T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,674
- 29,643
Haha!!Wivu sina ila roho inaniuma[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha!!Wivu sina ila roho inaniuma[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akhsante sana mkuu [emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwache akutafute yeye ili usiwe unapata maumivu..
Chuo kuna uchafu sanaaa..
Mkuu nimeishi maisha ya Mungu umri wangu lakini chuo hata sijui ilikuwajeMkuu usicheke[emoji1]
Nimepiga simu ikapokelewa nikamwambia nampenda simu ikakatwa na sasa haipatikani
[emoji23][emoji23]tena vetaKila siku humu tunasema HAMSIKII
Mchumba anasomeshwa cherehani tu[emoji4]
Hii ndo ajabu yaani...Hutamuoa huyo, na ukimuoa utaumia mno,mno. Yalinikuta 2020 alikua chuo, alikua nilifuatilia kwa njia ya apps ya kutrac text, I remember niliumia mno, nilimpa nafasi ajirekebishe haikuwezekana
Relax Maisha lazima yaendelee najua unayopitia..Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!
Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!
Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Niliwahi kuwa na msichana mwanachuo chuo Cha SAUTI Mwanza,,
Nilimlipia kila kitu hostel,,matumizi nk,.
Lakini bado alikuja kunitenda,,
--Kwnza always usiku hapokei simu,, kisingizio yupo discussion..
--Week end ndy kabisa ikifika jioni simu inazimwa hadi j tatu.
Siku Moja nilipiga Simu saa 2300HRS likapokea dume likasema niache usumbufu kwa wake za watu...
Kwakweli niliumia sana moyoni..
Msichana ambaye namlipia Kila kitu leo naambiwa niache usumbufu?
Kuanzia hapo mwanafunzi wa chuo ni kupiga mbupu na kusepa,
Kusubiri mchumba msichana mwanachuo ni sawa na kusubiri maembe chini ya mnazi.
[emoji3][emoji3]au sioUsiku anamtu wa Kumhudumia, We kazi yako kutuma hela tu
Kama huna cha kuandika uwe unauchuna... Unajichoresha dogoMwanaume unapiga piga simu hovyo hadi usiku unataka kuripoti tukio la uhalifu ama?
Mwanamke ndiye anayepaswa kuwa anakupigia pigia simu...
Na kama hapokei simu zako, nawe acha kupokea za kwake...
Naomba hy appHutamuoa huyo, na ukimuoa utaumia mno,mno. Yalinikuta 2020 alikua chuo, alikua nilifuatilia kwa njia ya apps ya kutrac text, I remember niliumia mno, nilimpa nafasi ajirekebishe haikuwezekana
Hakuna Cha kuoa wala uchumba,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hope ulimwacha mke wa mtu
Na nadhani huyo jamaa ndo kaoa mpaka sasa au?
Kama huna cha kuandika uwe unauchuna... Unajichoresha dogo