JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Upo sahihi mkuu.Hili ni tatizo jingine la watu wenye Euro makes, na wasiozijua gari zao. Mafundi wengi wamezoea gari aina ya SUV zinawekewa engine oil lita 8 na kuendelea. Kwa mfano, XC90 inaingia lita 5.9. Fundi anakwambia humu inaingia lita 8 kwa kuangalia ukubwa wa engine! Kama hujui gari lako, unakubali na kuzidishiwa engine oil. Mwishowe βengine system service requiredβ message inatokea kwenye dashboard!
Maduka yake wapi?Nzuri sana ndio natumia. Direct from Germany.
Kuna sensor ya kuregulate thermostat ilikufa.Kuharibika kwa sensor ni kutoa incorrect information.
Regulation inafanywa na modules kupitia actuators kulingana na information zilizopokelewa kutoka kwenye sensors.
Unless kama system haina modules hivyo signal ya sensor inaenda kutumika moja kwa moja kwenye regulation (sina uhakika).
Hiko ni kitu cha kujisifia?Km 150 hiyo bado mpya kabisa,Mimi napitiliza Hadi km 1000 na sio ishu hata kidogo
Huyo jamaa anachukua gari anajifungia nalo wewe u akaa nje ya geti badae anakuletea mkeka unafika 4M.Bila shaka ni yule wa karibu na HK Hospital! Yaani hawa jamaa ukienda na vitu vyako, wananuna!
Nishasema humu, kama una Euro make, inabidi ujiongeze haswa kwa suala la kuijua gari yako, nini inataka na wapi utapata vifaa na lubricants. La sivyo utageuzwa gari la mshahara!
chances ni kuchemsha kwa kweli.Kuna sensor ya kuregulate thermostat ilikufa.
Unadhani nini kilitokea?
Jerry spareBila shaka ni yule wa karibu na HK Hospital! Yaani hawa jamaa ukienda na vitu vyako, wananuna!
Nishasema humu, kama una Euro make, inabidi ujiongeze haswa kwa suala la kuijua gari yako, nini inataka na wapi utapata vifaa na lubricants. La sivyo utageuzwa gari la mshahara!
π·π·π·Jerry spare
Boss alichangamshwa kidogo na hao Waturuki sijui Walebanoni!Last time nimenunua engine oil ya Atlantic 5L kwa 75k (5w40)
Last time nimenunua 5L kwa 75kMkuu Mannol zimeingia town. Jamaa wamemnyoosha kuanzia filter mpaka oil. Atlantic Lita moja 15k-20k tu.
Wakiona namba E wanajua hujui..wanakuweka ofisini full a.c, wanaingiza ndani wanazuga zuga wanakuja na invoice ya laki Tano, just for oil change, imagine jamaa gari inayochujua 6.5L wanamuambia ni 8L, kwahiyo zikiingia gari 4 tayari anakua amepata dumu la oil la 6L la Bure .Kuna jamaa mwingine wa Subaru 0-60, naye anahuo mchezo wa bei za ajabu ajabuKazi ya sensor ni kutoa taarifa tu. Hakuna kazi nyingine.
Nazungumza kwa muktadha wa magari.
Kwenye gari, Hizo taarifa zinapewa modules then modules ndio zinaleta message kwenye dashboard. mfano low tyre pressure, low coolant, low oil level, service engine soon, n.k. Wenye hayo magari wapo kwenye huu uzi waseme kama magari yao hayawapi hizo taarifa.
Taarifa zingine haziji kwa mtumiaji module inafanya decision yenyewe. Mfano gari imeua kifaa fulani, Module inaengage limp mode. Gari inakuwa haina nguvu mpaka urekebishe kifaa kilichozingua.
Sijui wewe unazungumzia sensor zipi?
Sure...zinaharibika pia huwa zinaungua, zina mulfunction n.k mfano oxygen sensors etc.Kuna sensor zinazo-regulate movement of some parts au mfumo.
Ikiharibika hiyo sensor mfumo mzima unachanganyikiwa au kufa.
So, sometimes sensor zinaharibika.
Mwaka wa 40 naendesha gari, sijawahi kagua gari ati kama oil inatosha! Kikubwa dashboard tu. Mwenzetu yupo too theoretical.Tuongee uhalisia kidogo, wewe unafanya haya Kila siku?
Kwa upande wangu mimi sifanyi hayo kila siku kutokana na mazingira yenyewe hasa hiyo ya kulala chini sijui kuangalia chini, na kuhusu vitu vingine Gari inanionesha Kila Kitu kwenye Dashboard Sasa Kuna haja gani ya kufungua Bonnet
Msaada hii inasababishwa na nini?chances ni kuchemsha kwa kweli.
0713832019Maduka yake wapi?
ππ Wenyewe wanamwambia ndio mambo ya Germany Engineering hayo π
Huwa namwaga oil baada ya km 3000 Ila hata kama napitiliza Hadi km 4000 haina shida Sana kwasababu oil bado inakuwa iko vizuri Tu.. kumbuka kuna watu wanaenda Hadi km 7000 Ila Mimi ambaye nimepata elimu kupitia hapa JF naishia km 4000 na hiyo ni TOTAL OIL 5W - 40 full authenticHiko ni kitu cha kujisifia?
Ukiulizwa sababu ya kuzidisha ni zipi?
Ishu ni namba, kama kitu ni 5W30 unadumbukiza tuUnaweka Oil ya TOTAL kwenye BMW?
Jamaa wanapigwa sana kwa sababu ya branding kwenye kopo/packagingJamaa yangu kariakoo anatumia BMW 320i huwa ananunua oil ya BMW yenyewe tena inauzwa Kwa Lita moja Tsh 60,000 Γ 4,pamoja na filter yake TSH 35,000 na diagnosis 50,000.
Sometimes kama starehe yako duniani ni magari basi sio ishu Sana kutumia laki 3 baada ya miezi 5