Kazi ya sensor ni kutoa taarifa tu. Hakuna kazi nyingine.
Nazungumza kwa muktadha wa magari.
Kwenye gari, Hizo taarifa zinapewa modules then modules ndio zinaleta message kwenye dashboard. mfano low tyre pressure, low coolant, low oil level, service engine soon, n.k. Wenye hayo magari wapo kwenye huu uzi waseme kama magari yao hayawapi hizo taarifa.
Taarifa zingine haziji kwa mtumiaji module inafanya decision yenyewe. Mfano gari imeua kifaa fulani, Module inaengage limp mode. Gari inakuwa haina nguvu mpaka urekebishe kifaa kilichozingua.
Sijui wewe unazungumzia sensor zipi?