Ushauri: Nataka kuanza kula nyama ya kenge

Ushauri: Nataka kuanza kula nyama ya kenge

Kulatu mkuu. Kula wote hao nyangumi kula,bundi,nyani,popo,vyura piga kwasana.
Kula wasio pendelewa na binadamu wenzio hutaminyana na watu.
Kula ndege na wanyama wote waletao uchuro
 
Kwenye mapishi tumia LIMAO nyingi ana shombo sana, halafu mtamu sana ukimbanika halafu ukampiga na ugali wa Sembe ili uipate ladha yake vizuri maana ukimla na Dona watashindana ladha mdomoni..
 
Una shida mahali katika kichwa chako jaribu kumuona mtaalamu wa akili kabla hujajinyonga, pia maisha hayajawa magumu kiasi hiki hadi uanze kula kenge mkuu, pole sana kwa yanayokusibu..

Tangu uchapiwe mke wako na vijana wa DSO akili yako imekuwa kama ya mtoto mdogo..
 
Una shida mahali katika kichwa chako jaribu kumuona mtaalamu wa akili kabla hujajinyonga, pia maisha hayajawa magumu kiasi hiki hadi uanze kula kenge mkuu, pole sana kwa yanayokusibu..

Tangu uchapiwe mke wako na vijana wa DSO akili yako imekuwa kama ya mtoto mdogo..
Una maanisha jamaa ana stress za kuchapiwa mpaka amekua na mawazo haya tunayo yashuhudia hapa leo hii...?!
 
Nyama ya mamba inaliwa na inauzwa ghali Sana kg 1 ni 30,000/= pale kibaha kwa mzungu Sasa mamba na kenge ni ndugu je Kuna tatizo naomba ushauri.

Naishi pembeni ya mto Kuna kenge wengi Sana.
Kenge wanaliwa vizuri tu, jaribu kuwasiliana na watu wa kaskazini unguja watakuelekeza.
 
Back
Top Bottom