Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Basi uko karibu kupata na kula mzigoKaka huko pm ninabembeleza mpaka nauli nimetuma lakini dah, kisicho riziki hakiliki mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi uko karibu kupata na kula mzigoKaka huko pm ninabembeleza mpaka nauli nimetuma lakini dah, kisicho riziki hakiliki mkuu
msikilize kijana mwenzioUliweka na ya kutolea lkn
hahahahahahaKabisa yaani nikiwaza nilivokuwa naitunza Hadi miez 6 akaigegede ikiwa safi nguvu zinaniisha🤣🤣🤣🤣🤣
Umemaliza kabisaSometimes letting go, is the best way to go !
Ex wako sio tu kukuachana Nawewe, bado Hana utayari wa KUOA hata huyo walorudiana naye.
Kilichotokea jamaa anaendelea kua karibu yako Ili aendelee kua na Free K ya pembeni.
Sasa uamuzi ni wako, kuendelea kua kipoozeo? Au lah.
Kuendelea kujizibia nafasi Kwa mtu Fulani anayekuhitaji , au kuruhusu Maisha mapya!
Hebu mfanyie wepesi kijana mwenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie ushauri wa mapenzi sina kwa kweli siku hizi. Nikiangalia jinsi mahusiano yangu yanavyoniendesha sitaki mtu apitie.
Je nastahili au wanawake mkiamua tu ni freshAkazeee akukomeshe
Pole sana, nahisi sasa ni muda sahihi Wa kumove on , Kama huto jali nipatie namba yako tuyajenge .Nilikuwa kwenye serious relationship miaka 3 hivi na tulipanga tufunge ndoa mwaka huu baada ya kuwa mbali akaamua kurudiana na ex wake na mwisho akakubali kuwa kweli wamerudiana na kizuri zaidi alisema sijawahi mkwaza na hakuwa na sabbu ya msingi ya kunifanyia hivyo nikaona Riziki tu kumbe Ilikuwa imeisha maisha yaendelee.
Ila nilikuwa nawapenda sana yeye familia yake na hata mtoto wake na nilikuwa nawaona kama ndugu zangu kabisa lakini baada ya hayo sitaki mazoea nae kabisa niishi maisha yangu.
Shida ni kuwa analazimisha tuwe karibu na mm nilishakataa nishamblock mara kadhaa lakini atatafuta namba anipigie mara anitext nikaona nimuunblock tu
Ndugu zake Bado wananitafuta mara hivi mara hivi, naona wananirudisha nyuma Kila wakati. Mnipe mbinu mpya sitaki kusikia habari zao kabisa.
Kumbe mkono wa birika halafu unataka uolewe 😂😂😂 endelea kuswampa tu! Sikuhizi watu wanaangalia na investment zimekaaje sawa tu na nyie mnavyolengaga.Kuhusu pesa nilimzidi kiasi mm nimekuwa na biasharayangu tangu nikiwa na miaka 22 lkn sikuwahi kumpa pesa lkn ushauri ni kitu kikubwa nilivokuwa nimewekeza kwake nilikuwa Nampa ushauri vitu vya maana na vingi vinenyooka ila x wake alikuwa anatoa pesa kias had Sasa zinafika milion nakitu alisema mwenyew bhana kachagua Hela Hela 😂😂😂
Pia kifamilia ni upendo tu Ile
kuwakimbilia wakat wa huzuni na furaha pesa hmna na nilishasema simpi Hela mwanaume mwenyew nazitafuta Kwa shida sana
Hii comment ina uzito wa nyota3😄😄😄😄 Ukweli ndio huo, huna hela utaziona kwenye comment tu.. Na kuishia kutaniana nao ila kula huli wala kugusa
Mateso ya nini weka blockUkishajua ni yeye unakata au unaacha kujibu. Ikiwezekana mtishie kumchukulia restraining order.
Mi naona apewe tu jamani, mkubwa mwenzio sio vizuri kumnyimaAlafu anawivu balaa🤣🤣🤣🤣Yani Kila nikiongea anawaza mbususu yangu tu
Sophy nimekuelewaMimi naheshimika sana kuliko unavodhani kinachompa mtu heshima sio ndoa pekee ni the way anavoishi na watu na anavojiweka wew sema tu Sophy nimekuelewa sio masuala ya heshima 😂😂😂
Wee hawa ikija suala la ndalama sahau wao kukupatia. Wanachuku tuuKumbe mkono wa birika halafu unataka uolewe 😂😂😂 endelea kuswampa tu! Sikuhizi watu wanaangalia na investment zimekaaje sawa tu na nyie mnavyolengaga.