Ushauri: Nataka kuacha kula wanga kwa mwaka mzima

Mchana ukiwa kazini unewezaje kupata parachichi, mchemsho wa mboga mboga unavichemshia wapi?

Nataka nipungue kidogo, ila mazingira ya kazini najikuta ni wali na chips. Usiku nilikuwa nimeweza kula mboga mboga na matunda na maziwa ila nikaja pata dalili za amoeba, nikajua ni ma mboga.

Nimeacha kula usiku ila bado sijapungua. Mimi sio mnene nina mwili wa kawaida ila naona kama kuna ka kitambi kanakuja kwa mbali.

Kuna rafiki yangu mchana ugali anaokula mkubwa nusu sahani jion bonge la sahani ya wali, cha ajabu hana tumbo hata kidogo haya maisha.

Kufanya diet yataka moyo, najikalia zangu ndani najilia nyanya chungu parachichi na ka ugali kadogo mara shoga yangu anaingia na kitimoto, najisemea moyoni sili, mara naonja moja, mara mbili kweli yataka moyo.
 
Well ni kweli, kimeisha. Nilikua obese plus plus, but kimeisha. Sema shida ni kwamba kila nikijisahau kidogo (especially on vacations) kinarudi. Na ukigain weight unanotice kabisa mwili umekua mzembemzembe
Kwahiyo wewe hufanyi mazoezi una deal na misosi tu?
 
Ndugu dawa ya kukata kitambi ni kupunguza kula wanga tu. Kula protein kwa wingi na health fat bila kusahau mboga za majani na matunda.
Nakukubalia maoni yako.

Ila Mimi kama gym goer nakubishia.
 
Mimi kazi yangu 80% ni off office-field. Naweza pata matunda na mboga. Ishu ni namna ya kuziandaa.
Ila ni kitu kizuri sana. Ngoja niendelee hivi hivi.
 
Sio
Sio kweli
 
So bro umeacha kula wanga ili uburn calories? Hufanyi hata zoezi la kupanda ngazi na utachoma calories?
 
We have so many locally produced fruits in Tz
 
Reactions: len
Kuna mtu namfahamu yeye kila siku jan to December anakula wali ,hana kitambi ana mwili mzuri tu.

Ndugu yangu jilie tu mbinguni hakuna hotel, kule ni kuimba mapambio tu.
Sasa mbingu yahusika nini na namna ya ulaji wangu? Ndio kusema naogopa kifo?
I'm a pro biker na siogopi road chaos.
 
Ofisini asubuhi natoka hime nishakunywa maji moto, maziwa na mayai, so hapo mwendo wa maji au maziwa mtindi, mchana nakula choma yoyote iwe kuku,ng'ombe au mbuzi.
Uzuri katika wiki nina siku 2 tu za kukaa ofisini japo huwa nasikia njaa sana kwa hiyo kula choma ni lazima.
 
Nitajaribu na Mimi.
 
Achana nao wapuuzi tu hao.

Wazee wwtu zamani walikula sana wanga hawakuwa na maobesity na visukari vilikuwa vichche.

Wazee wetu zamani walikunywa sana miti shamba na wala figo hazikupata shida ndio maana waliishi miaka mingi sana.
Zamani ipi mkuu?
 
Hebu Lizzy tusaidie ratiba yako, Maana wewe sina mashaka kbsa na ratiba yako ya misosi Mama wa Kuonja...
Mie siunaonaga sahani yangu haikosi ugali/wali/ndizi/chapoo na ndugu zao wengine. Nnachozingatia ni kiwango tu...ambapo hainipi shida kwavile mwili ushazoea.

Ngoja na mimi ntajaribu kuondoa wanga kwenye diet yangu mwezi ujao. Ntafanya for about a week nione itakuwaje....
 
Kuna wengine wanafanya mazoezi ya nguvu ila hawapungui na sababu ni chakula wanachokula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…