GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Kenge analiwa kuna jamaa flani tulikuwa nao kitaa walikuwa wana wala sana....wana mafuta na wamenona kama kuku kama ni mgeni huwezi kutofautisha kati ya nyama ya kuku na kenge...we kula tu tena unamchoma fresh.
Kuna mpemba mmoja alikuwa mwanajeshi alikuwa ana wala sana...jamaa walikuwa wanawawinda sana...wana wasaka mpaka kwenye vichaka wakiona kenge kakimbilia shimoni mtu anaingiza mkono na anamchomoa mzima mzima yaani walikuwa wanawachululia kama kuku tu.
Jina maarufu walikuwa wanawaita "Salasa"
Hiyo mitaa unaweza kukatiza mtaani unakutana na dogo kabeba kenge mzima au wako wanamchuna.
Madogo walikuwa wanatoroka shule wanaenda kuwinda kenge...wakiwakamata wanawapika wanakula na ugali mkubwa sana kisha wanashushia na Widi...sikuwahi kuona mtu amedhurika kwa kula Salasa.
WE ANZA KUWALA HIYO NI MBOGA MKUU.
Kuna mpemba mmoja alikuwa mwanajeshi alikuwa ana wala sana...jamaa walikuwa wanawawinda sana...wana wasaka mpaka kwenye vichaka wakiona kenge kakimbilia shimoni mtu anaingiza mkono na anamchomoa mzima mzima yaani walikuwa wanawachululia kama kuku tu.
Jina maarufu walikuwa wanawaita "Salasa"
Hiyo mitaa unaweza kukatiza mtaani unakutana na dogo kabeba kenge mzima au wako wanamchuna.
Madogo walikuwa wanatoroka shule wanaenda kuwinda kenge...wakiwakamata wanawapika wanakula na ugali mkubwa sana kisha wanashushia na Widi...sikuwahi kuona mtu amedhurika kwa kula Salasa.
WE ANZA KUWALA HIYO NI MBOGA MKUU.