Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

It's hard to tell who has your back, from who has it long enough just to stab you in it.... izzo tunataka majibu ya hili hahahahahahahahahaha now u gat my point
Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number [HASHTAG]#2012[/HASHTAG] na post no [HASHTAG]#2044[/HASHTAG]

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number [HASHTAG]#118[/HASHTAG] nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number [HASHTAG]#367[/HASHTAG] ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no [HASHTAG]#869[/HASHTAG] nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number [HASHTAG]#2299[/HASHTAG]

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilijikubu basi sidhani kama zinafika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number [HASHTAG]#930[/HASHTAG] bado nikisisitiza no PM

Katika post number [HASHTAG]#1681[/HASHTAG] nilikuwa namwambia kaveli na post number [HASHTAG]#1673[/HASHTAG] post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post [HASHTAG]#1673[/HASHTAG] nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number [HASHTAG]#2137[/HASHTAG] tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number [HASHTAG]#2137[/HASHTAG] kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo
 
Kwahyo unamalizia kwa kusema?
Asisaidie watu kisa wewe uliowasaidia walifanya hovyo?
Toa ushauri lakini usimkataze mtu mkuu na ikiwezekana jaribu kusaidia tena utakutana na malaika na ndo hapo utakapo shangaa kumbe sio wote wapo km wale waliokutendea ndivyo sivyo.
Shyshii nimemwambia anisaidie kama aone heshima nitakayomletea hadi atatamani aongoze misaada kwa wengine ila inaonekana ana lake jambo
 
izzo nimekusoma nimekuelewa saana. Wote humu ni watu wazima na tunauwezo wa kupambanua mambo. Kwangu mimi kama hayo ndiyo maamuzi yako all the best brother. Ninashukuru saaana saaana tena saana kwa michango yote uliyoitoa hapa imeniongezea nilichokuwa sina hapo awali.

Asante saana na kila kheri.
 
Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number 2012 na post no 2044

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number 118 nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number 367 ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no 869 nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number 2299

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilikubu basi sidhani kama zinatika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number 930 bado nikisisitiza no PM

Katika post number 1681 nilikuwa namwambia kaveli na post number 1673 post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post 1673 nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number 2137 tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number 2137 kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo
Ndugu izzo, dawa kubwa ya mpuuzi ni kupuuzwa.
 
Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number 2012 na post no 2044

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number 118 nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number 367 ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no 869 nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number 2299

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilikubu basi sidhani kama zinatika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number 930 bado nikisisitiza no PM

Katika post number 1681 nilikuwa namwambia kaveli na post number 1673 post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post 1673 nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number 2137 tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number 2137 kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo
Mkuu Izzo. Sijui nisemeje, ila tahadhari ulitoa mara kwa mara naza kutosha. Pia mimi ni mmoja wa tuliozungumza pembeni. Nakiri mazungumzo yetu hayakuhusu pesa, na bado ulisisitiza si vyema kuzungumza pembeni. Mwenye kuelewa atakuwa amekuelewa.
 
Denmark ni nchi ya scandinavia... Ni nchi yenye maisha ya raha na amani sana japo ni nchi ndogo... Njia rahisi kwenda huko unaweza kwenda as tourist then ukifika huko unapambana upate wa kumwoa hata kwa makaratasi tu ili upate kibali cha ukaazi.
Naomba unieleweshe vizuri hapo kwenye makaratsi inakuwaje,,Nimechoka na haya maisha, maana napenda Sana hii nchi mpka nimeanza kujifunza kidanish
Tak
 
Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number 2012 na post no 2044

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number 118 nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number 367 ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no 869 nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number 2299

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilikubu basi sidhani kama zinatika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number 930 bado nikisisitiza no PM

Katika post number 1681 nilikuwa namwambia kaveli na post number 1673 post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post 1673 nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number 2137 tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number 2137 kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo
The truth is incontrovertible. Malice may attack it, ignorance may deride it, but in the end, there it is. Mkuu izzo soma post zangu vizuri i was in ur side hahahahahahahahaah
 
Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number 2012 na post no 2044

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number 118 nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number 367 ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no 869 nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number 2299

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilikubu basi sidhani kama zinatika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number 930 bado nikisisitiza no PM

Katika post number 1681 nilikuwa namwambia kaveli na post number 1673 post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post 1673 nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number 2137 tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number 2137 kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo
we can't believe Mkuu izzo kama unachukua maamuzi hayo although ni ya busara,tunakuhitaji zaidi sasa hivi kuliko mda wowote ule please fikiria tena.
huyo mtu ni wa kum ignore tu.
 
Kule bondeni fursa nilizoziona kwanza ni biashara ndogondogo ni rahisi kufanya kama kuuza mabegi soksi nk pia wageni wengi wanafanya biashara za barber shop, kazi za mahotelini hasa upishi wanalipa vizuri na kazi za dox kwenye meli zinazofanyiwa marekebisho niliona wabongo wengi wakifanya kazi huko upande wa safety kama firefighter but hazilipi vizuri labda upate kwenye meli za uvuvi mnaweza kukaa hata mwezi huko baharini na wakirudi huwa wanalipwa vizuri na kuna wenzetu kama warundi wakongo wao naona wanafanya sana kazi za ulinzi
Kuhusu suala la barber shop labda baadhi ya sehem zenye joto, lakini maeneo yenye baridi huwa hawanyoi mara kwa mara, sio sawa na bongo
 
Ni heri ukaenda kabisa huko scandinavia... Kule hata fursa ya kusoma ni bure kama una kibali cha ukaazi... Sweden na Denmark unasoma na kulipwa juu.... Ni nchi zina raha sana kuliko US na UK!!
Tusaidie mkuu, mi ndoto yangu kuishi Denmark, Jamani naomba mnipe mwangaza, pleaseee
Sina ndugu Wala jamaa,
Naanzaje mchakato
 
Mkuu Izzo. Sijui nisemeje, ila tahadhari ulitoa mara kwa mara naza kutosha. Pia mimi ni mmoja wa tuliozungumza pembeni. Nakiri mazungumzo yetu hayakuhusu pesa, na bado ulisisitiza si vyema kuzungumza pembeni. Mwenye kuelewa atakuwa amekuelewa.
Najaribu kuwasiliana na Invisible aje kuufagia uchafu humu kisha tuendelee. So hao watu wapuuzeni.

Hamna yeyote alieombwa hela wala chochote zaidi ya kupewa ushauri ila naona kama kawaida yetu wabongo tunataka haribia wengine. Binafsi hata PMs sasa sisomi mpaka tuwafagie hawa wapuuzi.
 
Guyz labda niweke Wazi hapa Hope mnaweza Nisaidia sana Na ninashukuru wote nilo wafuata PM na mkanisaidia kunishauri!! THANKX sana Dada SEGITO wa SA kwa kunisaidia na Kuonesha nia ya kuendelea kunisaidia nitaendelea kuongea nawe kwa msaada zaidi

Lakini kupitia huu uzi nimeamua kuweka wazi ili watu wanisaidie Please nakuombeni sanaa msaada wenu!

Mm ninasoma RADIOLOGY hapa Tanzania na Hapa kwetu Radiology (MRI,PLAIN X-RAY,CT SCAN,ULTRASOUND,NEUCLEAR IMAGING,MAMMOGRAPHY,) HAPA Tanzania kwa wano Jua ni kuwa Hamna DEGREE ya hichi kitu.....hapa Tanzania kuna DIPLOMA tuuu! sasa wenye degree ya DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY HAPA TANZANIA NI WA KUHESABU i mean ni wachache sanaaa tena sanaaaaa kuliko kozi nyingine yoyote hapa nchini!!

Wengi wanachukua Bachelor KENYA,UGANDA NA SA! sasa kupitia huu uzi huenda watu wakanisaidia nami Niweze kupata BACHELOR ya DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY nchi nyingine yoyote ilee iwe SA,KENYA,UGANDA au nchi nyingine yoyote ile!!! Lengo niweze kufanikisha kupata Bachelor! ......Before nilijua SA ni gharama ndogo kusoma na Nigeweza lakini kadri siku zinavyokwenda na ninavyo haha kutafuta huku na kule naambiwa SA ni gharama sanaa!! Bado sijakata Tamaa naamini ndoto yangu itatimia kusoma nje ya Tanzania Kupita huu uzi!!

Mwezi wa 8 Ninamaliza hvyo ningependa kuunganisha either mwezi wa 9 hadi wa 12 au mwanzoni mwa mwaka 2018 sipendi sanaaaaaa kukaa mda mrefuuu mtaani naweza poteza ndoto zanguu!!!

So nipo hapa kuomba ushauri wenu wa Kimawazo,kimatendo hata kwa ushauri nini nifanye niweze kufanikisha ndotoo hiii iwe kwa sponsorship,scholarship au njia nyingine yoyote ilee kikubwaa Nisome Bachelor ya DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY

kwa kuanza na kwa kutegemea makubwa katika huu uzi naomba nishie hapo na Ni SUBIRI HUOO MSAADAA please yeyote yule anaeweza nishauri chochote kitasaidia

Cc Daby,Izzo,lusungo na wengine pleaseee nategemea comment zenu katika hiliii please
 
Mkuu lusungo njoo hujibu tuhuma zako hapa mimi nimeshajibu zangu
Binafsi naona hata kumjibu ni najisi tu.... Hawa watu kujibizana nao ni kuwapa mileage tu...

Kuna watu zaidi ya 50 sijawajibu PMs zao so i know what i do....

Unakuta unajibizana na mtu anaemiliki smartphone tu hata passport haijui rangi yake....

Mkuu tunza heshima yako hao mbwa achana nao na wala usiache kusaidia wengine kwaajili yao... Usisalimu amri kwa wapumbavu hata siku moja.
 
Back
Top Bottom