🤣Dah sasa wewe nani alikwambia kuwa long distance relationship zina work? Hapo lazima kidume akamatie mbususu nyingine huku wee ukiendelea na self service.
Achana nae huyo wee njoo hapa nikuwowe upate kuheshimika katika jamii. Sio watu wanakula mbususu na kusepa huku wukiwa unataabika na self service
Pole shangazi. Na mie nimeachika usiku wa jana baada ya mwanamke kupata promotion kazini, tumedumu kwa miezi miwili tu [emoji23][emoji23][emoji23] hapa natafuta wa kuziba nafasi chap chap
Mtoto mrembo ananinyima mbususu sijui kwa nini. Ona sasa yeye anavyoteswa huko na mwanaume mwengine.mzabzab masihara mengi sana[emoji4]
Mzabzab 😂 labda nifeKwani ulimkubalia
Tatizo hauko focused,Nampenda sana huyu mwanamke sema yeye ndio hataki kabisa kusikia kuhusu uoendo wangu. Kumbe kuna jamaa amekaa moyoni mwake
Atupe kazi, hawezi kuona tunashinda shinda humu, wanafikiri tunapenda kushinda humu 🤣🤣🤣
Apewe u moderator[emoji1787][emoji1787]siku hizi jf imekua mali yako kabisa
Iyo ndo shida namba moja naiona sidhani km tungekuwa karibu tungefikia hiv pia mm mwajiriwa kurudi huko ni. Changamoto lkn ndo maishaDear, nilichojifunza mahusiano ya mbali kudumu ni kwa % chache sana. Uzuri alikuambia mapema hivyo endelea na maisha mengne. Pole.
Wee na sophy mtakuja kumtoa roho mzabzab, anawapenda balaa[emoji4]
Jana umenischa sijui hata kosa langu lipi, ama kweli nanyota ya dudu washa 🙂🙂[emoji19][emoji19][emoji19]
Ujue hata kama unahitaji mwanamke wa kuzaa nae tu...inabidi ubadilike
Queen Kan umeoewa majibu hapa.Atupe kazi, hawezi kuona tunashinda shinda humu, wanafikiri tunapenda kushinda humu 🤣🤣🤣
Usimiatishe tamaa,Dear, nilichojifunza mahusiano ya mbali kudumu ni kwa % chache sana. Uzuri alikuambia mapema hivyo endelea na maisha mengne. Pole.
Nilikua nafagia kule nje ila ndo nimetia timu hapa nshakunywa zangu chai sina baya. National Anthem umeamkaje asali wa moyo?