USHAURI: Nini cha kufanya kama mwenza wako alikuficha kuwa ana mtoto, Ukaja kujua baada ya miaka zaidi ya 10 baadaye?

Una hoja. Kuficha kunaweza kuwa na sababu nyingi.
 
Mtoto anamika 20 yupo chuo.
Ni wakiume.
Atakuelewa kweli kama Baba wa kufikia?????
Inategemeana na approach yako kama Mzazi.

Binafsi ningeweza, mosi ilikuwa kumfanya kuwa huru nawe na akuzoee kama Baba yake

Pili kumjali na kumuhudumia kama Baba yake Mzazi

Then atakuheshimu na kukupa thamani ile ile kama Baba yake Mzazi
 
Kuficha mtoto ni ushamba.Waachane tu...
 
Hapo inategemea kama mume wake hasimamiii majukumu yote ya nyumbani kifedha basi mwanamke waachane nae alale mbele. Lakini kama mwanaume anasimamia almost 90 percent ya majukumu abaki maana akiachana naye atakuwa anadanga.
 
Sasa madam ikitokea ishu kama mwanaume unamshauri nini???
 
Unatetea upuuzi.
 
Hapo inategemea kama mume wake hasimamiii majukumu yote ya nyumbani kifedha basi mwanamke waachane nae alale mbele. Lakini kama mwanaume anasimamia almost 90 percent ya majukumu abaki maana akiachana naye atakuwa anadanga.
Mkuu una hoja. Ila kwa unavyoona mwanaume alizingua? Si tulimshauri akaushe ila ni kama haelewi
 
Sasa madam ikitokea ishu kama mwanaume unamshauri nini???
Mtoto ni mkubwa yupo chuo sidhani kama amekuja kusomeshwa au kupewa hifadhi yeye alitaka kumjua au kumuona mama ake, basi maisha yaendelee kama yalivyokua zamani, mtoto akiwa likizo ruksa kuja pale kumuona mama ake na ndugu zake, Mumewe asijiingize kwenye malezi ya aina yoyote ukizingatia Baba mtu yupo na amemlea miaka yote.....
 
Hahahaha ndio tunasema Wanaume wa Kiafrica ubinafsi mwingi, Mwanaume kusaliti hadi kuzaa nje ya ndoa ni sawa tu, mke hatakiwi kureact kisa akiachwa atadanga, ndio maana Wanaume mnakufa mapema sana, unaishi na mtu unadhani haumii unayomfanyia kumbe anakukorogea sumu ikuue taratiiiiiibu.
 
Hahahahaha,unajitahidi inaoneshaa jinsi gani UMEGUSWA NA HILI ,ila bi mdada we unajibu kwa upande wako, walio wengi humu ni WANAUME na umeona MAJIBU yao ,tuko SAWA na mwamba huyo ...

Kikubwa kubali mwenzako kachemka mambo yenu ya SIRI yasizidi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…