Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ndugu yangu nimeona maneno yako ambayo kwangu yalikuwa kama ni kashfa nimekaa kimya kwa kukuacha tu nadhani kama kukujibu kwa post zako zaidi ya 20 kwenye thread hii nimekujibu post mbili tu post number [HASHTAG]#2012[/HASHTAG] na post no [HASHTAG]#2044[/HASHTAG]

Lakini kutokana na maneno yako ambayo watu wanaona kama yananilinda lakini kiukweli yananishutumu mm ww umetumia Codes tu kwenye post zako kwani codes zinasomeka kinyume kama unasema YES unakuwa na maana ya NO so ninajua unachomaanisha

Nimeanza kuchangia thread hii ktk post number [HASHTAG]#118[/HASHTAG] nikiwapa mbinu za kuingia malta then kuingia jeshini katika post number [HASHTAG]#367[/HASHTAG] ilikuwa ni Project number 1 ya kwenda Malta
mwisho wa post nikaandika mneno haya

NO PM (chumbani ) kwani siku zote mazungumzo yanafanyikia Sitting room au sehemu ya wazi chumbani(PM) yanafanyika mazungumzo ya wapenzi tu
Kwenye post no [HASHTAG]#869[/HASHTAG] nilikuwa natoa report ya fake agent ambae nilipewa namba yake na ndio maana niliomba namba ya huyo agent aliyempigia huyo dada niweze kupata taarifa za huyo agent na kuziweka mezani tena nikasisitiza kupatiwa namba ya huyo agent kwenye post number [HASHTAG]#2299[/HASHTAG]

Na ktk post zangu nilisisitiza sana No PM
japo nimepata PM nying lakini nilikuwa sizijibu kama nilijikubu basi sidhani kama zinafika 4 kama wapo niliowajibu waje waseme kama nilizungumzia mambo ya hela hata kuwagusia tu waje waseme kwani wanajijua

Niliandika maneno haya kwa sababu nilikuwa sitaki.maswala ya porini na sikutaka haya unayoyasema now nikaja tena na project number 2 yani Host kwenye post number [HASHTAG]#930[/HASHTAG] bado nikisisitiza no PM

Katika post number [HASHTAG]#1681[/HASHTAG] nilikuwa namwambia kaveli na post number [HASHTAG]#1673[/HASHTAG] post zote nilisisitiza kuwa huduma zote ni free

Nanukuu post [HASHTAG]#1673[/HASHTAG] nilisema

Pia ktk Project zote nilizo leta au zitakzo kuja hakuna hata mtu atakayeombwa hata sh 10 na kama itatokea njooni jukwaani mseme yote ni 100000% free kuanzia kuhost na msaada mwingine wowote kutoka kwangu

Tangazo la kazi nimelitangaza kwenye post number [HASHTAG]#2137[/HASHTAG] tena nikitoa na angalizo kwani
halikuwa verified na yule aliyelileta kwenye group na alitangaza kuwa bado ajali verify na mm nilipolileta hapa nilisema kabisa kwenye post number [HASHTAG]#2137[/HASHTAG] kuwa

Note usitoe fedha ya aina yeyote kuanzia visa vyote anashugulikia mama mwenyewe

Ndugu yangu mm napenda sana amani ya nafsi na mwili wengine tunaheshimika si hapa tu na sehemu zingine na watu wengine ninaoheshimiana nao kutokana na majukumu wanajuwa Id yangu leo wakiingia huku wakakuta naitwa tapeli itakuwa si sawa kabisa ww nimeshakuona huko hapa kwa mission maalumu

Mtu yeyote mwenye ufahamu ,weledi na mwenye kulinda heshima yake tuhuma tu zinatosha kumfanya akae pembeni so mm naona ni Withdraw kwenye thread hii nadhani mission yako itakuwa Complete so unaweza ku " Return to Base of Operations"

Nimetaja post number kama References kwa haya ninayosema hapa nenda kapitie post number zote nilizozitaja hapo

Naisoma kwa mara ya tano hii post yako mkuu. You have a point for real. Binafsi naamini unaweza tuhumiwa na tuhuma zingine nzito zaidi ya hizi, na matusi juu, pamoja na nia njema ulio nayo. I can only guarantee you a lot of disappointment on your way to help us, kama ni picha basi halijaanza hilo ni trela.

But Brother we have come a long way to just give up now, naiona kiu ya kweli kutoka ndani ya moyo wako ya kua msaada kwa watu kama sisi, kamwe usiache kiu yako ikakatizwa na watu wapuuzi tu, tena wepesi mno! tangu uzi huu uanze umekua nuru gizani, kwa sisi tulio na ndoto za kufika ughaibuni kusaka maisha. Umekua honest na role model kwa kila alietembelea hapa. Martin Luther Junior alipingwa hata na blacks wenzie, mitume na manabii wa Mungu waliuwawa na kuteswa sababu ya upendo, wakristo watanikumbusha mahali furani paliandikwa kwamba yesu alifanya mambo mengi sana kiasi kwamba dunia haitoshi kuyaandika na kuyahifadhi, lkn binafsi naamini kazi kubwa aliyoifanya ni pale goligota aliposema Ee Baba wasamehe maana hawajui walitendalo. luther junior alisema pia "It's Only When It's Dark You Can See the Star" Its dark brother and you are one of those shining the stars. Please don't give up now. Just hang on there. nitafanya maombi kwa ajili ako, ile taa ya yenye nuru ang'avu ndani yako ambayo Mungu ameiwasha, kamwe isipungue makali wala isizimwe na mpango wowote wa kishetani. Go Bless you Brother. God Bless us all.

Binafsi nashughulikia issue ya Malta I will do may Best every step nitakua nawaupdate hapa kwa kila hatua though uchumi unasumbua kdg lakini Mungu akipenda this December nitakua nawapa updateas nikiwa Malta.
 
365 port Elizabeth wanajihusisha sana na kilimo na viwanda Mzunguko wa pesa sio mkubwa kama miji mingine na kama ni Fundi fundi wa kunyoosha magari labda huko kunakufaa magari yaliyopata ajali yapo bei ndogo ukikarabati Johannesburg au pretoria unauza bei nzuri katika yard wanazouza magari unalipwa cash sio mpaka wauze hakuna kufatiliana kule ni wewe na kazi tuu
Shukrani mkuu.

Ningependa kujua kiasi gani natakiwa kuwa nacho ukitaka kufungua barber shop hapo Jo'burg ama cape town.

- chindo -
 
...ukishatapeliwa fanya kurudi kwenye hii comment ukumbuke nilichoandika! Naona watu povu zinawatoka wanapinga hoja kwa matusi na lugha kali. Hivi hata huko malta, utakwenda kwa miguu?


Hayajatimia tu? Hamjarudi kutizama hii space baada ya kupigwa?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hayajatimia tu? Hamjarudi kutizama hii space baada ya kupigwa?
Nani katapeliwa au unaota?wewe ni mmoja kati ya wafuataoha korosho
1. Mchawi / roho
2. Umeshakata tamaa na maisha
3. Kulakulala
4. Upeo wao ni kama wamtoto mchanga/ hujitambui
5. Huna malengo ya mda mrefu katika maisha yako
6. *******
 
74 visa-free countries for Tanzanians: These are mostly based in Africa, but there are some which are not. Some will grant you visa upon arrival for a little fee.

1. Antigua & Barbuda

2. Albania

3. Armenia

4. Azerbaijan

5. British virgins Island

6. Barbados

7. Bangladesh

8. Botswana

9. Burundi

10. Bahamas

11. Belize

12. Bermuda

13. Bolivia

14. Cambodia

15. Cayman Island

16. Cape Verde

17. Comoros

18. Cook Islands

19. Djibout

20. Dominica

21. Ethiopia

22. Ecuador

23. Egypt

24. Fiji

25. Grenada

26. Guinea

27. Georgia

28. Haiti

29. Hong Kong

30. Jamaica

31. Jordan

32. Kenya

33. Kosovo

34. Laos

35. Lebanon

36. Libya

37. Liberia

38. Macau

39. Malaysia

40. Madagascar

41. Maldives

42. Malawi

43. Mauritius

44. Micronesia

45. Mozambique

46. Monserrat

47. Mongolia

48. Nauru

49. Niue

50. Nepal

51. Namibia

52. Nicaragua

53. Palau

54. Philipines

55. Qatar

56. Rwanda

57. Samoa

58. Suriname

59. St. Kitts & Nevis

60. St. Vincent & Grenadines

61. St. Lucia

62. Sierra Leone

63. Singapore

64. South Africa

65. Swaziland

66. Tuvalu

67. Togo

68. Turkmenistan

69. Trinidad & Tobago

70. Timor-Leste

71. Uganda

72. Vanuatu

73. Zambia

74. Zimbabwe
Mkuu naomba mwongozo hizi nchi za free visa for Tanzanians, Haina haja ya kwnda ubalozi ?? ni pasport na tiket tu napanda ndege na kuondoka bila kuulizwa chochote ?? Naomba mwongozo wako mkuu
 
74 visa-free countries for Tanzanians: These are mostly based in Africa, but there are some which are not. Some will grant you visa upon arrival for a little fee.

1. Antigua & Barbuda

2. Albania

3. Armenia

4. Azerbaijan

5. British virgins Island

6. Barbados

7. Bangladesh

8. Botswana

9. Burundi

10. Bahamas

11. Belize

12. Bermuda

13. Bolivia

14. Cambodia

15. Cayman Island

16. Cape Verde

17. Comoros

18. Cook Islands

19. Djibout

20. Dominica

21. Ethiopia

22. Ecuador

23. Egypt

24. Fiji

25. Grenada

26. Guinea

27. Georgia

28. Haiti

29. Hong Kong

30. Jamaica

31. Jordan

32. Kenya

33. Kosovo

34. Laos

35. Lebanon

36. Libya

37. Liberia

38. Macau

39. Malaysia

40. Madagascar

41. Maldives

42. Malawi

43. Mauritius

44. Micronesia

45. Mozambique

46. Monserrat

47. Mongolia

48. Nauru

49. Niue

50. Nepal

51. Namibia

52. Nicaragua

53. Palau

54. Philipines

55. Qatar

56. Rwanda

57. Samoa

58. Suriname

59. St. Kitts & Nevis

60. St. Vincent & Grenadines

61. St. Lucia

62. Sierra Leone

63. Singapore

64. South Africa

65. Swaziland

66. Tuvalu

67. Togo

68. Turkmenistan

69. Trinidad & Tobago

70. Timor-Leste

71. Uganda

72. Vanuatu

73. Zambia

74. Zimbabwe

Woow
 
Binafsi uzi huu nauunga mkono 100% Lakin pamoja na hayo bado kuna changamoto nyingi kufikia hatua ya kuondoka nchini, kuna mambo mengi ambayo niya msingi hasa upande wa Serikali yetu tukufu hasa upande wa Idara ya uhamiaji. Tz yetu mtu kupata the tu cheti cha kuzaliwa ambacho ni haki ya Mzawa mpaka jasho likutoke, na ikiwezekana na rushwa juu utoe. Ukienda Migiration ili kuanza mchakato wa passport utahenya vibaya,

Kupata card ya chanjo ya homa ya manjano mpaka utahenya.

Lakini pia changamoto nyingine ni mtu kupata Nauli kamili ya kukufikisha mahari unako taka kwenda.
Binafsi ninacho elewa wakirahisisha hayo mambo ya juu, naona Tanzania inaweza kubaki na wazee tu,
Sasa nchi gani hii isiyo toa ajira, Mali asili ni nyingi lakini hatujui wala hatuoni uthamani wake, Vyeo vya juu wanapeana wao kwa wao

HAKI YA MUNGU MIMI SIKU NIKIONDOKA NDO BASI TENA. BORA NIKAFIE KWA FARAO KULIKO KANANI AMBAKO SIJAWAHI FIKA.
kadi ya kiliniki 5,000/
kadi ya kuzaliwa 30,0000/
Passport express(east africa) 15,000/
Passport 50,000/ ya serikali na 300,000/ ya wasee.
viza uliza wazoefu.

Anyway tanzania kila kitu kinawezekana ila tu uwe na chapaa, kama huna chapaa jamani watanzania wana roho mbaya usipime.
 
Wakuu nilishapitia uzi mmoja hivi unaitwa social path sasa huyu mgaka12 ni social path ni binadamu mjinga sijawai ona muda si mwingi nitachukua ban kwa sababu yake
Mkuu izzo Kuna ku migrate nisehemu ya ndoto zao please reverse uamuzi wako unahitajika zaidi ya unavyo fikiria stay blessed # thoroughGod# you make us achieve#
 
Mkuu naomba mwongozo hizi nchi za free visa for Tanzanians, Haina haja ya kwnda ubalozi ?? ni pasport na tiket tu napanda ndege na kuondoka bila kuulizwa chochote ?? Naomba mwongozo wako mkuu
Kakate tu ticket mkuu sema kuna ambazo ni visa free na zingine ni visa on arrival hapa immigration wa nchi husika watakuchaji kiasi kidogo , but ujiandae kwa maswali tu. mfano utakaa muda gani? shughuli gani imekuleta? Utafikia wapi?
 
Shida ya WaTz ni kujisikia...yaani sisi ni full "Waswahili". Hili linaleta changamoto kwa wale wenye fikra za kujilipua. Ni lazima mjilipuaji awe na roho ngumu na kuwa na nia hasa. Zaidi ya hapo unawezafika unakoenda ukaishia kujitoa roho. Kuna mtu kazungumzia nauli, nauli sio ishu, mbona ni hela kidogo; ishu ni wapi unafikiria kufikia. Hapa ndipo kwenye kujisikia. Wenzetu (Kenya, Nigeria, nk) huwa ni rahisi sana kukaribishana, lakini sio sisi. Kwa hiyo kwa mjilipuaji hili ni kubwa kuliko nauli. Na pia ili maisha yaanze mahala fulani unahitaji mzoefu (zaidi kama hujawahi ishi huko unakojilipua). Maana hata hizo ajira za kubeba maboksi si rahisi hivyo kupatikana. Ulaya kuna watu kibao, hasa kutoka Ulaya Mashariki, ambao asubuhi wanaamka kuwahi hizo ajira. Hawa jamaa wana roho ngumu sana. Sio smooth kiviile hasa kama unakosa mwenyeji na wewe ndiyo mara ya kwanza kufika....
 
nimepoteza passport nikiwa Namibia je ni taratibu zipi za kufuata niipate nyingine uzuri nina electronic copy yenye particulars ya pass iliyopotea? Je uhamiaji wana database labda ya kudumu haitanihitaji kusubmit viambatanishi vya awali?
 
nimepoteza passport nikiwa Namibia je ni taratibu zipi za kufuata niipate nyingine uzuri nina electronic copy yenye particulars ya pass iliyopotea? Je uhamiaji wana database labda ya kudumu haitanihitaji kusubmit viambatanishi vya awali?

Requrements for replacement of lost or stolen Passport


MAHITAJI YA PASIPOTI ILIYOIBIWA/KUPOTEA/KUUNGUA

Ili kupata Pasipoti mpya baada ya ile ya awali kupotea, kuibiwa, kuharibika au kuungua zingatia yafuatayo:-

Taarifa ya Polisi (Police report)

Tangazo la gazeti

Barua ya maelezo inayoeleza kwa kina mazingira ya Pasipoti kuibiwa, kupotea, kuungua au kuharibika. Barua iandikwe kwa:-

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,

Idara ya Uhamiaji,

S.L.P. 512,

DAR ES SALAAM.

Hati ya kiapo kinachoelezea kwa kina mazingira ya kuibiwa, kupotea au kuharibika kwa Pasipoti (Sworn declaration of the circumstance surrounding the LOSS, THEFT OR DAMEGE of Passport).

Kama mazingira yanatokana na kuungua kwa nyumba ama kuvunjwa inahitajika ulete barua ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kulipotokea tukio hilo na ripoti ya zimamoto kwa wale waliounguliwa na nyumba

Uthibitisho wa safari

Cheti cha kuzaliwa muombaji na cheti/kiapo cha kuzaliwa baba au mama wa mwombaji

Kwa waombaji ambao wamepoteza Pasipoti nje ya nchi anatakiwa alete Shahada ya Dharura (Emergency Travel Document) aliyotumia kuingia nchini

Pamoja na vielelezo hapo juu viambatanishwe na fomu ya maombi ya Pasipoti iliyojazwa vizuri. (Form CT 5(Ai))

NOTE:

Ada ya Pasipoti iliyoibiwa au kupotea ni Tsh. 100,000/= kwa waliopoteza mara ya kwanza, iliyopotea au kuibiwa mara ya pili ada ni Tshs. 200,000/= na malipo kwa Pasipoti iliyoharibika/kuungua ni Tshs. 50,000/=
 
Requrements for replacement of lost or stolen Passport


MAHITAJI YA PASIPOTI ILIYOIBIWA/KUPOTEA/KUUNGUA

Ili kupata Pasipoti mpya baada ya ile ya awali kupotea, kuibiwa, kuharibika au kuungua zingatia yafuatayo:-

Taarifa ya Polisi (Police report)

Tangazo la gazeti

Barua ya maelezo inayoeleza kwa kina mazingira ya Pasipoti kuibiwa, kupotea, kuungua au kuharibika. Barua iandikwe kwa:-

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji,

Idara ya Uhamiaji,

S.L.P. 512,

DAR ES SALAAM.

Hati ya kiapo kinachoelezea kwa kina mazingira ya kuibiwa, kupotea au kuharibika kwa Pasipoti (Sworn declaration of the circumstance surrounding the LOSS, THEFT OR DAMEGE of Passport).

Kama mazingira yanatokana na kuungua kwa nyumba ama kuvunjwa inahitajika ulete barua ya Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa kulipotokea tukio hilo na ripoti ya zimamoto kwa wale waliounguliwa na nyumba

Uthibitisho wa safari

Cheti cha kuzaliwa muombaji na cheti/kiapo cha kuzaliwa baba au mama wa mwombaji

Kwa waombaji ambao wamepoteza Pasipoti nje ya nchi anatakiwa alete Shahada ya Dharura (Emergency Travel Document) aliyotumia kuingia nchini

Pamoja na vielelezo hapo juu viambatanishwe na fomu ya maombi ya Pasipoti iliyojazwa vizuri. (Form CT 5(Ai))

NOTE:

Ada ya Pasipoti iliyoibiwa au kupotea ni Tsh. 100,000/= kwa waliopoteza mara ya kwanza, iliyopotea au kuibiwa mara ya pili ada ni Tshs. 200,000/= na malipo kwa Pasipoti iliyoharibika/kuungua ni Tshs. 50,000/=
Duuuh aisee safi sana
 
nimepoteza passport nikiwa Namibia je ni taratibu zipi za kufuata niipate nyingine uzuri nina electronic copy yenye particulars ya pass iliyopotea? Je uhamiaji wana database labda ya kudumu haitanihitaji kusubmit viambatanishi vya awali?
Egbert44 naweza kukujia pm km hutajali
 
Back
Top Bottom