USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Mwanamke kila jambo hata asifanye yeye atabebeshwa lawama yeye, ndiyo maana wanakuwa na roho ngumu maana maisha yao yanapitia mambo mazito sana
 
Hayanaga akili kabisa nashangaa wanavyo dharau wanawake wakati yenyewe yapo kama mazombi
Unakuta mwanaume anatukana mwanamke mpaka unajiuliza kwani huyu alizaliwa na nguruwe madume tupu au? Maana ukimwangalia mama yake hana hata cha maana
 
Mie hapana bora nionekane kiatu hilo bao lao wakalitunzie huko huko!
Sema wakamlee huyo mtoto wao huko kwingine, maana bao la Mwanaume either of XY chromosome likiingia kwenye mji wa mimba likakuta yai la kike XX basi kitakachotungwa ni mimba ya mtoto either wa kike XX ama wakiume XY

Kwahiyo matokeo yake haitakuwa Bao tena bali ni kiumbe .....

Siku hizi kuna trend ya Wanawake kutaka Usawa hadi kwenye kucheat na kubeba mimba za Nje.

Ila kimaumbile ni kuwa Mwanaume akiwa timamu (Afya) anaweza kuzalisha Watoto 365 kwa Mwaka iwapo mtaishi kwa kukomoana.

Muhimu kila Mwanandoa kuiheshimu ndoa yake kama alivyokula kiapo.

Hata kama kuna kucheat, haitakiwi ifanyike hadi Mwenza wako ajue, huko ni kumvunjia heshima Mwenza wako.

Ingawa tutambue Kucheat ni neno limewekwa na Mzungu badala ya neno la kwenye Biblia/Quraan Kuzini/Uzinifu ambayo ni kuvunja amri ya 6.

Na yeyote anayefanya hivyo, Msanii Dullah Makabila alisema "utaPita Huku"
 
huu uzi umevamiwa na wanaharakati na masingomaza wanaupeleka wanakotaka. acha inyeshe
 
Mwanamke hujamuoa bikira halafu unashangaa kupata ana mtoto kabla ya ndoa...eboh!!!
 
Hapana mkuu mimi sio mhanga wa kutelekezwa, ingawa ulichoongea ni sahihi kabisa na elimu kwa sisi kina dada/ mama wote. Asante
 
Kama qmeweza kuficha kitu ambacho ni tangible.. kinachoweza kushikika kuonekana nk mwa miaka 15 inakuaje kwa vitu ambavyo si tangible...atakiwa amesaliti mara ngapi kwenye hyo miaka 15 ?
Akwendreeeee
 
Muongezee mke bora kabisa Donatila
Bila mchango wa mama D hapa ni kazi bure.
Yeye ni muumini mzuri kuhusu mambo ya ndoa.

Atakushauri cha kufanya, japo ujinga alioufanya kuficha siri Kwa Muda mrefu umemchukiza.

hahaha

Huyu mwanaume alishamchoka mke issue ya kuwa alimficha mtoto imekazia maamuzi tuuπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Ila kumkana mtoto au kumficha ili upate mume yataka moyo haswa. Huyu mwanamke ana roho yake ngumu sanaπŸ€”πŸ€”πŸ€” lol

Mimi siwezi kwakweli
 
Na huenda angemuambia ukweli mumewe tangia uchumba huenda yasingetokea haya
 

Hi
 

kama aliweza kificha huyo mtoto mmoja hawo wanne lazima utakuwa na wasiwasi hata mimi nisinge msamehe
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Kibaya zaidi Mume alikua anajua kua alimtoa bikra, sasa Mume anjiuliza na huyo mtoto mkubwa alimpataje!??
 
Umeng'ata na kupuliza
 
Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?

Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Ila sio swala dogo kama amekuficha hilo mangap umefichwa hapo.
 
Wanawake wabinafsi sana yaan mimi mmeo sista hili kumjua mke wangu really.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…