Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Alikuwa na issue zake hela ilikuwa ina flow, kei unaili akipenda, huna uhuru nae anarudi mda anaotaka, nikasema isiwe tabu, nikapotea kimya kimya kuendelea kupambana, karibuni nakutana nae haniambii kitu.. anajilengesha tena wakati nilisha amua kufunga zipu na kuwa kama padriii tuu 🤣🤣🤣🤣 ila ni mateso sana kuwa na mwanamke kakuzidi hela au u busy, utapiga tu nje utake usitake kwa stress utazopata ndani
Haya mnayataka wenyewe, mwanamke inapaswa umzidi kila kitu..
Elimu
Pesa
Ujanja hata hekima.
Ukizidiwa chochote katika hayo wewe mateso ni kwenu
 
Kabisa yaani nikiwaza nilivokuwa naitunza Hadi miez 6 akaigegede ikiwa safi nguvu zinaniisha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawaida TU,
Usiumie Sana,Msamehe tu
Jamaa yako kateleza bahat mbaya,

Ujue sisi wanaume ni udhaifu Sana hasa pale Kichwa Cha chini kikishaamka.

Na mwanamke (ex wake) akipania umle mbususu, vishawish vyake mpk uvishinde sio KAZI ndogo dada angu,
ukzingtia miez 6 hajaonja.

Hapo jamaa alijipa moyo,
"Ngoja nimle nipite hivi"
Ikawa "eat and trapped"

Ndo mpk hivyo ukaja kumnasa.
 
Kuuchuna kwani bei gani cute?
Aisee kutoa ushauri rahisi sana....wee nae sii ulibwagwa baada ya kukaa na jamaa.
Ndo ujue mwanzoni nilikuwa nipo serious kukupa lakini kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikagundua kuwa huyu jamaa ninae deal nae atakuwa hayupo sawa physiological.
Acha hizo alafu ujue ninamiss yale mautamu uliyokuwa wanitumia jamani
 
Hii ndio faida ya kuwa tegemezi ....


Kupitia hizo chati zenu inaonyesha wazi umasikini ndio ulikuweka hapo + ahadi ya ndoa imekuvuruga zaidi..

Eidha huamini utampata mwingine anaeweza kukutimizia shida zako za kiuchumi kama huyo
 
1. Vipi uyo Jamaa yako unampenda na malengo nae?

2. Vipi ukimwangalia Unaamini Naye bado anakupenda ana malengo na wewe?

3. Ni kosa lake la ngapi kukucheat tangu mmeanza mahusiano yenu?
Now namchukia sana yaani

Ananipenda baada ya kujua nimegundua ukweli niliongea sana na hkunjibu zaiid alinambia tu tutaongea hasirazako zikiisha Hadi Leo hazijawah kuisha 🤣🤣🤣pia namba ya msichana alinipa mwenyew nimpigie sema baada kumpigia msichana akatishia kunywa sumu nikaona mapenz Sio vitu vyangu 🤣🤣🤣

Ndo ya kwanza Kwa miaka yote napata na uhakika zingine sijawah kuhis Wala kujua pia tulikuwa kwenye open relation ship yaan ukidate nae uwe na rohongumu sana maana nikiwepo tu lazima upigwe stop Kwa muda
 
Haya mnayataka wenyewe, mwanamke inapaswa umzidi kila kitu..
Elimu
Pesa
Ujanja hata hekima.
Ukizidiwa chochote katika hayo wewe mateso ni kwenu
Mkuu unakuta kipindi upo kwenye mahusiano mambo yako yapo kwenye michakato, sasa wao hawanaga akili ya kuzoom mbele.. Wanaanza leta picha picha, na hasa kwa sie wengine tusio expose kile tunachofanya anaona kaisha kupiga gape.. Kumbe shamba lako la miti Iringa mwakani unavuna unakua zaid ya yeye
 
Aisee nitajitahid kwakweli
Hutopata mwanaume aliekamilika sophy,
Banana na uyo wako mrekebishane.

Kuna wanawake mna bahat sana,
Huyo wako mbona mtakatifu Sana.

Hivi kizazi hiki unapata wapi mwanaume anaekiri kosa la kuchepuka?
 
Wewe bado unamtaka huyo sasa unamjibujibu ya nini?

Unatakiwa umjibu mara moja tu sitaji mawasiliano na wewe, basi inatosha. Baaada ya hapo hata akusumbue vipi unafuta tu text zake.

Hayo ni Madharau Makubwa Mtu kakuacha alafu kamrudia Ex Wake.
 
Sijamkatisha tamaa, huu ni ukweli mapenzi ya mbali ni changamoto zaidi hili lipo wazi. Hayo mengine ataangalia mwenyewe afanyaje.
Na ukichunguza Hapo
Kosa sio jamaa,Ni distance
Atatue Changamoto ya distance maisha yaendelee
 
Mkuu unakuta kipindi upo kwenye mahusiano mambo yako yapo kwenye michakato, sasa wao hawanaga akili ya kuzoom mbele.. Wanaanza leta picha picha, na hasa kwa sie wengine tusio expose kile tunachofanya anaona kaisha kupiga gape.. Kumbe shamba lako la miti Iringa mwakani unavuna unakua zaid ya yeye
Wanawake wengi huwa wanaangalia kuwa leo una nini.
 
Back
Top Bottom