Ushauri: Rais Samia kata deal mapema na upinzani kabla ya mazito kuja!

Ushauri: Rais Samia kata deal mapema na upinzani kabla ya mazito kuja!

MaCHADEMA yanaacha shida za wananchi hapa yanazurura ulaya kujifunza ushoga. Pumbavhu saaanaaa
Shida za wananchi chadema ndio wanaokusanya kodi ili watatue Shida za wananchi?

Ushoga uangalie hapa serikali yako inasemaje.

Tatizo lenu mnahoja dhaifu mwisho wasiku mnakuwa kama mazezeta.
IMG_20211130_182246.jpg
JamiiForums1999776609_240x320.jpg


Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Mikuu JokaKuu asante kwa hii, hii Ndio nimeisikia Leo, na pia kusikia mkopo usio na riba!. Ule mtindo wa JPM kuingia na mafaili chumbani na kuwapigia simu mawaziri usiku mkubwa, sasa hawa chawa wa JPM, wanataka kuuleta uchawa huu kwa Samia!, saa za kulala kwa nini umpigie simu rais usiku na kumkatisha usingizi wake kwa jambo ambalo sio emergency?!.
P
Basi wacha kupingapinga na kuita tuhuma kila kinacholetwa humu kisa hujapatakuona/kusikia.



Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
..kuna hotuba moja ya Dr.Ssh anazungumzia suala hilo la mkopo mmoja kutumika kulipa mkopo mwingine, au fedha za uviko kutumika kulipa madeni.

..nadhani mtoa mada anazungumzia hiki anachokieleza Rais Dr.Ssh hapa ktk video.



Cc bagamoyo
Nadhani muuliza swali ataelewa na kama hakuelewa tumuongezee ushahidi wa nchi kukopa na kulipa deni lingine Kama wfanyavyo kinamama kwenye Vikoba.
 
Hii ni tuhuma nzito sana!, please substanciate ni benki gani, na ni lini tulikopa WB na kuzitumia hizo pesa za WB kulipia mkopo wa bank binafsi?. Kati ya fedha ngumu kuwa diverted ni fedha za WB!. Kila mkopo wana u ring fence kwanza, kisha a length procedure za approval, mpaka zipate no objection ndipo zitoke na zitafanya kile tuu kilichokubaliwa!. Naomba ufafanuzi hapa hilo liliwezekana vipi?.
P

Kwani kwenye hotuba aliyosema akina mama wa vikoba wanajua unakopa huku unaziba huku, akasifia mawazo aliyapata kwa waziri wa fedha haukumbuki?
 
Namshauri Rais Samia kukaa chini na kufikiria vizuri kuhusu siasa kwa ujumla wake. Upinzani hasa CHADEMA nilipopitia mitandao ya majadiliano na navyoona huku USA Mbowe anavyopokelewa ni vizuri kwa manufaa ya nchi Rais awapuuze hao wanaofikiri wakati wa Magufuli utawezekana tena.

Vikao wanavyofanya Mbowe , Lissu na Lema si vidogo na vimejipanga kuhakikisha wakianza kudai katiba na mikutano wana uhakika wa support ya nchi hasa za Magharibi zinazotusaidia. Je kwanini tusipuuze haya.

Tukipuuza tutakuwa kama Magufuli ambaye mwisho wa miaka yake mitano ndiyo aligundua makosa na kuanza kurekebisha.

Kosa kubwa ni kukopa kwenye bank binafsi kwa muda mfupi na kwa riba ya juu. Mfano bank ya Dunia ili tupa mkopo wa $1.4B kwa riba ya 3% kwa miaka 20 wakati Magu alichukuwa mkopo kutoka bank wa $1.5B kwa riba ya 8.5% kwa miaka 6.

Malipo ya mkopo wa Magu kwa mwaka yalikuwa makubwa kiasa kwamba kati ya mkopo wetu wa $1.4B walichukuwa nusu $700M na kwenda kupunguza mkopo wa Magu wa $1.5B mbao bila kufanyiwa mabadiliko uingekuwa Tsh 700B kwa mwaka.

Sasa je nani anatupa mikopo ya bei rahisi? Nani anatupa $500M kwenye afya kila mwaka? ni hao wadau. Sasa kama Raisi ni kupima kama maandamano ya katiba na ndiyo kukosoa Serikali ni sawa na faida nyingi ambazo tunapata kwa wananchi wa kawaida.

Lakini je nani hasa ananufaika na kubana watu au kuzuia wapinzani kuongea? sio Raisi Samia bali ni mafisadi pekee ndiyo wanafaidika.

Tuogope sana utulivu kuliko fujo wapinzani kwa muda wametulia na haina maana ni wajinga.

Kinana kwa wale wa Arusha tunamjua ni mfanyabiashara atakuwaacha kweupe.
Nynvnn nb .f. jmvrxs
Snbf??

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Hata kura zikipigwa zinaheshimiwa? Au mnadhani watu wataendelea kupoteza muda kusimama kwenye mstari wa kura usioheshimiwa? Machafuko tu ndio yatarejesha heshima ya kura.
Wewe ndio utatoka mbele kwenda kuongoza hayo machafuko?

Hadi Sasa CCM Ina mtaji wa wapigakura kwenye Makundi yafuatayo

1.Wakuliama,
Wanawake wa vikoba,
Watu wa tasaf,
Matajiri

Hao wengine Sasa Ni wa kugawana
 
Kwani kwenye hotuba aliyosema akina mama wa vikoba wanajua unakopa huku unaziba huku, akasifia mawazo aliyapata kwa waziri wa fedha haukumbuki?
Hapo kwamba anasifia mawazo aliyopewa na waziri wa fedha na Mwigulu akapiga makofi ni mtego wa kuvishwa bomu likiwa safety pin off Mwigulu mwenyewe.


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio utatoka mbele kwenda kuongoza hayo machafuko?

Hadi Sasa CCM Ina mtaji wa wapigakura kwenye Makundi yafuatayo

1.Wakuliama,
Wanawake wa vikoba,
Watu wa tasaf,
Matajiri

Hao wengine Sasa Ni wa kugawana

Usijali nani atakaa mbele boss, ww subiri siku ikifika upige picha aliyeko mbele.

Ni watu wachache wanaojitambua watakaojitokeza kupiga kura kwenye hizi chaguzi zetu. Ukitaka kuelewa ninachosema, subiri uone hizi chaguzi za marudio za kesho kutwa, uone kama wapiga kura watakuwa wa kuridhisha.
 
Usijali nani atakaa mbele boss, ww subiri siku ikifika upige picha aliyeko mbele.

Ni watu wachache wanaojitambua watakaojitokeza kupiga kura kwenye hizi chaguzi zetu. Ukitaka kuelewa ninachosema, subiri uone hizi chaguzi za marudio za kesho kutwa, uone kama wapiga kura watakuwa wa kuridhisha.
Uchaguzi wa marudio hauna dili,subiria 2025 ambako kwanza wapigakura wenu wanasema ooh lazima tuu atapita 😆😆

CCM itahimiza watu wao kupiga kura nyie mtaendelea kulalamika
 
Uchaguzi wa marudio hauna dili,subiria 2025 ambako kwanza wapigakura wenu wanasema ooh lazima tuu atapita 😆😆

CCM itahimiza watu wao kupiga kura nyie mtaendelea kulalamika

CCM haina wapiga kura, ingekuwa na wapiga isingetemea wizi. Juzi tu uchaguzi wa 2020 idadi ya wapiga kura ilikuwa ya kupikwa, na huko kwenye vituo wapiga kura hawakuwa wanavuka 1/3 ya waliojiandikisha kupiga kura. Kwa trend hii ya mahudhurio ya uchaguzi ni nadra wapiga kura kufika 7m hiyo 2025.

Ukitaka kipimo halisi mwambie diwani au mbunge wa eneo lako, aitishe mkutano wa hadhara kuongea na wananchi uone mahudhurio, kisha uje utoe mrejesho. Kizazi hiki sio cha CCM boss, hivyo soma alama za nyakati.
 
Unajua hueleweki unaposema Mbowe amepokelewa vizuri, wewe ulitaka apokelewe vibaya sio?
Unaandika ukiwa umeshatia ugoro au viroba! Ni vyema ungekaa kimya kuficha upuuzi!
 
Namshauri Rais Samia kukaa chini na kufikiria vizuri kuhusu siasa kwa ujumla wake. Upinzani hasa CHADEMA nilipopitia mitandao ya majadiliano na navyoona huku USA Mbowe anavyopokelewa ni vizuri kwa manufaa ya nchi Rais awapuuze hao wanaofikiri wakati wa Magufuli utawezekana tena.

Vikao wanavyofanya Mbowe , Lissu na Lema si vidogo na vimejipanga kuhakikisha wakianza kudai katiba na mikutano wana uhakika wa support ya nchi hasa za Magharibi zinazotusaidia. Je, kwanini tusipuuze haya.

Tukipuuza tutakuwa kama Magufuli ambaye mwisho wa miaka yake mitano ndiyo aligundua makosa na kuanza kurekebisha.

Kosa kubwa ni kukopa kwenye bank binafsi kwa muda mfupi na kwa riba ya juu. Mfano bank ya Dunia ili tupa mkopo wa $1.4B kwa riba ya 3% kwa miaka 20 wakati Magu alichukuwa mkopo kutoka bank wa $1.5B kwa riba ya 8.5% kwa miaka 6.

Malipo ya mkopo wa Magu kwa mwaka yalikuwa makubwa kiasa kwamba kati ya mkopo wetu wa $1.4B walichukuwa nusu $700M na kwenda kupunguza mkopo wa Magu wa $1.5B mbao bila kufanyiwa mabadiliko uingekuwa Tsh 700B kwa mwaka.

Sasa je nani anatupa mikopo ya bei rahisi? Nani anatupa $500M kwenye afya kila mwaka? ni hao wadau. Sasa kama Rais ni kupima kama maandamano ya katiba na ndiyo kukosoa Serikali ni sawa na faida nyingi ambazo tunapata kwa wananchi wa kawaida.

Lakini je nani hasa ananufaika na kubana watu au kuzuia wapinzani kuongea? sio Rais Samia bali ni mafisadi pekee ndiyo wanafaidika.

Tuogope sana utulivu kuliko fujo wapinzani kwa muda wametulia na haina maana ni wajinga.

Kinana kwa wale wa Arusha tunamjua ni mfanyabiashara atakuwaacha kweupe.
Wewe mjinga wa kutupa, unakaa ukifikiria uwepo wa mbowe, lema na lisu nje ya nchi una mchango wowote kwenye siasa za Tanzania leo? Hii nchi ina vijana wa hovyo hovyo kweli.
 
Unajua hueleweki unaposema Mbowe amepokelewa vizuri, wewe ulitaka apokelewe vibaya sio?
Unaandika ukiwa umeshatia ugoro au viroba! Ni vyema ungekaa kimya kuficha upuuzi!
Ukute mtoa mada ni graduate wa law school. Hii nchi ina shida kubwa sana kuliko wanasaiasa tulionao
 
Back
Top Bottom