Kuna dogo ukweni kafanana na wife kinoma ila anasemekana ni mtoto wa kaka yake wife ambae keshafariki.Unakuta katoto unatambulishwa kama mdogo wa mwisho au mtoto wa dada/kaka kumbe ni mtoto wa mkeo.
Nani anauwaBora huyo alimficha, wengine wanawaua kabisa
Daah leo ndio nimekuelewa...tukio kama hilo unaweza kuliita privacy?Mimi nawekaje hasira na mihemko kwenye uzi usionihusu? Hapa tumeitwa tutoe ushauri nakushangaa unapanic kwenye comment yangu,
Unavyosema tusijadili kimazoea ya Kiswahili kwa hiyo tujadili kigeni kwa Kizungu au Kichina? Maana hao hili tukio wakipelekewa ndio kabisaa watazidi kumshangaa huyo Mwanaume,
Umesema mwanzo wa mahusiano mnaulizana moja, mbili, tatu, umejuaje kama hii couple tunayoijadili hapa waliulizana yote hayo!!??
Pia elewa maana ya privacy, kama hajataka jambo lake liwe wazi sio vema kumlazimisha, yule ni mwanae yeye ndie alikua anajua zaidi.
Excellent kabisa haya ndio maamuzi ya Mwanaume rijali, hakika hapa ndio tunaona tofauti kati ya waliotahiriwa hospital na waliotahiriwa porini.Wakati mwingine tusiongozwe na hisia bali utashi wetu.
Kwani ni kosa mtu kuzaa, ni heri huyo amezaa maana kuna wengine wametoa zaidi ya mimba 7 hadi kuolewa kwao.
Ningekuwa Mimi huyo mtoto ningempokea na kumfanya mmoja ya watoto wangu, kwanza kwa mujibu wa mila zetu mtoto wa mkeo nao ni watoto wako
Lakini sio kosa la kumuacha Mke, kama mmeishi miaka zaidi ya 18 pamoja ndiyo mje kuachana Uzeeni?Tatizo siyo kuzaa, ila uongo.
Kwahiyo mwanamke uki mcheat hata na mtaa mzima yeye atakusamehe na atafurahia? Kumbe ndo maana mnayafanya🤣 ndo maana wanawabanikaNdiyo. Hisia za mwanamke na mwanaume ni tofauti kabisa.
Tupe uzoefu wako kama umekutana na kesi kama hio mliisolve kivipi.Kwanini nisimuamini?
Jamani kila Mtu ana siri yake kama ameamua kuitunza as long as haikuwahi kuniletea madhara yoyote si basiiiii,
Tena haya mambo ya Mwanamke kuondoka mahali na kuacha mtoto kisha akaja kuolewa sehemu nyingine na kuzaa, mara nyingi huwasahau wale watoto wa mwanzo na kufocus na family mpya, hadi mtoto aje amtafute na hii sio kwa Mwanamke tu hata kwa Wanaume hutokea,
Mimi naona mnakuza vitu ambavyo kimsingi havina mashiko.
🙏Excellent kabisa haya ndio maamuzi ya Mwanaume rijali, hakika hapa ndio tunaona tofauti kati ya waliotahiriwa hospital na waliotahiriwa porini.
Mume bwege huyo ana nyimbo yake kabisa apigwe mawe auaweLazima kuwe na sababu ya yeye kutokusema,
Kuna Mama alipokonywa mtoto na Mwanaume aliyezaa nae, mtoto alikua ana miezi 11, yule Mama alihangaika kuanzia Ustawi wa jamii hadi Mahakamani, kote aligonga mwamba basi akamuachia Mungu na kurudi kwao (Mikoa ilikua tofauti) baada ya miaka kupita, akaja akapata Mwanaume akamuoa hakumwambia kuhusu tukio lile yeye anasema alijaribu kulisahau hakuona sababu ya kulizungumzia tena, Mtoto alikuja kumtafuta Mama yake ameshakua mtu mzima na wajukuu akamletea, Mume ndio kujua hilo sakata lakini hakureact tofauti zaidi ya furaha familia imeungana tena.
Mkeo umeongea nae masemaje hilo.Kuna dogo ukweni kafanana na wife kinoma ila anasemekana ni mtoto wa kaka yake wife ambae keshafariki.
Hii imenifikirisha🤣
Tusijaribu kuhalalisha matakwa/uelewa wetu kuwa uhalisia wa kila mtu.Huyo ni Mwanaume suruali, halijui jando, hajafudishwa chochote kuhusu ndoa walizoana zoana tu wakaapa basi,
Hakuna jambo kubwa la kuachana hapo unless alikua amemchoka ndio kapata sababu.
Mimi nashauri kwa mwanamke kama mumeo anasimamia majukumu yake vizuri bila shida yoyote ukiletewa mtoto pokea. Ila kwa Mwanaume mkeo akijifungua mtoto sio wa kwako achana nae. Hakuna heshima hapo na ukiangalia wanaume tunapitia changamoto kubwa sana kwenye utafutaji. Yaani mtu unatumia hela zako kwake halafu anakupa shida. Ni sawa sawa mtu atumie hela zake anazotafuta kwa tabu na shida kununua matatizo.Habari wana JF.
Kuna Ndoa imevunjika hapa ndoa ya miaka 15.
Mke alizaa kabla ya ndoa, sasa mama huyu alimficha mtoto,
Huyu mtoto alikuwa anaishi na Baba yake.
Mume alijua kwa mawasiliano ya simu.
Mama alipokuwa anaongea na mwanae.
Na mtoto anaumri wa miaka 20.
Mume wa ndoa kazaa nae watoto 4.
Dawati la suruhisho walijaribu kuweka sawa ili wasiachana ila ilishindika. Hata wachungaji walishauri kuwa asamee tuu kwani hata mtoto kashakuwa mkubwa hakuna shida yoyote lkn ndo hivyo ndoa imevunjwa jana na mahakama.
Huyu mama alizaa kipindi anaumri wa miaka 21.
Sasa wanajamii hivi vitu vinatokana na nini mpk mmoja anaamua kuficha mtoto?
NI NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUJUA HATA KWA MUME KAMA ALIFICHA KUWA ALIKUWA ANAMTOTO.
Mengine tunaacha yapite tu. Kuchamba kwingi mwisho wake ni kushika kimba.Mkeo umeongea nae masemaje hilo.
Mtoto anamika 20 yupo chuo.Ningekuwa Mimi huyo mtoto ningempokea na kumfanya mmoja ya watoto wangu, kwanza kwa mujibu wa mila zetu mtoto wa mkeo nao ni watoto wako
Umekosa hoja unakimbilia personal attack, lol kama hujala nenda kale kwanza hii mada ni kubwa sana kwako sio kila kitu cha kuchangia,Daah leo ndio nimekuelewa...tukio kama hilo unaweza kuliita privacy?
Je ulizaa kabla ya ndo?
Sio kwa utetezi huu wenye ukakasi kiasi hiki
Da. Inaonekana wewe pengine umeshawahi kufanya hivi. Hili ni doa kubwa sana kama hujui.Umeishi na mtu kwa miaka 15, mmezaa watoto 4, unakuja kumuacha kisa hakukwambia kua aliwahi kuzaa kabla!!?
Ukisikia kutafutiana sababu ndio huko sasa.
Watakuwa wanaendelea na mahusiano still.Alafu kuna kisa kimoja kimemtokea mwenzetu wa ofisini kimenishangaza kwa alivyo react ila nikasema acha nije nishirikishe na wanajamvi huku.
Huyu dada kakaa kwenye ndoa kama miaka mitatu hivi. Sasa anakuja kugundua mume wake aliwahi kuchepuka na ex wake tena sio mara moja kipindi wapo kwenye mahusiano. Yaani kabla ya ndoa. Yani wame date miaka saba, mwaka wa nne mwanaume akawa na mahusiano na ex wake wameenda kama miaka miwili na ex malavidavi kama yote ila huyu dada anasema hakuwahi kuhisi. Sasa mke mtu kaja kujua wakati wameshaoana. Anasema ye bado kinamuuma kwasababu alimuamini sana mme wake inakuwaje alimsaliti kipindi ambacho alimpenda na kumuamini.
Wengi tukamshauri aache yaliyopita wagange yajayo. Akauliza ingekua nyinyi mngesahau na kusamehe? Nikasema wanajamvi mpo kibao mna majibu em mshaurini na nyinyi.
Mume wake anasemaje??Alafu kuna kisa kimoja kimemtokea mwenzetu wa ofisini kimenishangaza kwa alivyo react ila nikasema acha nije nishirikishe na wanajamvi huku.
Huyu dada kakaa kwenye ndoa kama miaka mitatu hivi. Sasa anakuja kugundua mume wake aliwahi kuchepuka na ex wake tena sio mara moja kipindi wapo kwenye mahusiano. Yaani kabla ya ndoa. Yani wame date miaka saba, mwaka wa nne mwanaume akawa na mahusiano na ex wake wameenda kama miaka miwili na ex malavidavi kama yote ila huyu dada anasema hakuwahi kuhisi. Sasa mke mtu kaja kujua wakati wameshaoana. Anasema ye bado kinamuuma kwasababu alimuamini sana mme wake inakuwaje alimsaliti kipindi ambacho alimpenda na kumuamini.
Wengi tukamshauri aache yaliyopita wagange yajayo. Akauliza ingekua nyinyi mngesahau na kusamehe? Nikasema wanajamvi mpo kibao mna majibu em mshaurini na nyinyi.
Wengine nao, hata mada hajaielewa maskini anaweka kachumbari na maharage,Mimi nashauri kwa mwanamke kama mumeo anasimamia majukumu yake vizuri bila shida yoyote ukiletewa mtoto pokea. Ila kwa Mwanaume mkeo akijifungua mtoto sio wa kwako achana nae. Hakuna heshima hapo na ukiangalia wanaume tunapitia changamoto kubwa sana kwenye utafutaji. Yaani mtu unatumia hela zako kwake halafu anakupa shida. Ni sawa sawa mtu atumie hela zake anazotafuta kwa tabu na shida kununua matatizo.