Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Kvp mkuu maana nijuavyo mimi kitambi au unene hutokana na vyakula sasa inakuaje ufanye mazoezi kisha ukirudi kutoka kufanya mazoezi uendelee tena kula chakula kilekile chenye kukusababishia kitambi na uzito kisha ukataraji kupata mafanikio kwenye hayo mazoezi?
Chief kuna mazoezi halafu kuna mazoezi extreme. Kama unafanya extreme chakula chochote unachokula kitatumika katika kukupa nguvu.
 
Ungesema ugali, mahindi ya kuchemsha na ya kuchoma hayana shida. Tatizo ni ugali hasa wa sembe.
Achana na mahindi mkuu, si unaona jinsi akili za watanzania zimekaa upande upande?
 
Ugali hasa wa sembe ni tatizo kubwa, una virutubisho vichache na ni chanzo cha kiribatumbo na vitambi kwa watu wengi, watu wanatakiwa wale mahindi ya kuchemsha au kuchoma.
Uko sawa. Then hapo shida sio kushindilia ugali, shida ni jamii kutopata elimu kuhusu suala la ku incorporate aina zingine za chakula kwenye main dish a.k.a ugali. Hilo likifanyika i think watu watafunguka akili maana watanzania wengi wanahusudu mboga zaidi so n kama wanajibania.
I wil give you an example, watu wanaoishi maeneo ya ziwani, chakula chao kikuu ni ugali lakini huez kukuta wana utapiamlo kwa sababu wanapata samaki wengi hivyo chakula chao kinakua na protein ya kutosha
 
Wanga usio mzuri mwilini ni huu wanga mweupe wa kuchakata viwandani kama Sembe, ngano nyeupe,
Achana nao wapuuzi tu hao.

Wazee wwtu zamani walikula sana wanga hawakuwa na maobesity na visukari vilikuwa vichche.

Wazee wetu zamani walikunywa sana miti shamba na wala figo hazikupata shida ndio maana waliishi miaka mingi sana.
 
Ugali hasa wa sembe ni tatizo kubwa, una virutubisho vichache na ni chanzo cha kiribatumbo na vitambi kwa watu wengi, watu wanatakiwa wale mahindi ya kuchemsha au kuchoma.
Kweli lakini its all about portions. Maana kama mtu anakula ugali pekee then hapati nutrients. Sahani inatakiwa iwe na virutubisho vyote muhimu
 
Binadamu wengi wana asili ya unene, ni wachache ambao hawawi mabonge wakila sana.
Haya mambo ya unene na ulaji naonaga labda tu ni asili ya mtu si wengine tunabugia kila kitu na bado hatuwi mabonge.
 
🤣🤣🤣 mkuu nin teeena? Kwenye maisha sio dhambi kujipongeza kila baada ya hatua flani. Kupata mbususu sio lazima, lakini mwili uliojengeka vzuri unakuweka katika advantage.
Hata binadamu ni wanyama pia, na katika animal kingdom females wanakua tayari kuti*wa na wale males ambao wanaonekana strong because wanaamini wataeza kupata vizazi ambavyo vina nguvu zaidi n.k.
Therefore, wewe hapo na likitambi lako plus mwili uliokaa kama bagia haimaanishi utakosa mbususu, utapata lakini nguvu utakayotumia ni kubwa na pia kiwango chako cha uchakataji lazima kiwe duni, pia hata huyo mams atakua hana uhuru na wewe especially mbele za watu because una umbo kama papai.
With a good body, hutumii nguvu nyingi na pia women wanaaminj huez kua na shoo mbovu maana uko mkakamavu.
So, choice ni yako
Asante sana...bottom line pale pale...mbususu.
 
Chief kuna mazoezi halafu kuna mazoezi extreme. Kama unafanya extreme chakula chochote unachokula kitatumika katika kukupa nguvu.
Kwahiyo itabidi uwe mtu wa kufanya mazoezi extreme muda wote ili kuzuia hiyo hali ya kunenepa kutokana na chakula?
 
Kwahiyo itabidi uwe mtu wa kufanya mazoezi extreme muda wote ili kuzuia hiyo hali ya kunenepa kutokana na chakula?
Na ilivyo ni kwamba kuacha kula ili upungue haiwezekani unless umelenga kujipa bulimia
 
Habari wana jamvi.

Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k

Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.

Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili.

Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.

Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje?

Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.

Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
NB: sina ugonjwa wowote unaonizuia kula chochote.
Sasa wewe unajutafutia maradhi ambayo hukuwanayo yakiwemo vidonda vya Tumbo jiulize tangu udogowako Mama alikuwa anakupa chakula gani hadi sasa hivi unajifanya hupendi vyakula vya wanga? Angalia isiige Maisha
 
Mimi nataka niwe fit tu na kupunguza mwili wangu. Maana najiona nanenepa kila uchwao.
Fanya intermittent fasting na mazoezi kidogo itakusaidia.
Mimi nimenenepa mpaka sijipendi ila nimepunguza kula hovyo nafanya na mazoezi kidogo lakini nimeanza kuona napungua taratibu.
Pia ukiweza unafunga na vimazoezi hata nyumbani asubuhi na jioni kwa nusu saa.
Ila sijui kama inaapply kwa kila mtu au inategemea na mtu.
Hiyo kuacha wanga ilinishinda Mana kipato changu hakinuruhusu zaidi nitakuwa nafanyia kazi tumbo.
 
Pia to add on that, epuka kabisa sugars and processed foods. Hasa hasa soda. Pia product za ngano digestion yake hua inachukua muda so sio nzuri. Pendelea kukula vyakula vya asili kama ugali n.k.. Uandaaji pia ni suala lingine, the food should be nutritious zaidi kuliko ya kujaza tumbo tu
Mkuu hiyo njia yako ya kula inaweza kukata kitambi?
 
Back
Top Bottom