime kiumri kama nitafaa
 
Yaani Dr ..option ya pili ndiyo ya kukomalia kwanza tutengeneze connection tujue uhalisia wa kwao kwa nadharia kutoka kwao then nafikiri itakuwa tumejisogeza sehemi Fulani kwanza
Ni kweli mkuu tumsubili mkuu izzo mwezi April awalete wageni hao tukomae naimani tutafanikiwa endapo tutakuwa na mshikamano.
 
Kaka jeshini kunaumri wa kuingia na ukivuka ndo mwisho huwezi kuingia sasa vp huko malta umru gan unafaa kuingia jeshini maana bimeona hiyo ndo njia ila nlitaka nijipime kiumri kama nitafaa
Mkuu malta umri kwa nchi ya malta mwisho 32 yrs
 
Ni kweli mkuu tumsubili mkuu izzo mwezi April awalete wageni hao tukomae naimani tutafanikiwa endapo tutakuwa na mshikamano.
Sasa mkuu tuombe tu Mungu amfanyie wepesi mwenzetu Izzo....halafu ingekuwa vema spate listi ya ambao wako tayari ili kwake na sisi kuweza kujipanga maana naimani hao wageni kuna vitu vya msingi sana wataviconsider kama vile
1: bedroom type
2:number of people in a house
3: neighborhood
4: transport za kuelekea town kama ni nje ya mji kidogo
5: cultural aspects
6: chakula if shared or not
7:sehemu za kutembelea maana hawaji kukaa ndani tyu
8: toiletries na bathroom so unajua mkuu aina za vyoo vyetu tunashare tyu mpaka na wapangaji



Mkuu Tumwombee wepesi Bwana izzo kwa ambao tumeamua kwanza na hii option ya pili jlya hosting
 
Kwa wewe uliye na ajira na una degree moja, opportunity hii hapa ya kusoma masters organised na waswisi. Kuna module utakwenda Geneva, apply sasa maana deadline ni trh 15.03 yaani kesho kutwa. Bahati uliyo nayo ni kuwa Tanzania imewekwa kama priority country so unaweza pata scholarship. Unachotakiwa kuraise kwa upande wa huku ni 3,500 CHF tu. Hizi unaweza tafuta namna ya kupambana ukapata.

Kwa maelezo zaidi pitia hii link Executive Master in Development Policies and Practices (DPP) - The Graduate Institute, Geneva
Hiyo 3500 CHF ni sawa na shilingi ngapi za kibongo?
 
Back
Top Bottom