Umekosa hoja unakimbilia personal attack, lol kama hujala nenda kale kwanza hii mada ni kubwa sana kwako sio kila kitu cha kuchangia,
Btw, Nimezaa nikiwa kwenye Ndoa, watoto watano (mapacha mara mbili na mmoja) wote kwa baba mmoja, nipo kwenye ndoa mwaka wa 11 huu, tunaposhauri masuala ya ndoa hatushauri kwa mihemko na hasira bali kwa kujenga kwani Ndoa ya halali ikivunjika ni dhambi kubwa sana pia tunawafikiria na watoto ambao hata hatujui ni umri gani,
Narudia tena, kula ushibe hii mada kwako ni kubwa sana ukizingatia hata ndoa huijui.