KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Kulikuwa na ndoa kati yao baba mzazi na mama?.Kama ndoa ilikuwepo ndiyo yeye akazaliwa,atakuwa baba mzazi ndiye mwenye haki.Ila kama hakukuwa na ndoa,basi baba mzazi ni ganda la muwa tu.Kiuhaisia baba yake mzazi yupo,hiyo zawadi ya gari iende Kwa baba mlezi,ila kwenye eneo la baba mzazi mbingu zinafahamu kuwa baba mzazi ni nani.usiingia kwenye changamoto za wazazi ,yeye afanye kulingana na protocol zinavyohitaji.Baba mzazi asimane mahali pake
Sasa mbona Diamond ushauri huu hamumpi!?.Mtu haitwi baba kisa amekulea kama ni hivyo wajomba kibao wangestahili hiyo Title.
Mtu anaitwa baba ikiwa amekusababishia wewe kuwepo duniani kifupi mbegu imetoka kiunoni mwake.
Sasa unajiuliza nini peleka kwa baba mwenyewe afurahie uwepo wako
Baba mlezi apewe credit.Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Ungevaa viatu vya waliolelewa bila baba ungeelewa. Baba anakula bata alafu mtoto akikua akumbukwe wee katuKiuhaisia baba yake mzazi yupo,hiyo zawadi ya gari iende Kwa baba mlezi,ila kwenye eneo la baba mzazi mbingu zinafahamu kuwa baba mzazi ni nani.usiingia kwenye changamoto za wazazi ,yeye afanye kulingana na protocol zinavyohitaji.Baba mzazi asimane mahali pake
Mimi kama baba mzazi, kwenye sendoff yake napelekwa nini?Mwache atoe tuu siku ya sendoff tena mbele ya baba yake mzazi ili nae aone uchungu wa mtoto wake kumwomba hela halafu anamzumgusha. Msitake kufanya mambo kama yapo kawaida jamani
Kabisa. Baba zembe tu halilei ulionee huruma. Kwani huyo mama anayeachwa na mimba au mtoto alee mwenyewe ye hawezi kumtelekeza, ni kwa sababu Hana jinsi. Ni kama msalaba wa Yesu msalabani alijitwisha. Mama anakuwa Hana jinsi.Watu kama nyie ndio mnachangia ongezeko LA watoto wa mtaani.
Huyo baba mzazi pumbavu, aachane naeBaba mlezi uwezo anoa sio kwamba ni masikini watoto wake wote wamesoma private mzuri sana.
Yani baba mzazi mnamkandia kama vile anahitaji hiyo alphad na mahali.Kusalenda sio tatizo. Ila uende mazima. Sio ukiona mambo yamekuwa mazuri unaanza kujileta leta
Habari wana jf kuna ishu inachanganya huku, kuna harusi miezi 3 ijayo sasa huyu binti anayeolewa anababa yake mzazi ambaye Hakushi naye alikuwa anaishi na mama yake wa mzazi wa kumzaaa na baba wa kufikia, Sasa kwenye malezi Baba wa kufikia ndo alikuwa ana muhudumia kila kitu na alikuwa anaishi kwake lakini Baba yake ambaye alikuwa na ndoa nyingine kahusikia kwenye malezi kiasi kidogo sana tena sana, na kwenda kwa Baba mzazi alikuwa ni likizo tuu kama 2 weeks anarudi kwa mama na baba wa kufikia.
Sasa kapata kigugumizi kuhusu wapi apeleke mchumba wake apeleke posa na pia wapi mahari ikatolewe pamoja na wapi afanyie send-off wake kwa Baba yake mzazi au malezi?
Baba mlezi kamwambia kuwa aende kule kwa Baba yake mzazi iringa. Ila binti anaona Baba yake mzazi hakuusika hata kwenye malezi alimuacha kwa mama yake akiwa na umri wa mwaka 1 na yeye kuoa mwanamke mwimgine. Kuna kipindi akimuomba hata pesa kidogo mzee anazungusha maneno tuu.
Sasa send off ifanyike iringa au dsm anapoishi na mzazi mlezi?
Na kama dsm nani aiandae sherehe hio?
Na kuna zawadi anataka kuotoa ya Alphard gari kwa Baba mlezi coz alimlea kama mwanae wa kumzaa bila kubagua na hata baada ya kumaliza chuo alimsaidoa kumtafutia kazi na pesa kidogo alimpa.
Na ikifanyika iringa zaiwadi ya gari ampe mlezi kule iringa.
KAONGEA NA WATU WENGI WAMEMWAMBIA KUWA AMSHILIKISHE TUU BABA MZAZI NA SIO BABA MLEZI. ITAONEKANA NI AIBU.
Umezungumza kitu kikubwa mnoooKwenye swala la kipaumbere apewe baba mlezi ila baba mzazi naye hawapaswi kutengwa uko ni kutafta laana zisizo na ulazima,
kuhusu kipato na kutodumu na mama ake mzazi ayo huwezi kuyaingilia, ayo ni mambo ya wazazi hata uyo anayemuoa uyo binti yanaweza kumkuta waakachana pia.
Hawa wanawake nyie mnajifanya hamuwaujui! Mwanamke anaweza kuachana na wewe anajua kipato chako ni chalaki moja kwa mwezi alafu kwakua kabahatika kupata mtu mwenye kipato zaidi anampeleka mtoto kwenye shure za ghalama za juu then anakumbia lipia nusu kukukomesha ukikataa kua huwezi kuafford anamjaza mtoto maneno kua baba ako hataki usome and etc,
so ayo ni kuwaachia wao chamsingi kwenye ndoa ifanye iwe kawaida nenda kwa mzee pata baraka zake hata usipompa ela najua atafurahia kumuozesha mwanae iyo furaha ni barak tosha, then kwenye sherehe ya ndoa ndo mama na baba mlezi waachie wajiachie na mazawad yote wapeni wao apo kila mtu atakua amefurahi kwa nafasi yake na utatoka bila kuacha huadui na ndoa itakua ya baraka zaidi.
Ivan sio wako lakiniKuna Dada nilizaa nae.....tulikuwa na malengo mazuri ila baadae mambo yangu yakakwama....yule Dada akawa amempata MTU mwingine....wakaoana. Mawasiliano yalikuwa mazuri kati yangu na mama mtoto....tukawa tumekubaliana mtoto akikua amrudishe kwao ili nipatacho tunagawana na Ivan wangu,na wazazi wake hasa mama alijua hayo makubaliano.
Baada ya muda yule Dada akanipigia simu kuniambia mtoto sio wangu alinisingizia.
Nikawaza sana..ila as a man nikaamua kumtafuta mama mtoto wangu private anithibitishie kuhusu uamuzi wake. Hakuja na akaenda mbali zaidi kumwambia mamake kuhusu yeye kunisingizia.
Nikaamua kuachana na hilo suala...baada ya miaka miwili siku moja napigiwa simu na huyo mwanamke akiniomba matumizi ya mtoto. Nilimpandishia sana na tulifikishana mbali.
Najua IPO siku Ivan wangu ataambiwa nilimkataa. Maybe!!
so tusiwe wepesi wa kumponda baba mzazi na kumtetea baba mlezi. Huenda baba mlezi ndo kachangia uhusiano wao kuvunjika.
Mahari apewe baba mzazi ni haki yake.
Gari apewe baba mlezi.
Baba mzazi ashirikishwe fully kwenye mipango ya ndoa ndiye mwenye kutamka BARAKA. Asante.
PoleKuna Dada nilizaa nae.....tulikuwa na malengo mazuri ila baadae mambo yangu yakakwama....yule Dada akawa amempata MTU mwingine....wakaoana. Mawasiliano yalikuwa mazuri kati yangu na mama mtoto....tukawa tumekubaliana mtoto akikua amrudishe kwao ili nipatacho tunagawana na Ivan wangu,na wazazi wake hasa mama alijua hayo makubaliano.
Baada ya muda yule Dada akanipigia simu kuniambia mtoto sio wangu alinisingizia.
Nikawaza sana..ila as a man nikaamua kumtafuta mama mtoto wangu private anithibitishie kuhusu uamuzi wake. Hakuja na akaenda mbali zaidi kumwambia mamake kuhusu yeye kunisingizia.
Nikaamua kuachana na hilo suala...baada ya miaka miwili siku moja napigiwa simu na huyo mwanamke akiniomba matumizi ya mtoto. Nilimpandishia sana na tulifikishana mbali.
Najua IPO siku Ivan wangu ataambiwa nilimkataa. Maybe!!
so tusiwe wepesi wa kumponda baba mzazi na kumtetea baba mlezi. Huenda baba mlezi ndo kachangia uhusiano wao kuvunjika.
Mahari apewe baba mzazi ni haki yake.
Gari apewe baba mlezi.
Baba mzazi ashirikishwe fully kwenye mipango ya ndoa ndiye mwenye kutamka BARAKA. Asante.
PoleKuna Dada nilizaa nae.....tulikuwa na malengo mazuri ila baadae mambo yangu yakakwama....yule Dada akawa amempata MTU mwingine....wakaoana. Mawasiliano yalikuwa mazuri kati yangu na mama mtoto....tukawa tumekubaliana mtoto akikua amrudishe kwao ili nipatacho tunagawana na Ivan wangu,na wazazi wake hasa mama alijua hayo makubaliano.
Baada ya muda yule Dada akanipigia simu kuniambia mtoto sio wangu alinisingizia.
Nikawaza sana..ila as a man nikaamua kumtafuta mama mtoto wangu private anithibitishie kuhusu uamuzi wake. Hakuja na akaenda mbali zaidi kumwambia mamake kuhusu yeye kunisingizia.
Nikaamua kuachana na hilo suala...baada ya miaka miwili siku moja napigiwa simu na huyo mwanamke akiniomba matumizi ya mtoto. Nilimpandishia sana na tulifikishana mbali.
Najua IPO siku Ivan wangu ataambiwa nilimkataa. Maybe!!
so tusiwe wepesi wa kumponda baba mzazi na kumtetea baba mlezi. Huenda baba mlezi ndo kachangia uhusiano wao kuvunjika.
Mahari apewe baba mzazi ni haki yake.
Gari apewe baba mlezi.
Baba mzazi ashirikishwe fully kwenye mipango ya ndoa ndiye mwenye kutamka BARAKA. Asante.
Yawezekana lakini mbona akiugua hunipa taarifa,je nikiisusa si ndo habar za kumlisha mtoto sumu?Pole
Huenda ni kweli mtoto sio wako.
Mkuu,mtoto ni wangu,tena copy lakini kutokana na tabia za mamake alifanya hivyo ili mambo yake yaendeIvan sio wako lakini