kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Mkuu mbilitanotano umefanya la maana kushea humu hio scenario yako. Hata mimi pia napitia same situation kama ya kwako. Nadhani tunaweza wasiliana tuone tunafanyaje kukabiliana na hali ila tu kwa ushauri kidogo mkuu ondoa kabisa mentality ya kuomba ushauri wa kukabiliana na maisha yako mwenyewe mtandaoni.Wakubwa kwangu shikamoni, wadogo kwangu habari zenu ?
Hongereni kwa majukumu na afya njema, poleni mnaoumwa Mungu akawajaalie mpone.
Ndugu, Nilizaliwa miaka 31 iliyopita. nilipenda sana kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi, sikufanikiwa kutokana na umri wangu kupita ule unaotakiwa, kukosa fani zinazotakiwa huko, na kutokuwa na mtu wa kunishika mkono kuingia huko. Nina shahada ya sayansi.
Kuna mahala serikalini nimejitolea kwa miaka minne sasa, walivyotoa ajira kupitia utumishi nimebwagwa kwenye usahili nikashindwa ! wakaajiriwa vijana wengine ambao hawakuwa wakijitolea pale. Nimefanya saili nyingi za kuomba kazi utumishi na kwingineko lakini sijafanikiwa kupata kazi.
Hapo Kibaruani wanatoa sh. 15000 kwa siku mtu atakayofanya kazi, (300,000 na kidogo kwa mwezi maana ijumaa pili hatufanyi kazi) hicho kiasi cha fedha kwa mkoa wa Dar es salaam kinaishia kulipa kodi, nauli za kwenda kibaruani, kununua umeme, kula kwa mama ntilie (2000 msosi mmoja), kulipia taka, kulipia ulinzi mtaani, sadaka kanisani, VOCHA na matumizi mengine; sijafanikiwa kuweza kuweka akiba. Sina mchumba, mke wala mtoto maana sina hela za kuniwezesha kuwahudumia, Ukinunua napo magonjwa lukuki .... ila homoni za mwili zenyewe zinafanya kazi yake hazielewi hali yako kiuchumi kwa hiyo ni shida tupu.
Huwa ninatamani sana kwenda jeshini lakini umri, fani na konekisheni ni changamoto
Ninatamani kuoa lakini sina kazi, nikifikiria kurudi kijijini kulima, sawa lakini mtaji wa kulimia na mashamba sina. Nafikiria kusoma 'post graduate diploma in education' ili niwe na taaluma ya ualimu badae niombe kazi serikalini kama mwalimu wa fizikia n.k lakini hela ya kulipia ada (milioni mbili) sina. Huwa ninapenda pia kufanya biashara ya stationery lakini mtaji nao sina !
Ninawaza kurudi chuo kusoma kozi za afya kwa diploma, ada sina ! Nipo njia panda ndugu ninaombeni mnishauri nifanyeje ili kupata hela, niache kujitolea niende chuoni kusoma, niajiriwe serikalini au taasisi binafsi au nifanye miradi hiyo, n.k maisha mengine yaendelee.
Ninatanguliza shukrani kwa ushauri wenu, ninawatakia mda mwema.
USHAURI WAKO NI MWIBA,TENA UNACHOMA.WEWE ENDELEA KUJIFUNGIA HALAFU MADHARA YAKE UTAYAONA.Mkuu mbilitanotano umefanya la maana kushea humu hio scenario yako. Hata mimi pia napitia same situation kama ya kwako. Nadhani tunaweza wasiliana tuone tunafanyaje kukabiliana na hali ila tu kwa ushauri kidogo mkuu ondoa kabisa mentality ya kuomba ushauri wa kukabiliana na maisha yako mwenyewe mtandaoni.
Hapo tu ndio umekosea mkuu. Wewe ni msomi so act kisomi walau. Usikubali kuanika life yako halafu then una anza kushauriwa na sample ya watu wengine hata kujishauri wao hawawezi lakini humu watajifanya wanakushauri wewe, some of them hawawezi hata kuandika vizuri lakini humu ndio watakucheka kuwa wewe ni looser😂...
Be smart mkuu. Maisha yako yatafakari mwenyewe tena Room ukiwa umejifungia pasi na kelele yoyote utapata Jibu sahihi la kufanya. Ikishindikana hapo unamfata mtu unae mtrust zaidi kwenye maisha yako, kazini au hata jirani yako ndio unamueleza ili naye akupe mtazamo wake. Hatimaye unapata solution ni nini ufanye then you go for it.
Mkuu ni Suala la Perception tu ikiwa kama na wewe una mawazo kama ya mleta mada it's OK. Kila mtu yuko huru kuwa na mtazamo wake.USHAURI WAKO NI MWIBA,TENA UNACHOMA.WEWE ENDELEA KUJIFUNGIA HALAFU MADHARA YAKE UTAYAONA.
Hakuna maisha rahisi Tanzania ndugu yangu kwa sasa,watu wanabebana
Nakushauri oa hiyo laki tatu inatosha
Chagua mwanamke mwenye kujua maisha mkapange uswekeni na yeye mpe nradi wa kupika vitumbua awe anauza nyumbani apo
Kidogo kidogo utaona
Wakubwa kwangu shikamoni, wadogo kwangu habari zenu ?
Hongereni kwa majukumu na afya njema, poleni mnaoumwa Mungu akawajaalie mpone.
Ndugu, Nilizaliwa miaka 31 iliyopita. nilipenda sana kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi, sikufanikiwa kutokana na umri wangu kupita ule unaotakiwa, kukosa fani zinazotakiwa huko, na kutokuwa na mtu wa kunishika mkono kuingia huko. Nina shahada ya sayansi.
Kuna mahala serikalini nimejitolea kwa miaka minne sasa, walivyotoa ajira kupitia utumishi nimebwagwa kwenye usahili nikashindwa ! wakaajiriwa vijana wengine ambao hawakuwa wakijitolea pale. Nimefanya saili nyingi za kuomba kazi utumishi na kwingineko lakini sijafanikiwa kupata kazi.
Hapo Kibaruani wanatoa sh. 15000 kwa siku mtu atakayofanya kazi, (300,000 na kidogo kwa mwezi maana ijumaa pili hatufanyi kazi) hicho kiasi cha fedha kwa mkoa wa Dar es salaam kinaishia kulipa kodi, nauli za kwenda kibaruani, kununua umeme, kula kwa mama ntilie (2000 msosi mmoja), kulipia taka, kulipia ulinzi mtaani, sadaka kanisani, VOCHA na matumizi mengine; sijafanikiwa kuweza kuweka akiba. Sina mchumba, mke wala mtoto maana sina hela za kuniwezesha kuwahudumia, Ukinunua napo magonjwa lukuki .... ila homoni za mwili zenyewe zinafanya kazi yake hazielewi hali yako kiuchumi kwa hiyo ni shida tupu.
Huwa ninatamani sana kwenda jeshini lakini umri, fani na konekisheni ni changamoto
Ninatamani kuoa lakini sina kazi, nikifikiria kurudi kijijini kulima, sawa lakini mtaji wa kulimia na mashamba sina. Nafikiria kusoma 'post graduate diploma in education' ili niwe na taaluma ya ualimu badae niombe kazi serikalini kama mwalimu wa fizikia n.k lakini hela ya kulipia ada (milioni mbili) sina. Huwa ninapenda pia kufanya biashara ya stationery lakini mtaji nao sina !
Ninawaza kurudi chuo kusoma kozi za afya kwa diploma, ada sina ! Nipo njia panda ndugu ninaombeni mnishauri nifanyeje ili kupata hela, niache kujitolea niende chuoni kusoma, niajiriwe serikalini au taasisi binafsi au nifanye miradi hiyo, n.k maisha mengine yaendelee.
Ninatanguliza shukrani kwa ushauri wenu, ninawatakia mda mwema.
To yeyeila homoni za mwili zenyewe zinafanya kazi yake hazielewi hali yako kiuchumi kwa hiyo ni shida tupu.
Bwana bwanaMaisha haya,kulia unataka kucheka unataka
Yaan acha tuBwana bwana
Ondoka hapo ulipo nenda shule ya Inspire Kibaha kwa Mzee Bizulu kaombe kifundisha physics.Akikuelewa ujw kunishukuru.Wakubwa kwangu shikamoni, wadogo kwangu habari zenu ?
Hongereni kwa majukumu na afya njema, poleni mnaoumwa Mungu akawajaalie mpone.
Ndugu, Nilizaliwa miaka 31 iliyopita. nilipenda sana kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi, sikufanikiwa kutokana na umri wangu kupita ule unaotakiwa, kukosa fani zinazotakiwa huko, na kutokuwa na mtu wa kunishika mkono kuingia huko. Nina shahada ya sayansi.
Kuna mahala serikalini nimejitolea kwa miaka minne sasa, walivyotoa ajira kupitia utumishi nimebwagwa kwenye usahili nikashindwa ! wakaajiriwa vijana wengine ambao hawakuwa wakijitolea pale. Nimefanya saili nyingi za kuomba kazi utumishi na kwingineko lakini sijafanikiwa kupata kazi.
Hapo Kibaruani wanatoa sh. 15000 kwa siku mtu atakayofanya kazi, (300,000 na kidogo kwa mwezi maana ijumaa pili hatufanyi kazi) hicho kiasi cha fedha kwa mkoa wa Dar es salaam kinaishia kulipa kodi, nauli za kwenda kibaruani, kununua umeme, kula kwa mama ntilie (2000 msosi mmoja), kulipia taka, kulipia ulinzi mtaani, sadaka kanisani, VOCHA na matumizi mengine; sijafanikiwa kuweza kuweka akiba. Sina mchumba, mke wala mtoto maana sina hela za kuniwezesha kuwahudumia, Ukinunua napo magonjwa lukuki .... ila homoni za mwili zenyewe zinafanya kazi yake hazielewi hali yako kiuchumi kwa hiyo ni shida tupu.
Huwa ninatamani sana kwenda jeshini lakini umri, fani na konekisheni ni changamoto
Ninatamani kuoa lakini sina kazi, nikifikiria kurudi kijijini kulima, sawa lakini mtaji wa kulimia na mashamba sina. Nafikiria kusoma 'post graduate diploma in education' ili niwe na taaluma ya ualimu badae niombe kazi serikalini kama mwalimu wa fizikia n.k lakini hela ya kulipia ada (milioni mbili) sina. Huwa ninapenda pia kufanya biashara ya stationery lakini mtaji nao sina !
Ninawaza kurudi chuo kusoma kozi za afya kwa diploma, ada sina ! Nipo njia panda ndugu ninaombeni mnishauri nifanyeje ili kupata hela, niache kujitolea niende chuoni kusoma, niajiriwe serikalini au taasisi binafsi au nifanye miradi hiyo, n.k maisha mengine yaendelee.
Ninatanguliza shukrani kwa ushauri wenu, ninawatakia mda mwema.
Wewe muoga wa maisha,tuna miliki vitu vingi alafu hata hatuna vyetiNdio maana ni talanta yangu. Mwenyezi Mungu amempatia kila mtu talanta yake hapa duniani, kuna uimbaji mziki wa kidunia, uimbaji nyimbo za injili, uimbaji kaswida, kuna madaktari, wakulima, boda boda madereva, walimu, makuli, mafundi umeme n.k mimi ninapenda kusoma.
Nimekubali mkuu maisha ni magumu sana.Sasa mkuu wewe acha kazi uone ilivo kazi kupata kazi, acha kazi ukiwa na plans, mkuu wewe pambana sana, maisha siyo marahisi kiivo.
Ndio njia yenu ya mafanikio mliyojaaliwa na Mungu kufanikiwa kwayo. Hongereni sana mkuu.Wewe muoga wa maisha,tuna miliki vitu vingi alafu hata hatuna vyeti
Asante kwa Ushauri BattorHatua ta kwanza acha kujilinganisha na wengine, hapo utajiona wewe na utajielewa zaidi.
Hatua ya pili, leo usiku ule muda wa kwenda kulala kabla hujapata usingizi, anza kuzitatafakari ndoto zako zote ulizo nazo. Kisha kuna kitu utakipata.
Hatua ta tatu, ili ufanikishe ndoto zako inakupasa uamke usingizini. Mafanikio hukaa kwenye akili ya mhusika na hakuna kanuni kwamba ukifanya hivi na hivi lazima ufanikiwe kimaisha, hivyo cha msingi kuwa makini na intuitions zako mwenyewe hapo ndipo kuna siri za mafanikio yako.
Bora umekumbuka kuugua kupo, japo kuna na mambo mengine mengi yanatokea na ni ya kutumia hicho hicho kiasi kidogo cha pesa ambacho mtu anapata.Omba tu usiugue, 15k kwa siku, ukiwa na nidhamu ya pesa utatoboa. Zamani nikiwa kijana, ugali ukibaki ni mkate wa asubuhi, kande zikichacha naweka maziwa mtindi kuondoa harufu ya kuchacha. Ila swala la wanawake nilikuwa nasikia tu kwenye Bomba, mpaka nikaitwa hanisi na sikujali. Kumbuka tu mchumia juani hulia kivulini.
Pamoja sana Hardbody asante kwa ushauri wako. Nimeleta humu maana huwa nawaza mpaka kichwa kinataka kuungua kwa mawazo nikiwa mwenyewe chumbani, marafiki nilio nao huwa tunashauriana pia. Ninaamini humu kuna watu ni wasomi, tena wanye hekima sana japo kuna wengine pia sio wasomi, hawana hekima ya kushauri mtu, na wana mambo mengine ambayo siyo mazuri. Hao ndugu ninaofanya nao kazi ni wanafiki tuu, sasa mimi sina urafiki na hata mmojawapo maana huwa sina urafiki na watu wanafiki. Ni salamu tuu na kazi, ikiisha kwaheri. Kwanza ukipata matatizo ndio mwenzio anafurahia, ukifanikiwa japo kidogo mwenzio roho inamuuma kwa hiyo bora hata mwingine anaweza kukushauri ila siyo hao wa kufanya nao kazi. Huu ushauri naopata humu mwingine uko vizuri sana, napata kitu flani cha kunijenga akili na kuniipa mawazo chanya. Kaka huu utambulisho usio halisi unaficha mengi, najua humu kuna maprofesa, madaktari, watumishi wa Mungu, wasiosoma, wasomi, wezi, vibaka, madereva, wakulima, wachawi n.k. Shukrani sana ndugu.Mkuu mbilitanotano umefanya la maana kushea humu hio scenario yako. Hata mimi pia napitia same situation kama ya kwako. Nadhani tunaweza wasiliana tuone tunafanyaje kukabiliana na hali ila tu kwa ushauri kidogo mkuu ondoa kabisa mentality ya kuomba ushauri wa kukabiliana na maisha yako mwenyewe mtandaoni.
Hapo tu ndio umekosea mkuu. Wewe ni msomi so act kisomi walau. Usikubali kuanika life yako halafu then una anza kushauriwa na sample ya watu wengine hata kujishauri wao hawawezi lakini humu watajifanya wanakushauri wewe, some of them hawawezi hata kuandika vizuri lakini humu ndio watakucheka kuwa wewe ni looser😂...
Be smart mkuu. Maisha yako yatafakari mwenyewe tena Room ukiwa umejifungia pasi na kelele yoyote utapata Jibu sahihi la kufanya. Ikishindikana hapo unamfata mtu unae mtrust zaidi kwenye maisha yako, kazini au hata jirani yako ndio unamueleza ili naye akupe mtazamo wake. Hatimaye unapata solution ni nini ufanye then you go for it.
Mkuu hujasema umesomea nini ili mtu ajue pa kuanzia.Wakubwa kwangu shikamoni, wadogo kwangu habari zenu ?
Hongereni kwa majukumu na afya njema, poleni mnaoumwa Mungu akawajaalie mpone.
Ndugu, Nilizaliwa miaka 31 iliyopita. nilipenda sana kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi, sikufanikiwa kutokana na umri wangu kupita ule unaotakiwa, kukosa fani zinazotakiwa huko, na kutokuwa na mtu wa kunishika mkono kuingia huko. Nina shahada ya sayansi.
Kuna mahala serikalini nimejitolea kwa miaka minne sasa, walivyotoa ajira kupitia utumishi nimebwagwa kwenye usahili nikashindwa ! wakaajiriwa vijana wengine ambao hawakuwa wakijitolea pale. Nimefanya saili nyingi za kuomba kazi utumishi na kwingineko lakini sijafanikiwa kupata kazi.
Hapo Kibaruani wanatoa sh. 15000 kwa siku mtu atakayofanya kazi, (300,000 na kidogo kwa mwezi maana ijumaa pili hatufanyi kazi) hicho kiasi cha fedha kwa mkoa wa Dar es salaam kinaishia kulipa kodi, nauli za kwenda kibaruani, kununua umeme, kula kwa mama ntilie (2000 msosi mmoja), kulipia taka, kulipia ulinzi mtaani, sadaka kanisani, VOCHA na matumizi mengine; sijafanikiwa kuweza kuweka akiba. Sina mchumba, mke wala mtoto maana sina hela za kuniwezesha kuwahudumia, Ukinunua napo magonjwa lukuki .... ila homoni za mwili zenyewe zinafanya kazi yake hazielewi hali yako kiuchumi kwa hiyo ni shida tupu.
Huwa ninatamani sana kwenda jeshini lakini umri, fani na konekisheni ni changamoto
Ninatamani kuoa lakini sina kazi, nikifikiria kurudi kijijini kulima, sawa lakini mtaji wa kulimia na mashamba sina. Nafikiria kusoma 'post graduate diploma in education' ili niwe na taaluma ya ualimu badae niombe kazi serikalini kama mwalimu wa fizikia n.k lakini hela ya kulipia ada (milioni mbili) sina. Huwa ninapenda pia kufanya biashara ya stationery lakini mtaji nao sina !
Ninawaza kurudi chuo kusoma kozi za afya kwa diploma, ada sina ! Nipo njia panda ndugu ninaombeni mnishauri nifanyeje ili kupata hela, niache kujitolea niende chuoni kusoma, niajiriwe serikalini au taasisi binafsi au nifanye miradi hiyo, n.k maisha mengine yaendelee.
Ninatanguliza shukrani kwa ushauri wenu, ninawatakia mda mwema.