Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Ushauri namna ya kufanya Service BMW X3

Hili ni tatizo jingine la watu wenye Euro makes, na wasiozijua gari zao. Mafundi wengi wamezoea gari aina ya SUV zinawekewa engine oil lita 8 na kuendelea. Kwa mfano, XC90 inaingia lita 5.9. Fundi anakwambia humu inaingia lita 8 kwa kuangalia ukubwa wa engine! Kama hujui gari lako, unakubali na kuzidishiwa engine oil. Mwishowe “engine system service required” message inatokea kwenye dashboard!
Upo sahihi mkuu.
 
Kuharibika kwa sensor ni kutoa incorrect information.

Regulation inafanywa na modules kupitia actuators kulingana na information zilizopokelewa kutoka kwenye sensors.

Unless kama system haina modules hivyo signal ya sensor inaenda kutumika moja kwa moja kwenye regulation (sina uhakika).
Kuna sensor ya kuregulate thermostat ilikufa.

Unadhani nini kilitokea?
 
Bila shaka ni yule wa karibu na HK Hospital! Yaani hawa jamaa ukienda na vitu vyako, wananuna!

Nishasema humu, kama una Euro make, inabidi ujiongeze haswa kwa suala la kuijua gari yako, nini inataka na wapi utapata vifaa na lubricants. La sivyo utageuzwa gari la mshahara!
Huyo jamaa anachukua gari anajifungia nalo wewe u akaa nje ya geti badae anakuletea mkeka unafika 4M.

Nilimwambia ukitaka kufungua gari yangu lazima niwepo. Wewe sio Mungu nikuachie uchezee kienyeji, akagoma nikaondoka na gari yangu.

Kuna fundi jirani yangu nikitaka kubadili oil nanunua yeye anakuja na vifaa kubadili nampa labor charges tu.
 
Last time nimenunua engine oil ya Atlantic 5L kwa 75k (5w40)
 
Bila shaka ni yule wa karibu na HK Hospital! Yaani hawa jamaa ukienda na vitu vyako, wananuna!

Nishasema humu, kama una Euro make, inabidi ujiongeze haswa kwa suala la kuijua gari yako, nini inataka na wapi utapata vifaa na lubricants. La sivyo utageuzwa gari la mshahara!
Jerry spare
 
Kazi ya sensor ni kutoa taarifa tu. Hakuna kazi nyingine.

Nazungumza kwa muktadha wa magari.

Kwenye gari, Hizo taarifa zinapewa modules then modules ndio zinaleta message kwenye dashboard. mfano low tyre pressure, low coolant, low oil level, service engine soon, n.k. Wenye hayo magari wapo kwenye huu uzi waseme kama magari yao hayawapi hizo taarifa.

Taarifa zingine haziji kwa mtumiaji module inafanya decision yenyewe. Mfano gari imeua kifaa fulani, Module inaengage limp mode. Gari inakuwa haina nguvu mpaka urekebishe kifaa kilichozingua.

Sijui wewe unazungumzia sensor zipi?
Wakiona namba E wanajua hujui..wanakuweka ofisini full a.c, wanaingiza ndani wanazuga zuga wanakuja na invoice ya laki Tano, just for oil change, imagine jamaa gari inayochujua 6.5L wanamuambia ni 8L, kwahiyo zikiingia gari 4 tayari anakua amepata dumu la oil la 6L la Bure .Kuna jamaa mwingine wa Subaru 0-60, naye anahuo mchezo wa bei za ajabu ajabu
 
Kuna sensor zinazo-regulate movement of some parts au mfumo.

Ikiharibika hiyo sensor mfumo mzima unachanganyikiwa au kufa.

So, sometimes sensor zinaharibika.
Sure...zinaharibika pia huwa zinaungua, zina mulfunction n.k mfano oxygen sensors etc.
 
Tuongee uhalisia kidogo, wewe unafanya haya Kila siku?

Kwa upande wangu mimi sifanyi hayo kila siku kutokana na mazingira yenyewe hasa hiyo ya kulala chini sijui kuangalia chini, na kuhusu vitu vingine Gari inanionesha Kila Kitu kwenye Dashboard Sasa Kuna haja gani ya kufungua Bonnet
Mwaka wa 40 naendesha gari, sijawahi kagua gari ati kama oil inatosha! Kikubwa dashboard tu. Mwenzetu yupo too theoretical.
 

Attachments

  • 2BA3EA33-E1A9-4133-9749-428F43043F7C.jpeg
    2BA3EA33-E1A9-4133-9749-428F43043F7C.jpeg
    911.3 KB · Views: 23
  • 47B0A2A5-2806-42C6-9FFE-DA49B5024A66.jpeg
    47B0A2A5-2806-42C6-9FFE-DA49B5024A66.jpeg
    579.6 KB · Views: 23
😄😄 Wenyewe wanamwambia ndio mambo ya Germany Engineering hayo 😄

Hiko ni kitu cha kujisifia?

Ukiulizwa sababu ya kuzidisha ni zipi?
Huwa namwaga oil baada ya km 3000 Ila hata kama napitiliza Hadi km 4000 haina shida Sana kwasababu oil bado inakuwa iko vizuri Tu.. kumbuka kuna watu wanaenda Hadi km 7000 Ila Mimi ambaye nimepata elimu kupitia hapa JF naishia km 4000 na hiyo ni TOTAL OIL 5W - 40 full authentic
 
Jamaa yangu kariakoo anatumia BMW 320i huwa ananunua oil ya BMW yenyewe tena inauzwa Kwa Lita moja Tsh 60,000 × 4,pamoja na filter yake TSH 35,000 na diagnosis 50,000.

Sometimes kama starehe yako duniani ni magari basi sio ishu Sana kutumia laki 3 baada ya miezi 5
Jamaa wanapigwa sana kwa sababu ya branding kwenye kopo/packaging
 
Back
Top Bottom