Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Wanga na sukari zama zetu tunavila kupindukia na kupelekea miili kuhifadhi extra sugars as fats..na hii hupelekea kunenepa au mafutq kujaa kwenye internal organs. Hii hupelekea chronic inflammation ambayo huleta magonjwa mengi ya mtindo wa maisha.
 
Uko sawa...sukari ni sukari. Na mechanism ya digestion yake ni ile ile...iwe ya kiwandani au ya tunda sukari ni sukari na effect yake kwenye mwili ni the same.

Kuna mkanganyiko hapa ,tusubiri wataalamu wafafanue, lakini haingii akilini kulinganisha sukari ya kiwandani na inayopatikana kwenye matunda

Kwahiyo umehitimishaje hapo mkuu au point ni ipi? Maana nilichokuwa nasema mimi ni kwamba mwili hauwezi kubainisha ya kwamba hii ni sukari ya asili(matunda,asali n.k) na hii ni sukari ya kiwandani.
 
Upo sahihi 100%
 
United States wanaongoza kulima mahindi karibu acres 90+M wanalima tu mahindi lakin ugali unaongoza kuliwa sana huko usukumani hamna hata maeneo ya kulima hayo mahindi ndo ujue kuwa ugali siyo kitu kizuri
Ugali unga wa mahindi una;

-Carbohydrate
-Vitamin B
-Iron
-Fat
-Unga wa mahindi una protein 12% , ngano 14%
-mahindi ya njano Yana vitamin C & A nyingi kuliko ngano.
-Mahindi Yana kiwango sawa Cha vitamin E & K na ngano.

Nutritions zinazo patikana kwenye unga hazitofautiani Sana na za kwenye mchela na ngano.

Hao waamereka ugali sio utamaduni wao kula ,lakini wanayatumia mahindi kutengeneza popcorn Sasa sijui anayekula ugali na huyo anetafuna popcorn wanatofauti gani.

Wewe kula ugali ndio chakula chako ,Cha muhimu ni kupangilia mboga nzuri na zenye nutritions
 
Tafuta pesa utaona mambo
 
sijapitia comments zote kujua kama umesaidika ama la, Ila msome mtu anaitwa DR. Boaz Mkumbo ( md ) facebook na instagram anatoa ushauri mzuri sana na namna ya kupangilia sahani yako.
 
Asanteni nyote kwa michango yenu. Nimejifunza kitu na pia wengine wamejifunza.
Mungu awabariki sana.
 
Kuna mkanganyiko hapa ,tusubiri wataalamu wafafanue, lakini haingii akilini kulinganisha sukari ya kiwandani na inayopatikana kwenye matunda
Mkanganyiko upi? Nijuavyo kuna aina kuu tatu tu za sukari kwahiyo unatakiwa ujue ni aina gani ya chakula na kuna sukari gani ndani yake iwe kwenye matunda au kutoka kiwandani.
 
Kila la kheri.. usisahau mazoez kidogo na pia consistency. Fanya hata miez 6 uone changes ztakavokua. Pia dont be too strict with yourself, mara moja moja sana usisahau kuenjoy maisha
Sure boss
 
Aisee we jamaa niongeze nguvu tuwe wawili labda tutaweza maana peke yako Hilo zoezi utashindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…