Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

Hatari mkuu, sometimes had nahisi au najipendekeza duuh.
 
Hebu nipe namba yake nimkanye asikutese buremtoto wa mwanamke mwenzie
 
Ndugu yangu mimi nilikuwa na mwanamke wa jinsi hiyo mpaka nikawa nakwambia ndugu zangu anisaidie kumchunga chanzo cha kimya ule hawa kuweza. Baada ya miaka 20 tu kapata watoto 2, alichonifanyia kilinitia uchizi! Kumbe alikuwa mchawi wa kiwango cha lami, pamoja na kufunguliwa biashara duka ya duka na kununulia gari, lakini alianza kwa siri kunipiga utamaduni ili niondoke kabla ya muda. Mungu aliniokoa kwenye dakika za mwisho na ndoa ili vunjwa na Mahakama. OGOPA WANAWAKE WAKIMYA NI WACHAWI WANA MAAGANO ATAKUTOA KAFARA!
 
Vipi kwenye sita kwa sita anamiguno kasuku au pia ni mwendo wa mikaushoo!
Watu wa hivi ni wasanii na atakupa mpaka unapiga ukunga! Ni wachawi na washirikina mwisho wa siku wanakutoa KAFARA uchawi wake uzidi kustawi! Siku nyingine a naondoka ana kuachia dude jingine utalipelekea moto kumbe yeye kaenda kwenye mchezo yao ya usiku!
 
Kimsingi huyo ndio WIFE MATERIAL.


Kinyume na hapo wewe itakuwa una makando kando hujaandika tu hapa, pengine una makosa kadhaa uliwahi kumfanyia.
 
Introvert huwa hajali hisia za wengine?? Maana binti anausaga moyo wa kijana.
 
Oya muoe huyo ushampga mtoto unataka umuache kama vipi muendee kwa mganga achangamke lakini usimuache.
 
Huyo ni muuwaji mkubwa achana nae hapo kuna mawili 1.anakuonea huruma mtoto sio wako au anaugonjwa 'sikosel' au kuna mtu anamkula hasa sasa ukijua kuna ishu MFUKUZE AENDE KWAO UMENIELEWA
 
Introvert huwa hajali hisia za wengine?? Maana binti anausaga moyo wa kijana.


Wanajali isipokuwa introvert huwa hawatoi attention pia akijua wewe ni attention seeker anaamua kukumoa makusudi kwa kukunyima attention.


Ili umkoshe introvert jitahidi uwe na positivity stuffs za Ku-share naye hapo utaipata attention yake.

Introvert means -thinkers so if ur not a big thinker you cannot match with them easily.
 
Huyo binti sio introvert mkuu.
Yaani mpenzi wako awe attention seeker kwako.. kivipi yaani.

Uintrovert ni kuact kama roboti??
Mpaka mnapata mtoto, hata kujadili maendeleo ya mtoto wenu bado ulete uintrovert.

Binti atakua na mtatizo tu labda huko nyuma kuna vitu alifanyiwa vimemfanya asiwe muongeaji.
 


Unajua hapa JF watu hutoa story zinazolenga upande wao.

Mtu kuwa mkimya Sana inaweza kutokana na malezi pia.

Mtoa mada amesema ananyimwa attention na huyo mchumba wake.
 
Wewe mwambie Mungu wako unataka ninina atakupa...amekupa Silencer gun unataka Loud gun.

Some times ingia chumbani jifungie mwambie Mungu wako unataka akupe nini...Na Mungu atakuletea......


Kilicho kuja kama bahati ni silecer hakikufurahishi...wewe mwambie Mungu aombac king'ora.......anavig'ora vingi atakuzawadiaaaaa!
 
Hakuna mwanamke bomba kama mwanamke asieongea ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…