Ungemnunulia kamba na stuli alafu ungempelekea.Ilotokea hivyo hivyo, maana wote tulikua wanachuo mm nilienda mbeya yeye iringa. Sijui kilimpata nini[emoji848][emoji848][emoji848]
Baada ya mwaka kule upande mwingine kumefunga anabwaya kunitisha atajinyonga baada ya kutotaka kumsamehe. Na hata chuo hakumaliza
Nimeipokea hali na kuikubali japo naumia sana kwa jinsi tulivyokuwa tunapendana[emoji1][emoji2][emoji2] Haya mambo yanachekesha lkn yanaumiza sana. Mna muda gan kwenye mahusiano??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji134]miaka 4? Washakuwah mzee baba pole sana.Nimeipokea hali na kuikubali japo naumia sana kwa jinsi tulivyokuwa tunapendana[emoji1]
Kanitumia asubuhi sms ya "Morning my soulmate"Nikasema Hiiiiiiiii bhagosha[emoji1]
Tupo kwenye penzi/uhusiano miaka minne sasa
Dah!!kuna hali fulani hivi inaniijia tulivyokuwa tunafanya(dogo mtundu sana kunako)na ahadi kemukemu na kupanga majina ya watoto wetu wapendwa tutakao barikiwa kuwapata[emoji1]
Haya mambo yanaumiza sana, pole rafiki yangu. Hakuna namna zaidi ya kuukubali ukweli.Dah!!kuna hali fulani hivi inaniijia tulivyokuwa tunafanya(dogo mtundu sana kunako)na ahadi kemukemu na kupanga majina ya watoto wetu wapendwa tutakao barikiwa kuwapata[emoji1]
Leo hii kuna jamaa anapita/ingiza/nyonya/lamba pale nilipokuwa nafanya hivyo mimi[emoji1]
Naumia sana nikikumbuka hivyo Kelsea
Hivi bado mpogi, mkuu utakufa kwa presha..... wachumba wa mashuleni "WANAUME" alishaacha zamani.Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!
Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Sawa.NI hulka yenu tu, mnaongea zaidi ya wanaume na hii ni kwa mujibu wa studies mbalimbali...
Hebu tafuta kazi za kufanyaWadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!
Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
We ni zoba Sasa hapo ushauri wa nin huna chako piga chiniKuna mwana anaua third year pale nikupe no yake?[emoji23],,
Sikia mzee wasichana wengi wa chuo, wanampenzi wa chuo na pia wanampenzi wa nyumbani, kwahiyo saizi probably ni zamu ya huyo wa chuo we subiri arudi na huna namna utafanya kuzuia hilo labda ukawe lecture pale,,nimesema PROBABLY ila chance ni 80%
Ushauri
Iwe safari yake Bado(kama first au second year) au ndio mwaka wa mwisho wae amua kumsubiri, nimesema AMUA kumsubiri,Yani vumilia yote haya kwasabab wakiendaga chuo wanakuwaga na wenge sana ila wakimaliza ndo akili inawakaa kichwani
Lakini kumsubiri kwako kunaweza kusizae matunda maana uko uko chuo akampata wenyewe wanaitaga soulmate[emoji23], wake afu mwamba ikala kwako
Kwahy kama umeamua kuamini kwamba one day one time mambo yatakuwa yesi, fresh we believe mungu atakusaidia ila jiandae Kwa lolote chuo ni kiwanda cha uzinzi
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375]Asilimia kubwa yan 70+ ya wanafunz wa chuo huwa na wapenzi wao huko vyuoni..
Hii haijarishi ameoa au ameolewa hata bint atoke kwao bikra akifika chuo asalimia kubwa itapotea...
Chuo Kuna vishawishi vingi Sana, Nime bahatika kuwa na nakazi Kati Kati ya chuo kimoja cha udaktari nawaona jins wa navyo ishi yani wanaoana kabisa kwa iyo miaka ya masomo so kuwa na mpenz ambae anasoma chuo tena mbali NAWE ni janga lingine.
Sio wote ila wengi wao wana poteana huko
Kabisa mkuu,,Lazima akukumbuke sana.
Ni Kawaida kuitwa zezeta haswa ukipata mwanamke ambaye sio sahihi.Sometimes wanaume tunakuwa kama mazezeta flani kisa mapenzi