Kwenye swala la kipaumbere apewe baba mlezi ila baba mzazi naye hawapaswi kutengwa uko ni kutafta laana zisizo na ulazima,
kuhusu kipato na kutodumu na mama ake mzazi ayo huwezi kuyaingilia, ayo ni mambo ya wazazi hata uyo anayemuoa uyo binti yanaweza kumkuta waakachana pia.
Hawa wanawake nyie mnajifanya hamuwaujui! Mwanamke anaweza kuachana na wewe anajua kipato chako ni chalaki moja kwa mwezi alafu kwakua kabahatika kupata mtu mwenye kipato zaidi anampeleka mtoto kwenye shure za ghalama za juu then anakumbia lipia nusu kukukomesha ukikataa kua huwezi kuafford anamjaza mtoto maneno kua baba ako hataki usome and etc,
so ayo ni kuwaachia wao chamsingi kwenye ndoa ifanye iwe kawaida nenda kwa mzee pata baraka zake hata usipompa ela najua atafurahia kumuozesha mwanae iyo furaha ni barak tosha, then kwenye sherehe ya ndoa ndo mama na baba mlezi waachie wajiachie na mazawad yote wapeni wao apo kila mtu atakua amefurahi kwa nafasi yake na utatoka bila kuacha huadui na ndoa itakua ya baraka zaidi.