secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Mimi mwenyewe nakula watu......Ukifikia kula watu nicheki
madem lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mwenyewe nakula watu......Ukifikia kula watu nicheki
Unawachoma nyama?Mimi mwenyewe nakula watu......
madem lakini
Nikajua kuwala na kuwaacha haiKuchoma nyama
Kilo ya nyama ya mtu bei gani mkuu?! Au unawinda mwenyewe?!
Mkuu nawewe unakula!Nyama ya kenge ni nzuri kwa kuchoma...
usipike...
Yah! Unaweza kula ukawa na akili zake. Akili za kenge ndugu dah ni mjadala mzito..Ukaona ukimla utakuwa na akili kama zake au?
Nitaenda kuwinda naeKilo ya nyama ya mtu bei gani mkuu?! Au unawinda mwenyewe?!
Hapana siwachomi nyama kuna namna flani hv ya kuwala uhai wao wanabakinaoUnawachoma nyama?
Nilishawah kutaka kula ila nikiona kile kichwa mhhNyama ya mamba inaliwa na inauzwa ghali Sana kg 1 ni 30,000/= pale kibaha kwa mzungu Sasa mamba na kenge ni ndugu je Kuna tatizo naomba ushauri.
Naishi pembeni ya mto Kuna kenge wengi Sana.
Una maanisha jamaa ana stress za kuchapiwa mpaka amekua na mawazo haya tunayo yashuhudia hapa leo hii...?!Una shida mahali katika kichwa chako jaribu kumuona mtaalamu wa akili kabla hujajinyonga, pia maisha hayajawa magumu kiasi hiki hadi uanze kula kenge mkuu, pole sana kwa yanayokusibu..
Tangu uchapiwe mke wako na vijana wa DSO akili yako imekuwa kama ya mtoto mdogo..
Kenge wanaliwa vizuri tu, jaribu kuwasiliana na watu wa kaskazini unguja watakuelekeza.Nyama ya mamba inaliwa na inauzwa ghali Sana kg 1 ni 30,000/= pale kibaha kwa mzungu Sasa mamba na kenge ni ndugu je Kuna tatizo naomba ushauri.
Naishi pembeni ya mto Kuna kenge wengi Sana.