Haya mnayataka wenyewe, mwanamke inapaswa umzidi kila kitu..Alikuwa na issue zake hela ilikuwa ina flow, kei unaili akipenda, huna uhuru nae anarudi mda anaotaka, nikasema isiwe tabu, nikapotea kimya kimya kuendelea kupambana, karibuni nakutana nae haniambii kitu.. anajilengesha tena wakati nilisha amua kufunga zipu na kuwa kama padriii tuu 🤣🤣🤣🤣 ila ni mateso sana kuwa na mwanamke kakuzidi hela au u busy, utapiga tu nje utake usitake kwa stress utazopata ndani
Kawaida TU,Kabisa yaani nikiwaza nilivokuwa naitunza Hadi miez 6 akaigegede ikiwa safi nguvu zinaniisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nimeedit mkuu sikuelewa... mwana anajua demu falaa tu anamwaga helaa na vile anampendaaNi mdada mwenye hiki kisa, mwanaume ndio anazingua.
KujichuaNdo nn self service??
Haya manamake ni ya kuyaangalia tu hivi hivi, ila sio majitu mazuri yakikaa kwa position flani, kama huna kifua kipanda utapata depression na ni makatili shetani akasome 😁😁ohoo hapa tatizo
Aisee kutoa ushauri rahisi sana....wee nae sii ulibwagwa baada ya kukaa na jamaa.Kuuchuna kwani bei gani cute?
Acha hizo alafu ujue ninamiss yale mautamu uliyokuwa wanitumia jamaniNdo ujue mwanzoni nilikuwa nipo serious kukupa lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikagundua kuwa huyu jamaa ninae deal nae atakuwa hayupo sawa physiological.
mzabzab nunua gari mkuu hutojutia🤣🤣🤣🤣🤣 kha! Miaka mitatu jamaa anajilia mbususu tuu wakati sie wakina mzabzab tukitongoza tunaambulia vibuti.
Now namchukia sana yaani1. Vipi uyo Jamaa yako unampenda na malengo nae?
2. Vipi ukimwangalia Unaamini Naye bado anakupenda ana malengo na wewe?
3. Ni kosa lake la ngapi kukucheat tangu mmeanza mahusiano yenu?
Mkuu unakuta kipindi upo kwenye mahusiano mambo yako yapo kwenye michakato, sasa wao hawanaga akili ya kuzoom mbele.. Wanaanza leta picha picha, na hasa kwa sie wengine tusio expose kile tunachofanya anaona kaisha kupiga gape.. Kumbe shamba lako la miti Iringa mwakani unavuna unakua zaid ya yeyeHaya mnayataka wenyewe, mwanamke inapaswa umzidi kila kitu..
Elimu
Pesa
Ujanja hata hekima.
Ukizidiwa chochote katika hayo wewe mateso ni kwenu
Hutopata mwanaume aliekamilika sophy,Aisee nitajitahid kwakweli
Hadi hela ya kulipia KLM.. acha tujikunyate tu hapooo 😁😁Jaman nina rafik yangu yuko kama wew sema mpaka saiv penzi lao bado la moto. After four or six months anapanda KLM express huyooooo anaifata🤭
Na ukichunguza HapoSijamkatisha tamaa, huu ni ukweli mapenzi ya mbali ni changamoto zaidi hili lipo wazi. Hayo mengine ataangalia mwenyewe afanyaje.
Wanawake wengi huwa wanaangalia kuwa leo una nini.Mkuu unakuta kipindi upo kwenye mahusiano mambo yako yapo kwenye michakato, sasa wao hawanaga akili ya kuzoom mbele.. Wanaanza leta picha picha, na hasa kwa sie wengine tusio expose kile tunachofanya anaona kaisha kupiga gape.. Kumbe shamba lako la miti Iringa mwakani unavuna unakua zaid ya yeye
Tatizo ndalama kaka kwani unadhani tunapenda kuwa kwenye chama cha Tz11mzabzab nunua gari mkuu hutojutia
Hatuna magari, gari ndo sukari ya waremboHatuna hela hatuna kazi
😁😁😁 Acha tuendelee kuita mashemeji tuHatuna magari, gari ndo sukari ya warembo