Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

anaitwa Patrick Emmanuel meagie, ni mkazi wa Arusha
namba zake za simu +255758354393 na 0622596982
tulikutana ktk huu uzi alitoa wazo la kuanzisha wasup group ili tuweze kupeana fursa za kazi nje ya nchi
ilikuwa 2020 mwanzoni ktk majadiliano kupitia wasup akasema yeye ana fursa ya kazi ktk nchi ya poland inahitajika kulipia agent fees mil 2.5
nikaonana nae dar kwakuwa sikumuamini sana nilienda kwa mwanasheria tukaandikishana
2020 janga la Corona akadai mipaka imefungwa ,nikamwambia ikifika 2021 Sept sijaondoka nirudishie pesa zangu
ilipofika huo mwezi nikaanza kumdai pesa zangu alichoamua ni kuni block japo namba zake zipo hewani
nikaenda polisi kushtaki wakasema nikachukue Rb ktk mkoa niliojaza nae mkataba ambao ni dar mimi nipo mwanza.hadi sasa sijapata nafasi ya kwenda dar kuchukua Rb
Yani mkuu umetoa 2.5m halafu unashindwa kupata weekend moja ukaweka 150k unaenda Dar kuchukua RB na kurudi?
 
Daaah mkuu pole Sana huyo jamaa ilibaki kidogo tu anipige lak 4 sema mungu mwenyewe aliweka mkono wake.
 
Jaman wadau, mchongo nchi yoyote uwezi kupata bila kua na vibali. Wanawaibia kiulaini sanaa
 
kuna jamaa amenitapeli ktk huu uzi
nimemuachia Mungu
Hapa ni wewe ndio ulikuwa kama agent au na wewe ulikuwa unamtangazia huyo jamaa aliyekutapeli kabla ya kujuwa kuwa ni tapeli?

Screenshot_20220516-012827_Brave.jpg



Screenshot_20220516-012713_Brave.jpg



Cc Kaveli
 
Watz ni wabinafsi kupeana connection nje ya nchi, tofauti na Wakenya wao wapo karibu nchi zote. Angalau huyu ni mbongo kajitolea kutoa elimu juu ya kusaka life nje, mfollow akupe guide ya kutosha. Kwa scholarship, masomo, Kazi, nk. Andika. EBM Mswahili utashiba takwa lako.

Screenshot_20220523_133242.jpg


Screenshot_20220523_133204.jpg


Screenshot_20220523_133142.jpg
 
Mkuu Mwandende
kama baharia wa miaka hiyo unaonekana umefika karibu continents zote na nchi karibu zote.
Hebu tufahamishe maisha in general kule Italy na Greece. Kuna fursa gani?
Maana kuna jamaa zangu wengi wamekaa huko since 1980s wamepewa permits lakini mzungu kagoma kuwapa passports
Moja Kati ya vitu vilivyonikimbiza Greece / Italy ni kutokupata vibali vya kuishi.
80% ya watu walikuwa wanaishi kiholela Tu,
Maana migrants ni wengi Sana.
Siku hizi vibali vya kuishi na hata kusafiri vinatoka bila shida.
Ni ufuatiliaji Tu.

Kwa passport sina hakika kwann hawatoi kwa migrants.
 
Back
Top Bottom