Ushauri: Nitumie mbinu gani kuongea na baba aachane na mchepuko wake?

Pangeni fumanuzi kwa mzee wako na huo mchepuko wake,yaani muwafumanie live na mangoma na matarumbeta,siku ya kwenda kuwafumania mchukueni na mume wa mchepuko wa mzee wako na Mother wako awepo na mjumbe wa mtaa awepo,huo ndio utakua mwisho wao.
😀 😀 😀 😀 😀kumfumania mzee wako unadhani aibu itakuwa ya nani...
 
Nashukuru mkuu.Kama Mungu akinipa ujasiri wakumweleza mzee,unashauri niende kabisa kule kijijini au nitumie njia ya simu.Niko mkoani mbali na nyumbn
 
Afu changamoto ya kumpiga huyu mchepuko mkwara nikwamba naye nimama mtu mzima, watoto wake tunaheshimiana Kama ndugu.Nahofia kuanzisha mgogor Kati yahizi familia mbili.
Pia rejea pale ambapo mume wa huyu mama anamtetea mkewe kuwa hafanyi hizo Mambo.
 
Halafu unapoomba ushauri usimpangie mtu cha kuchangia vinginevyo jambo lako usingeleta humu.. tafadhali.
Mkuu sikupanga chakuchangiwa.Huwa kun watu huwa wanamaneno yakuumiza badala yafaraja.
Hata hivyo niwie radhi Kama umekereka kwa nilivyotoa angalizo
 
Mkuu hii battle ni ngumu, usijaribu kumtamkia baba yako lolote kuhusu haya mahusiano.

Kama una akili, cheza na huyo mchepuko(japo si vizuri).

Tumia mbinu za kijeshi na kiintelijensia!! Bila kuathiri uhusiano wa Baba na Mama.
Nakazia [emoji4][emoji106]
 
Pole kwako ndugu.Haya mambo yanavuruga akili Sana.Wkt mwingine unajikuta nawew unachangamoto binafsi zakindoa then unakutan nachangamoto zandoa ya wazazi.Zote zinakuhitaji.
 
Ushauri nimeupokea mkuu.Kuna shangazi yangu(dadaake baba)nilimdokezea.Kwa kuwa nimtu wa dini Sana alichonijibu nikwamba anafunga nakuomba kwa ajili ya hilo jambo na soon Mungu atatenda muujiza.
 
Inaonekana mzee kwenye makuzi yake kuna stage aliiruka ndio kaamua kuiishi sasa uzeeni.
Yani ni balaa me wawili walihama na nyumba kabisaa...mmoja alikuwa na mchepuko anajulikana mpaka na watoto na hao watoto ni watu wazima wana maisha yao lakini huyo mzee hakushtuka hata... wazee wetu ni jambo la kawaida labda case hii sababu huyu mchepuko ni ndugu ila inanishangaza why mme wake hareact???
 
Nilishawahi kushuhudia kesi mbili kama hizo kijijini, ya kwanza mwaka 2010 mtoto mkubwa aliyemaliza form 6 alienda kumpa kipigo heavy yule mchepuko wa baba yake. Baba akataka ampe kipigo mke wake, matokeo yake watoto wakachangia na mama wakampa kipigo mzee.
Walikaa karibia miezi miwili bila kuongea lakini mwisho familia ilikaa vizuri.

Kisa cha pili baada ya baba kuwa na mchepuko, mtoto mkubwa wa baba akaanzisha uhusiano wa mapenzi na mtoto wa mchepuko wa mzee.
Mzee alivyogundua akajisemea yanini! akajiondoa mwenyewe bila shuruti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…