Tempus Fugit
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 850
- 2,212
Ukitaka kujua sukari ni sukari..iwe ya tunda au miwa...mpe mgonjwa wa kisukari ndizi au nanasi..then mpime kiwango cha sukari. Utakuta imepanda.Sikujua hili,nilijua ya kiwandani mbaya na ya matunda ni nzuri
Wanga na sukari zama zetu tunavila kupindukia na kupelekea miili kuhifadhi extra sugars as fats..na hii hupelekea kunenepa au mafutq kujaa kwenye internal organs. Hii hupelekea chronic inflammation ambayo huleta magonjwa mengi ya mtindo wa maisha.kitakacho kudhuru sio wanga ni mafuta wanayopikia mitaani ni yapi?na yamepikiwa mara ngapi ? na rangi yake ikoje ? wengi watu huumia bila kujijua wanapokula nje.huwezi kuepuka kula chakula cha wanga kula ila punguza. mchele uoshe pia pikia maji mengi kisha ikichemka mwaga maji itakuwa umeiondoa wanga
Uko sawa...sukari ni sukari. Na mechanism ya digestion yake ni ile ile...iwe ya kiwandani au ya tunda sukari ni sukari na effect yake kwenye mwili ni the same.
Kwahiyo umehitimishaje hapo mkuu au point ni ipi? Maana nilichokuwa nasema mimi ni kwamba mwili hauwezi kubainisha ya kwamba hii ni sukari ya asili(matunda,asali n.k) na hii ni sukari ya kiwandani.
Upo sahihi 100%Yes inaweza. Kitambi ni fat deposits tu. So when your body starts metabolising energy from fats instead of carbohydrates automatically mafuta yote yanaunguzwa. Lakini ujue kwamba hiki sio kitu cha kuona matokeo ndani ya wiki moja. Consistency is the key kwenye this issue
Ugali ni chanzo Cha umasikini?Karibu jamii zote amabzo ugali ni chakula chao kikuu zimejaa umaskn. Na hii ni afrika kusini mwa jangwa la sahara
Kuna connection ya kitu kimoja na kingene, jaribu kufuatilia flow utaelewaUgali ni chanzo Cha umasikini?
Ugali unga wa mahindi una;United States wanaongoza kulima mahindi karibu acres 90+M wanalima tu mahindi lakin ugali unaongoza kuliwa sana huko usukumani hamna hata maeneo ya kulima hayo mahindi ndo ujue kuwa ugali siyo kitu kizuri
Tafuta pesa utaona mambowana jamvi.
Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k
Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.
Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili.
Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.
Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje?
Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.
Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
NB: sina ugonjwa wowote unaonizuia kula chochote.
Mkanganyiko upi? Nijuavyo kuna aina kuu tatu tu za sukari kwahiyo unatakiwa ujue ni aina gani ya chakula na kuna sukari gani ndani yake iwe kwenye matunda au kutoka kiwandani.Kuna mkanganyiko hapa ,tusubiri wataalamu wafafanue, lakini haingii akilini kulinganisha sukari ya kiwandani na inayopatikana kwenye matunda
Shukrani boss,kujifunza hakuishi, thanksUkitaka kujua sukari ni sukari..iwe ya tunda au miwa...mpe mgonjwa wa kisukari ndizi au nanasi..then mpime kiwango cha sukari. Utakuta imepanda.
Sure bossKila la kheri.. usisahau mazoez kidogo na pia consistency. Fanya hata miez 6 uone changes ztakavokua. Pia dont be too strict with yourself, mara moja moja sana usisahau kuenjoy maisha
Nimekucheck Pm, Respond pleaseAsanteni nyote kwa michango yenu. Nimejifunza kitu na pia wengine wamejifunza.
Mungu awabariki sana.
Aisee we jamaa niongeze nguvu tuwe wawili labda tutaweza maana peke yako Hilo zoezi utashindwaHabari wana jamvi.
Kijana wenu nikiwa na umri wangu wa miaka 33 kamili, nimedhamiria kwa hiyari yangu mwenyewe, bila kushurutishwa wala kushawishiwa na mtu yeyote; kuacha kula kabisa vyakula vyenge wanga. Vyakula vyenye wanga kwa wingi ni kama mahindi, mpunga, mihogo, viazi, magimbi, ngano, mtama n.k
Inaaminika kisayansi vyakula hivi vikitumika kwa wingi vinasababisha sana kitambi na unene, kisukari na magonjwa ya moyo.
Juzi Jumatatu, 21.03.22 nikaanza movement yangu bila kuwa na mpango maalum. Asubuhi sikujua ntakula nini...mpaka imefika saa 5 sijala kitu. Sehemu za kula zote zina vitafunwa tulivyovizoea maandazi, chapati, vitumbua, mikate, viazi, mihogo and the likes. Ikafika saa 7 njaa inauma vibaya sana mpaka nikahisi kutetemeka mwili.
Nikajisemea cha kufia nini? Nikala zangu dona safi, nyama, maharage na spinach. Baadae nikawa nakunywa tu maji.
Sasa najiona kabisa sina plan na sielewi hii game inachezwaje. Najua humu kuna wazoefu wa haya mambo. Naomba mnisaidie wenzangu msiokula wanga ama heavy meals mnafanyaje?
Mnakula nini hasa? Na mliishindaje njaa hizi siku za mwanzo mpaka tumbo lizoee? Maana ile juzi nilihisi mpaka kizungu zungu.
Mimi napenda sana nyama iwe ya kuku, ng'ombe, mbuzi, kuku n.k. Ndio udhaifu wangu mkubwa.
Nipeni ushauri wadau. Hili ndio lengo la uzi.
Asanteni.
NB: sina ugonjwa wowote unaonizuia kula chochote.
Zoezi linaendaje??Karibu