USHAURI: Nani asimame kati ya Baba mlezi na Baba mzazi kwenye send off na harusi!!

USHAURI: Nani asimame kati ya Baba mlezi na Baba mzazi kwenye send off na harusi!!

Nakazia. Sperm donors wafutiliwe mbali. By the way Mimi nina wajukuu na watoto wangu niliwaambia kabisa wawe waangalifu kuchagua girlfriend maana akimpa mimba ni lazima aoe. Sitaki wazazi walezi mimi. Ni marufuku kuchezea mabinti na kuacha bila sababu ya msingi. Na kama akiacha aachwe bila mtoto. Nilisimamia hili na vijana wangu wawili wameoa na ninawaombea hata nje wasizae maana Mimi Baba yao sina mtoto nje ya ndoa. Period.
We ulikuwa mzembe tu
Huna hata katoto ka nje
Sasa una faida gani duniani
 
We ulikuwa mzembe tu
Huna hata katoto ka nje
Sasa una faida gani duniani
Haha mkuu. Ni maadili na kujipangia tu. Sitaki kuacha watoto nje ya mama Furaha wangu. Ndiyo msimamo wangu na nilijiambia kabisa sitazaa nje nikiwa kijana au ndani ya ndoa. Na hii pamoja na nidhamu tuliyojengewa na wazazi wangu (Pumzikeni kwa Amani) lakini niliona kwa ndugu waliozaa nje inakuwa ngumu Sana watoto kuchangamana na wanawake wanalogana na kudhuru Sana watoto wa Wanawake wenzao. Kuzaa nje ni tunakaribisha invisible war kwa familia kwa mambo ya tamaa tu. Kwani ukizaa watoto hata 10 na mke mmoja kuna Shida gani? Ila kila mwanaume ana maamuzi yake jinsi anataka familia yake iwe hasa nidhamu.
 
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.

Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?

Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.

Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.

KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.

Aongee na Mama yake, uwe mjadala wao.
 
Haha mkuu. Ni maadili na kujipangia tu. Sitaki kuacha watoto nje ya mama Furaha wangu. Ndiyo msimamo wangu na nilijiambia kabisa sitazaa nje nikiwa kijana au ndani ya ndoa. Na hii pamoja na nidhamu tuliyojengewa na wazazi wangu (Pumzikeni kwa Amani) lakini niliona kwa ndugu waliozaa nje inakuwa ngumu Sana watoto kuchangamana na wanawake wanalogana na kudhuru Sana watoto wa Wanawake wenzao. Kuzaa nje ni tunakaribisha invisible war kwa familia kwa mambo ya tamaa tu. Kwani ukizaa watoto hata 10 na mke mmoja kuna Shida gani? Ila kila mwanaume ana maamuzi yake jinsi anataka familia yake iwe hasa nidhamu.
Respect [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.

Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?

Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.

Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.

KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Hii taarifa, wachangiaji wengi ni wale waliopitia hiyo changamoto.
 
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.

Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?

Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.

Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.

KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Kabla ya kuchangia, unatakiwa kutafakari kwa kina na kumuomba mwenyezi Mungu akupatie busara katika kulikamua.
 
Matunzo alikuwa anatoa kidogo,yamkini ulikuwa ndio uwezo wake.
Hajawahi kukukataa,point ya matunzo ni very weak,suala la kuachana na mama yako pia ni weak,
Lazima ujue watu wanatofautiana,je unajua ni yapi yalikuwa yanamsibu mpaka matunzo yanakuwa kidogo,huyo ni baba yako tu provided alikupa alochokuwa nacho
 
Sijaona sehemu baba alikimbia majukumu,huyo mlezi anavyokwambia nenda kwa baba usidhani ni mjinga,mahari yako haiwezi kumwongezea chochote,ye alifanya sehemu yake kama mlezi,
 
Kiuhaisia baba yake mzazi yupo,hiyo zawadi ya gari iende Kwa baba mlezi,ila kwenye eneo la baba mzazi mbingu zinafahamu kuwa baba mzazi ni nani.usiingia kwenye changamoto za wazazi ,yeye afanye kulingana na protocol zinavyohitaji.Baba mzazi asimane mahali pake

We ndo umenena, hapaswi kujiingiza kwenye migogoro yao, ndoa asimamie baba mzazi ilq izo zawad kubwa ampe baba mlezi, swala la kuuliza apo kama angefariki mwili ungezikwa wapi kama sio kwa baba mzazi? Jamaa afanye kubalance ayo mengine awaachie wenyewe.
 
Mtoto alihitaji kulelewa sio kuzaliwa.
Alizaliwa bila kupenda,akapenda apate malezi Bora.
So hapo baba mlezi ndo muhusika na siye mzazi.

Kwenye swala la kipaumbere apewe baba mlezi ila baba mzazi naye hawapaswi kutengwa uko ni kutafta laana zisizo na ulazima,

kuhusu kipato na kutodumu na mama ake mzazi ayo huwezi kuyaingilia, ayo ni mambo ya wazazi hata uyo anayemuoa uyo binti yanaweza kumkuta waakachana pia.

Hawa wanawake nyie mnajifanya hamuwaujui! Mwanamke anaweza kuachana na wewe anajua kipato chako ni chalaki moja kwa mwezi alafu kwakua kabahatika kupata mtu mwenye kipato zaidi anampeleka mtoto kwenye shure za ghalama za juu then anakumbia lipia nusu kukukomesha ukikataa kua huwezi kuafford anamjaza mtoto maneno kua baba ako hataki usome and etc,

so ayo ni kuwaachia wao chamsingi kwenye ndoa ifanye iwe kawaida nenda kwa mzee pata baraka zake hata usipompa ela najua atafurahia kumuozesha mwanae iyo furaha ni barak tosha, then kwenye sherehe ya ndoa ndo mama na baba mlezi waachie wajiachie na mazawad yote wapeni wao apo kila mtu atakua amefurahi kwa nafasi yake na utatoka bila kuacha huadui na ndoa itakua ya baraka zaidi.
 
Vitu vingine bwana watu wanapenda kufanya viwe complicated tu Sasa apo mnajiuliza nini ? ebu kamsome jeffy huyu tajiri wa Amazon na mkasa wake yeye pamoja na baba yake mzazi unadhani kwa ile hela alionayo ameshindwa kumsaka baba yake mzazi eti kisa tu alimzaa? Huyu baba mlezi ndo amefanya kufika hapo alipo Sasa acheni mambo mengi sendoff iwe Dsm tu
 
Sherehe ya kumuaga binti anaeolewa anaagwa na anaoishi nao.
Sherehe ya sendoff itafanywa na aliokua anakaa nao. Huwezi kwenda sehemu hawakujui unawaambia wakuage na hawajawahi kukaa na wewe. Hapa sendoff ifanywe na mama wa binti na aliokua akikaa nao.
Mahali inaweza kutolewa kokote but kwa Baba mzazi wa mtoto itakua vyema ili kuunganisha ukoo na familia hizi mbili za Baba na Baba mlezi na mtoto husika.
Unahitaji kujua ukoo wako na wa mwenza wako kabla ya kuoana na Baba mzazi atajua vyema kuepusha ndugu kuoana.
Huenda Baba mzazi alikua hafanyi vyema katika makuzi yako lakini hadhi yake kama Baba mzazi inabaki palepale, suala la ukaribu wenu linategemea na ninyi wenyewe.
 
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.

Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?

Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.

Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.

KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Ili kuondoa sintofahamu Aachane na mambo ya sendoff afunge tuu harusi na mume wake mtarajiwa . Tatizo mabinti kupenda show off ndio inachangia kuongeza haya mambo ya sintofahamu
 
Sijaona sehemu baba alikimbia majukumu,huyo mlezi anavyokwambia nenda kwa baba usidhani ni mjinga,mahari yako haiwezi kumwongezea chochote,ye alifanya sehemu yake kama mlezi,
Sio mimi ni rafiki yangu inamuhusu
 
Back
Top Bottom