OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
unaweza kueleza jinsi walivyofukuzwa kinyume na taratibu?Kabla ya kuandika shirikisha kidogo ubongo wako
wao hawaendi Mahakamani kupinga kufukuzwa ubunge bali wanakwenda mahakamani kupinga utaratibu uliotumika kufukuzwa uanachama
kwa hivyo mambo ya ubunge au tume hayatahusika.
mahakama itajikita ktk hoja ya msingi kwamba Je; CHADEMA imezingatia utaratibu wa kuwafukuza uanachama?
Na walipaswa kutojiteteaWalipaswa kuzuia baraza kuu lisijadili uanachama wao.
Si wanachama chao umoja partyNani alikuambia CCM inahitaji vibaka?
Swali zuri snunaweza kueleza jinsi walivyofukuzwa kinyume na taratibu?
Nimejizuia kukujibu huenda ningekuudhi mkuuNaunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Ilikuwa ni wishes yake TuMembe alivyofukuzwa uanachama CCM Mbona hakwenda mahakamani?
Walipaswa kwenda Mahakamani kulizuia Baraza kuu kujadili uanachama wao..Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
ulishawahi kuona CCM mtu anaenda mahakamani?
Aisee huoni hata aibu!Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Hakika mkuu. Umemjibu vizuri sana huyu chinembeHawajafukuzwa Ubunge, Bali uanachama. Kama wanataka Ubunge waende bungeni waendelee na vikao vya bajeti maana chadema iliwadukuza uanachama, kuhusu Ubunge watajuana wao na spika wao. Mbona kamati kuu iliwafukuza lakini wakaendelea na Ubunge.
Sijawahi Ila wakitaka wanaweza Maana katiba ya Ccm haiwazuiiulishawahi kuona CCM mtu anaenda mahakamani?
I wonder[emoji848]Limewafanyia uhuni UPI?
Mkuu umekuwa amicus curiae wa cdm nowNaunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Hivi kuna mwanasiasa muadilifu? Samahani naomba kujua tu๐๐๐Ubora wa mwanasiasa ni kuwa muadilifu. Nazidi kutilia mashaka maandiko yako kama unashabikia wanasiasa wasio waadilifu na kuwaita asset bora ya kisiasa. Mwanasiasa anayeweza kulaghaiwa na kuikana itikadi yake na ya chama chake unamuita asset! Kwelinimeamini mtu kadri anavyozeeka na akili yake huzeeka.
Huyo jamaa anapata taabu sana na uamuzi huo. Asiwe na wasiwasi, watalindwa bungeni na spika Tulia Akson.Una uahahidi gani kama waliteuliwa kwa vikao halali? naona mnaanza kutafuta majibu yenu binafsi kujiliwaza.
Tuambie hivyo vikao vya kuwateua vilikaa lini na wapi, na wajumbe walikuwa wakina nani, chini ya mwenyekiti gani?
Unafikiri halima mjinga kiasi huko,aende mahakamani?Na wakifungua shauri hilo wanashinda, sheria inawapa wao credit kwasababu CDM wameshindwa kuprove kama orodha hiyo imeghushiwa kwa namna gani.
Sawa.Na wakifungua shauri hilo wanashinda, sheria inawapa wao credit kwasababu CDM wameshindwa kuprove kama orodha hiyo imeghushiwa kwa namna gani.
Tatizo waliwaweka kwa nguvu hapo walipo,either hawapo,au heana nguvu tena[emoji3]Tatizo serikali haifuati sheria..tangu lini wameanza?
Naona Kama umemuattack mchangia mada personal, hata Kama iq yako ndogo jikite kwenye madaUkiona mtu anatetea Malaya Malaya wa kisiasa ujue hata yeye ni Malaya. Huyo Pascal hajitambui ni njaa kali inamla. Anafikiri kwa kutumia Makalio akizani Watanzania bado wajinga Kama yeye na hao vibaraka wao Covid19.
Kama hao akina Mdee waliteuliwa kihalali walishindwa nini kuleta ushahidi wao Mbele ya Kamati kuu walipo itwa awali au ktk Baraza kuu la Chama lililo keti Jana? Wao si walikata rufaa Sasa hizo rufaa si huwa unaweka na sababu na ushahidi?
Kwa nini walihudhuria kikao Cha Baraza kuu huku wakijua kuwa ni kikao Cha Wahuni na maamuzi yangekuwa ya kihuni?
Pascal umepitwa na wakati huu sio wakati wenu tena pumzika umesha zeeka hizo siasa za Karne ya 15 usituletee wakati huu.
baraza lenye wajumbe 400+ unapata kura 1% na wote 400 hawakutaki kwenye chama unatafuta tena haki gani?