Hicho kiinglish hapo hebu kitafsiri kwa kiswahili ili tuone kinaendanaje na sentensi iliyofuata...NONE OF YOUR BUSINESS ..... KAMA ULIMLEA VIBAYA HAYO NDO MATOKEO .....
Asante sana mkuu.Dua zako naomba MUNGU azipokee.pole sana mkuu! mie nadhan ongea kwanza na mama yao umweleze!nae anaweza mwita ajue atamuingiaje! dah miaka 14 mbn bado katoto kbs! Ee Mungu muepushe mtoto huyu na mimba !
Hupendi upekuzi kwa mke sawa lakini kwa mtoto lazima uwe mpekuzi labda utaweza kumrekebisha kabla mambo hajaharibika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kiukweli mimi uwa sipendi UPEKUZI.MAANA UTAJIPA PRESHA.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Asante sana mkuu.Dua zako naomba MUNGU azipokee.
Mimi sitamuuliza chochote,nina hofu nisimuulize alafu akanijibu sivyo alafu nikamtia mkononi.
Nimeongea na mama yake labda wanaweza ongea lugha yenye kufanana lakini sitamuuliza chochote
Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
So far mimi siwezi ongea nae kwenye hili.ila nimemwambia mama yake na dada yangu waongee naeMkuu, kama wewe ni mtu ambae huwa unaweza ukakaa na mtu na ukaweza ukamshauri basi kaa na huyo binti, mueleze ni namna gani unavyoumia na hatari iliyopo mbele yake.
Usijaribu kupanic na kumpima mimba tena, achana nae kabisa ila kaa nae tu na kumshauri. Ikiwezekana ita hata baadhi ya ndugu ambao unajua wanaweza wakawa wanaheshimika na huyo binti.
Ndugu unaye mtoto? Hawa watoto chini ya miaka 18 ni lazima umfatilie. Kama hapo mtoto anahitaji ushauri juu ya maisha yake. Baba asingeona ingekuaje?Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....
Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia
Kuweni na adabu
Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Kina mistar mingap
Ndugu unaye mtoto? Hawa watoto chini ya miaka 18 ni lazima umfatilie. Kama hapo mtoto anahitaji ushauri juu ya maisha yake. Baba asingeona ingekuaje?
.
.
Namfatilia mtoto wangu kwa kila kitu mpaka hapo atakapofikisha angalau 17.
Baba asingefungua mkoba angejuaje yanayoendelea na binti yake na kupata ushauri alioupata hapo juu?Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....
Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia
Kuweni na adabu
Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Mkuu.ni kweli usemayo.Nilijitahidi sana kuilea ndoa yangu for the sake of our kids but nilishindwa.Hakika suala la kutengana wazazi huwa ni baya sana, wakati mna ugomvi na ligi za hapa na pale huwa tunakuwa watemi sana kila mtu mbabe kuwa kama vipi tuachane usinitishe nk, ila matokeo yake huwa sio chanya kabisa yaani. Kuna kipindi katika mahusiano swala la kuwa right unatakiwa ulifanye second, kuna kipindi tunatakiwa kuacha baadhi ya mambo yapite hata kama tunaamini 'we are right'. Sisemi wewe una makosa wala sisemi mkeo ana makosa, nachosema mlikosea sana kuachana. Haya huwa ndio matokeo yake.
Kwa sasa mkuu chukua tahadhari sana. Hiyo ya kujipima mimba ni moja tu ya mengi yaliyojificha. Kwa imani ya dini yako funga na kusali. Watoto wakianzaga huu ujinga inakuwa tabu sana. Jaribu kuongea nae (Ikiwa unaamini una urafiki nae) kama hamna urafiki kati yako na watoto jaribu kutafuta watu waongee nae.
Pole mkuu.
Mkuu wazazi wote wakiwa na mawazo kama yako, kauli ya Magufuli itawahusu.Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....
Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia
Kuweni na adabu
Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Hahaha... Akikujibu na mimi nitai copy hiyo sentensi niwe naitumia...Hicho kiinglish hapo hebu kitafsiri kwa kiswahili ili tuone kinaendanaje na sentensi iliyofuata...