Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Mkuu kuwa mpole.
Tafuta mchumba uoe.

Mwanamke msomi huchakatana na wasomi wenzake. Atapata mume na hana habari na wewe.
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!kuliko tunavyodhani.
Jamii ina tatizo kubwa katika namna inavyowandaa vijana wa kiume kutekekeza majukumu yao.
 
Mwanaume ni mtemi by nature, hana asili ya kulia lia...

Hivi mwanaume unaanzaje kulia lia eti simu zako hazipokelewi ?

Toa kauli moja tu kwa mwanamke yenye kuonesha mamlaka full stop...
Mkuu
Unadhani hawa wanaokuja kulia lia jukwaani dhidi ya wanawake ni wanaume kamili basi?

Wengi ni mchicha mwiba. Wananitutumua kuonesha wana mahusiano kumbe hasara tupu
 
Hii ndo ajabu yaani...
Ukitaka kuona maajabu zaidi pale ukimwacha kule alikokuwa anakimbilia huwa panafunga anabaki kama mwehu..
Ilotokea hivyo hivyo, maana wote tulikua wanachuo mm nilienda mbeya yeye iringa. Sijui kilimpata nini[emoji848][emoji848][emoji848]

Baada ya mwaka kule upande mwingine kumefunga anabwaya kunitisha atajinyonga baada ya kutotaka kumsamehe. Na hata chuo hakumaliza
 
Niliwahi kuwa na msichana mwanachuo chuo Cha st Augustine university Mwanza,,
Nilimlipia kila kitu hostel,,matumizi nk,.
Lakini bado alikuja kunitenda,,

--Kwnza always usiku hapokei simu,, kisingizio yupo discussion..
--Week end ndy kabisa ikifika jioni simu inazimwa hadi j tatu.

Siku Moja nilipiga Simu saa 2300HRS likapokea dume likasema niache usumbufu kwa wake za watu...
Kwakweli niliumia sana moyoni..

Msichana ambaye namlipia Kila kitu leo naambiwa niache usumbufu?

Kuanzia hapo mwanafunzi wa chuo ni kupiga mbupu na kusepa,

Kusubiri mchumba msichana mwanachuo akiwa masomoni ni sawa na kusubiri maembe chini ya mnazi..

Jiandae kisaikolojia hapo huna mchumba bali ni mke wa wenzio Kwa Sasa.
Mkuu mbona kama visa vyetu vinafanana kasoro majina ya chuo[emoji16][emoji16][emoji16]

Mimi nilitumiwagwa text baada ya kumpigia 0000hrs usiku ikisema "mbona unambua mke wangu" sisahau niliumwa nikainua na magonjwa mengine na kufika hospitali.
Sasa huyu alietoa mahari kabisa kazi anayo.


Ahesabu Hana mchumba
 
Kadai pesa yako. Kama vipi fanya kumtembea ghafla bila taarifa na ukifika mwambie unataka kuwa nae siku nzima. Kifupi japo inauma kama unaweza mkatie mawasiliano mazima. Ila chunguza uenda kweli anachoka kwani yupo facult gani? Je mchana uwa anakutafuta?
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Ukute anaishi na msela geto Ana balansi gemu
 
see.It’s the tight-lipped secret that nobody (including me/you) wants to talk
about.

sahivi hutoelewa haya namaanisha Nini Mungu wangu baadaye hiyo brain itoke yaani emotional brain baadaye ndio Logical/rational/reason brain ianze kufanya kazi.

iyo inayofanya kazi Ina nguvu kinyama huwa haiskiiagi mkuu, sahihi wewe sio binadamu uko mnyama saivi you can do anything just to satisfy your emotions.

yaani huwa Ina nguvu kuliko hata Everest mountains times 10M kwa nguvu.

huwa Ina hijack rational brain unakuja kugundua baadaye kabisa.

you're operating under survival modal of our brains iliyookoa ancestors wetu wasaivaivu mpaka dakika hii otherwise tusingekuwepo like dinosaur or saber toothed tiger walishapotea duniani kabisa hao Lisa hawakuwa na ubongo wa ku react/respond fast to stimuli.
Iliwahi kunikuta hii mkuu, acha kabisa yaan Mapenzi kummyoooo 🤪🤪
 
Niliwahi kuwa na msichana mwanachuo chuo Cha st Augustine university Mwanza,,
Nilimlipia kila kitu hostel,,matumizi nk,.
Lakini bado alikuja kunitenda,,

--Kwnza always usiku hapokei simu,, kisingizio yupo discussion..
--Week end ndy kabisa ikifika jioni simu inazimwa hadi j tatu.

Siku Moja nilipiga Simu saa 2300HRS likapokea dume likasema niache usumbufu kwa wake za watu...
Kwakweli niliumia sana moyoni..

Msichana ambaye namlipia Kila kitu leo naambiwa niache usumbufu?

Kuanzia hapo mwanafunzi wa chuo ni kupiga mbupu na kusepa,

Kusubiri mchumba msichana mwanachuo akiwa masomoni ni sawa na kusubiri maembe chini ya mnazi..

Jiandae kisaikolojia hapo huna mchumba bali ni mke wa wenzio Kwa Sasa.
Duh..!
Hii ya kwako ilikuwa balaa zaidi
 
Tatizo la hawa watoto wa kike kuna muda wanakua kama nyama choma yani kila unapopita inanukia unaweza kujikuta unagombana na kila mwanaume aisee wengine wanamsalimia tu wafurahi.
 
App niliifuta nakumbuka niliichuka kwa 47000. Zipo nyingi ila jina la app nimesahau,

Niliifuta siku ambayo nimekuta wanachart wanasifiana kua pisi anajua kupika na anajua kunyanduana.
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
usiku hapokei simu kabisa... hii kauli tafsiri yake ni kuwa haupo peke yako usiku ni mda wa kupumzika na mpenzi wake wewe tulia tu.
 
App niliifuta nakumbuka niliichuka kwa 47000. Zipo nyingi ila jina la app nimesahau,

Niliifuta siku ambayo nimekuta wanachart wanasifiana kua pisi anajua kupika na anajua kunyanduana.
Astaqafilluallah
20221203_170408.jpg
 
Back
Top Bottom