Ushauri: Mdee na wenzake wafungue shauri waombe Mahakama Kuu izuie jaribio la kuwafuta Ubunge

Tume na bunge hawajawafukiza uanachama
Wanachoenda kushtaki ni kupinga kufukuzwa uanachama kinyume cha sheria na katiba ya Chadema

Wamefoji matokeo ya kura hadi wakajisahahu kanda nne hazipo kwenye matokeo yaliyotangazwa!!! Huo ni uhuni
Mkuu, sababu za kuwafukuza uanachama, zinatokana na namna walivyofika bungeni kinyume na vikao vya chama chao. Kwa hiyo Tume ya uchaguzi na bunge lazima litahusika kwenye lolote ambalo hao 19 wataliendeleza kuanzia sasa.

Hapo ndipo watatakiwa waseme nani aliwajazia form, kusaini na kuzipeleka tume ya uchaguzi, ilihali form alizopewa katibu mkuu wa CDM John Mnyika bado anazo na hazikufanyiwa kazi.
 
Hawa waliteliwa kwa vikao halali, kwa barua ya CDM, na wakaapishwa, waende mahakamani kesho kwa hati ya dharura!
Na kwa sababu wanampenda sana Mbowe na Mnyika hizo nyaraka wameshindwa kuzitoa mpaka leo? Na wmahakamani wataenda kuomba zuio dhidi ya Bunge? Chadema haina mamlaka yeyote ya kuwanyang'anya ubunge. Mamlaka yao yameishia kwenye uanachama wao.

Amandla...
 
Mchakato mzima wa uchaguzi uliingiliwa kwa madai yao na huo ndio wanauita "uhuni".
uliingiliwa kivipi?kama walijiteua wenyewe wakajipeleka bungeni bila ridhaa ya chama nani ataamini huo ugoro wanaosema sasa hivi
 
Hii forgery ilifanywa kwa amri ya watu wa level ya juu sana, hivyo huwezi kuisikia hii kesi.
 
Tena hapo kwa Husna, waliocheza huu mchezo walikosea kuficha nyayo zao. Hili liliwaumbua. Lakini kuna watu wana akili ndogo hawawezi hata kufikirisha bongo zao.

Cc chinembe YEHODAYA
 
Ndiyo maana alipata kura moja (1) kule Kawe.
 
Hawajafukuzwa Ubunge, Bali uanachama. Kama wanataka Ubunge waende bungeni waendelee na vikao vya bajeti maana chadema iliwadukuza uanachama, kuhusu Ubunge watajuana wao na spika wao. Mbona kamati kuu iliwafukuza lakini wakaendelea na Ubunge.

Kamati kuu haijawai kukaa kikao zaid ya jana
 
Umemaliza mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 

Wewe nae kiaz huna chama umekua vipi mbunge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…