Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Ushauri: Nina mchumba anasoma chuo cha Mkwawa Iringa, napitia magumu sana!

Mimi bhana sio mfuasi wa mada za aina hii lakini wacha tu nikuambia ukweli...

Kabla hujauliza "waliopita chuo hicho", je wewe mwenyewe umefika elimu ya chuo hata kama sio hapo Mkwawa?

Na kama umepata elimu ya chuo, je wadada wa hapo walikuwa na tabia ipi?

Nirudi kwa upande wangu na nitazungumzia darasa langu TU...

Tukiacha sisi wa direct entry, tulikuwa na akina dada watu wazima watatu na wote hawa walikuwa wake za watu

Pale chuo, mmoja alikuwa chakula ya lecturer

Mwingine alikuwa chakula cha mtu mzima mwenzake ambae pia ni mwanafunzi...

Huyu mwingine hakuwa na mtu but taarifa zilikuwa zinasema alikuwa Mwathirika!

So, out of 3, 2 walikuwa na mabwana zao pale ingawaje waliacha ndoa kwao!

Sie wa direct entry sasa...

Kuna Wadada watatu hawa walikuwa hawavutii kabisa... na wote hawakuwa na maboyfriends...

Kuna mmoja ndo alikuwa jeuri na kiburi kuliko wote, including boys... huyu ndo alikuwa Mzigo wa Chige manake huwa napenda sana mademu wajeuri na wakorofi!

Sipendi mambo ya kunyenyekewa mimi...

Wengine waliobaki karibu wote walikuwa na watu wao hapo hapo chuo, na nina uhakika, huko kwao pia waliacha ma-boyfriends! Hata wa kwangu nae alikuwa na boyfriend huko kwao!

That having been said, chuo ilikuwa kila mtu na mtu wake, na tukirudi home, tunaenda kupasha viporo vya makoloni... vile viporo vilivyokuwa vinaishi kwa matumaini kwa kuona kwavile tupo chuo basi nyota njema ipo mbele yetu!

Hakika hapo chuo kama kulikuwa na yeyote ambae hadi kamaliza hakuwa na mtu, basi huyo amesamehewa dhambi zake zote, na moja kwa moja ataenda mbinguni ingawaje wale watatu niliowataja mwanzo hawahusiki na msamaha huu!!

Hao ndo classmates wangu... je, wewe chuoni kwako ilikuwaje? Chukua maelezo yangu, changanya na jibu lako, kisha vuta picha hapo Mkwawa itakuwaje...

All in all, acha wivu bhana...

Mwenzako anajisomea halafu unaanza kumsumbua sumbua usiku, ndo mambo gani hayo?!
Unashitakiwa kwa kuongea ukweli, fika Kituo cha police kilicho karibu nawe
 
Mkuu
Unadhani hawa wanaokuja kulia lia jukwaani dhidi ya wanawake ni wanaume kamili basi?

Wengi ni mchicha mwiba. Wananitutumua kuonesha wana mahusiano kumbe hasara tupu
Mkuu sio Kila mtu anaweza kukabiliana changamoto zake, tatizo unaloliona wewe dogo Kuna mwenzio limemshinda
 
Pole sana... Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Daah pole sana.
Inaumiza, nasikitika kwamba kila linalozungumzwa ni negative na mie nawaza negative mpaka naogopa kuchangia.

Naomba tu niseme neno moja, moja ya watu wasio na msimamo ni wasukuma. Maisha yao yanaenda kwa mood ya group au watu waliomzunguka. Akizungukwa na watu wabaya atachukua tabia hizo na akizungukwa na wazuri atachukua tabia hizo. Jaribu kujua rafiki zake na waliomzunguka ni watu gani lakini pia fuatulia kujua kwao na familia imekaaje, mie yalishanikuta kwa wasukuma sitakagi wasukuma tena.

Najua sababu ni mke wa kuoa na ushamtolea mahari si kazi kufuatilia hayo na ukipata majibu chukua hatua sahihi kwa busara.

Nawasilisha.
 
HUYO KAOLEWA anaishi na jamaa hapa chuo nje ya geti kuna mtaa mmoja hivi.. huku njia ya MTWIVILA..POLE SANA kwa kusomeaha mchumba .achana nae fanya maamuzi haya magumu
 
Inaelekea mtaalam utakuwa unapiga simu za usumbufu zenye viashiria vya wivu na ufuatiliaji (si unajua wadada huwa hawapendi kuonyeshwa kwamba hawaaminiki) hivyo ameamua liwalo na liwe

Ukiwa na demu mwanachuo na unadhani una future nae. Sio unakuwa mtu wa kupigiana simu tu semister nzima, kuonana mpaka afunge chuo.Wakati mwingine unatenga bajeti ya kuwa una safiri kwenda kumtembelea angalau kuimarisha bond na kuonyesha uwepo wako kwenye maisha yake. Of course haiwezi kufanya asichepuka ila angalau na yeye moyoni anaona una lengo nae!Hata kama atachepuka itakuwa kimachale.

Wewe msikilizie tu mkuu huku kichwani ukiwa na plan B.Wakati mwingine unatakiwa upambanie kombe hata kumtembelea ili kupata uhalali wa kumpiga chini kama analeta mauzauza. Mwisho wa siku asietaka kutafutwa kwa simu wakati mwingine nae hupotezewa!!
 
Aunt abiria simu zinapaswa ziwe kwa kiasi, sio kupiga piga tu simu kama watafuta msaada kituo cha wateja...

Dizaini jamaa itakuwa kafanya kama dozi, hana ishu za kufanya...
Ohoooo….okay
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Hicho ni kimeo. Yaani kina kata kiu ya hela kwako na penzi lipo kwa mwingine. Msichana anayekupenda wala hawezi kosa muda wa michapo. Tafuta mwingine fasta then achana naye huyu tapeli. Utanishukuru!
 
Kuna mwana anaua third year pale nikupe no yake?[emoji23],,

Sikia mzee wasichana wengi wa chuo, wanampenzi wa chuo na pia wanampenzi wa nyumbani, kwahiyo saizi probably ni zamu ya huyo wa chuo we subiri arudi na huna namna utafanya kuzuia hilo labda ukawe lecture pale,,nimesema PROBABLY ila chance ni 80%

Ushauri
Iwe safari yake Bado(kama first au second year) au ndio mwaka wa mwisho wae amua kumsubiri, nimesema AMUA kumsubiri,Yani vumilia yote haya kwasabab wakiendaga chuo wanakuwaga na wenge sana ila wakimaliza ndo akili inawakaa kichwani

Lakini kumsubiri kwako kunaweza kusizae matunda maana uko uko chuo akampata wenyewe wanaitaga soulmate[emoji23], wake afu mwamba ikala kwako

Kwahy kama umeamua kuamini kwamba one day one time mambo yatakuwa yesi, fresh we believe mungu atakusaidia ila jiandae Kwa lolote chuo ni kiwanda cha uzinzi
Darasa moja kuoana ni rare cases. Ila elewa mchumba hasomeshwi buloo.
 
Hakuna Cha kuoa wala uchumba,,

Baada ya Mimi kukaa kimya kama mwezi,,
Demu uzalendo ukamshinda akatema ndoano.,

Kumbe yule jamaa ni mwanafunzi mwenzie ambaye walikuwa na mahusiano,,,na hakuwa na msaada wowote Kwa yule mwanachuo zaidi ya kupiga mbupu.
Zile pesa zngu ndy zilikuwa zinawalisha wao..
Chumba nalipa kumbe yupo na kidume mle ndani..

Demu kuona njaa Kali akarudi kupiga magoti,,

Lakini nilimtupa kabisa,,,,
Lazima akukumbuke sana.
 
Niliwahi kuwa na msichana mwanachuo chuo Cha st Augustine university Mwanza,,
Nilimlipia kila kitu hostel,,matumizi nk,.
Lakini bado alikuja kunitenda,,

--Kwnza always usiku hapokei simu,, kisingizio yupo discussion..
--Week end ndy kabisa ikifika jioni simu inazimwa hadi j tatu.

Siku Moja nilipiga Simu saa 2300HRS likapokea dume likasema niache usumbufu kwa wake za watu...
Kwakweli niliumia sana moyoni..

Msichana ambaye namlipia Kila kitu leo naambiwa niache usumbufu?

Kuanzia hapo mwanafunzi wa chuo ni kupiga mbupu na kusepa,

Kusubiri mchumba msichana mwanachuo akiwa masomoni ni sawa na kusubiri maembe chini ya mnazi..

Jiandae kisaikolojia hapo huna mchumba bali ni mke wa wenzio Kwa Sasa.
Kupitia comments zako inaelekea umepigwa sana na vitu vizito kchwani [emoji23] pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau tupeane uzoefu kidogo, nina mpenzi wangu au niseme mchumba maana hata kwao nimepeleka mahari, huyu dada ni msukuma wa Lunzewe, yupo chuo cha Mkwawa Iringa mwaka wa mwisho!

Tatizo linakuja usiku hapokei simu kabisa. Nikimuuliza anadai huwa anachoka, akipata tatizo la pesa anapiga simu hata usiku wa manane, ila nikiwa nashida nae mimi simu hapokei!

Kwa wale mliopita chuo hiki naombeni uzoefu wenu kuhusu tabia za wadada wanaosoma Mkwawa nisiendelee kupigwa!
Tafuta Mwanamke mwingine mkuu, acha kua mdhaifu kiasi hicho.

Kama hapokei simu usiku ukipiga kwanini akiwa na shida wewe unapokea?

Toka kwenye hilo ombwe mkuu unatumiwa.
 
Back
Top Bottom