Ushauri: Rais Samia kata deal mapema na upinzani kabla ya mazito kuja!

Ushauri: Rais Samia kata deal mapema na upinzani kabla ya mazito kuja!

Ziara ya viongozi CDM ngambo Ina impact kubwa sana ktk kuhakikisha tunapata KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA.

Wanaobeza umuhimu wa ziara hizo, watakuja jua BAADAYE.

Ameeeen.
 
Tatizo la nchi hii si katiba mpya Bali Ni watu wenyewe.Uganda wanna katiba bora kabisa Ila Sasa Museven anaifanya anavyotaka.Africa katiba haijawahi kuwa Msaada.Wananchi wa kuisimamia katiba hamna
Point !!
 
Nadhani muuliza swali ataelewa na kama hakuelewa tumuongezee ushahidi wa nchi kukopa na kulipa deni lingine Kama wfanyavyo kinamama kwenye Vikoba.

..asante.

..kuna watu wako JF kwa ajili ya kupotosha, na kuharibu mijadala.

..wajibu wetu ni kujitahidi kuchangia kwa ukweli kwa kadiri inavyowezekana.
 
Tatizo la nchi hii si katiba mpya Bali Ni watu wenyewe.Uganda wanna katiba bora kabisa Ila Sasa Museven anaifanya anavyotaka.Africa katiba haijawahi kuwa Msaada.Wananchi wa kuisimamia katiba hamna

..Wananchi waelimishwe kuhusu Katiba na umuhimu wake.

..Wananchi washirikishwe ktk michakato ya kupata Katiba ili waone kwamba Katiba ni ya kwao.

..Katiba ieleze hatua za kuchukua dhidi ya wale watakaoivunja. Katiba lazima iwe vipengele vya kuilinda.

NB:

..Tatizo la Katiba yetu ni kuwa sio ya wananchi.

..Pia ina matobo mengi yanayotoa nafasi kwa watawala kutoiheshimu.

..Kwa mfano Katiba yetu inasema Raisi hawezi kushtakiwa.
 
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
View attachment 2439194

..huwezi kumdharau mtu aliyefika nafasi ya juu kiutawala kama huyu mama.

..ni kweli alianguka kimasomo, lakini pia aliamua kuinuka na kujiendeleza, na sasa ni RAISI.

..uzuri wa kazi ya Uraisi ni kwamba anaweza kuwatumia WASOMI NGULI wa ndani na nje kumpa ushauri.
 
Elimu ni muhimu sana. Wapo wachumia tumbo pia watakupinga lakini hili jambo linauzito wake . Misaada inayotoka China ni kidogo sana ukilinganisha na nchi za magharibi.
 
Kubali usikubali, mama anaupiga mwingi mfano Mbulu imeanza siku moja na Nairobi lakini hakuna Rais aliyeitambua Mbulu zaidi ya Mama, kwa mara ya kwanza Mbulu inapata Barbara ya lami ndefu sana ya km 25 TOKEA Tanzania izaliwe Halafu tukisema Mama ameupiga mwingi mnabisha pumbavu zenu🐕
 
Katiba Mpya na Tume HURU ya Uchaguzi ndicho tunachotaka
 
MaCHADEMA yanaacha shida za wananchi hapa yanazurura ulaya kujifunza ushoga. Pumbavhu saaanaaa
Wewe qoomer kama baba yako ni bwabwa nawe ukarithi u bwabwa endeleeni kugawa burudani kwa amani
 
Namshauri Rais Samia kukaa chini na kufikiria vizuri kuhusu siasa kwa ujumla wake. Upinzani hasa CHADEMA nilipopitia mitandao ya majadiliano na navyoona huku USA Mbowe anavyopokelewa ni vizuri kwa manufaa ya nchi Rais awapuuze hao wanaofikiri wakati wa Magufuli utawezekana tena.

Vikao wanavyofanya Mbowe , Lissu na Lema si vidogo na vimejipanga kuhakikisha wakianza kudai katiba na mikutano wana uhakika wa support ya nchi hasa za Magharibi zinazotusaidia. Je, kwanini tusipuuze haya.

Tukipuuza tutakuwa kama Magufuli ambaye mwisho wa miaka yake mitano ndiyo aligundua makosa na kuanza kurekebisha.

Kosa kubwa ni kukopa kwenye bank binafsi kwa muda mfupi na kwa riba ya juu. Mfano bank ya Dunia ili tupa mkopo wa $1.4B kwa riba ya 3% kwa miaka 20 wakati Magu alichukuwa mkopo kutoka bank wa $1.5B kwa riba ya 8.5% kwa miaka 6.

Malipo ya mkopo wa Magu kwa mwaka yalikuwa makubwa kiasa kwamba kati ya mkopo wetu wa $1.4B walichukuwa nusu $700M na kwenda kupunguza mkopo wa Magu wa $1.5B mbao bila kufanyiwa mabadiliko uingekuwa Tsh 700B kwa mwaka.

Sasa je nani anatupa mikopo ya bei rahisi? Nani anatupa $500M kwenye afya kila mwaka? ni hao wadau. Sasa kama Rais ni kupima kama maandamano ya katiba na ndiyo kukosoa Serikali ni sawa na faida nyingi ambazo tunapata kwa wananchi wa kawaida.

Lakini je nani hasa ananufaika na kubana watu au kuzuia wapinzani kuongea? sio Rais Samia bali ni mafisadi pekee ndiyo wanafaidika.

Tuogope sana utulivu kuliko fujo wapinzani kwa muda wametulia na haina maana ni wajinga.

Kinana kwa wale wa Arusha tunamjua ni mfanyabiashara atakuwaacha kweupe.
Katiba wanayoishinikiza CHADEMA siyo ya kwao ni kwa ajili ya Tanzania ikiwemo CCM. Mimi ninaona akina Mbowe wamegundua tatizo lilipo na wsnaisaidia nchi.

Bila katiba mpya na haki tusidanganyike na hadaa za CCM kuwa nchi inakwenda vizuri
 
Katiba wanayoishinikiza CHADEMA siyo ya kwao ni kwa ajili ya Tanzania ikiwemo CCM. Mimi ninaona akina Mbowe wamegundua tatizo lilipo na wsnaisaidia nchi.

Bila katiba mpya na haki tusidanganyike na hadaa za CCM kuwa nchi inakwenda vizuri

Tusisubiri upinzani kuomba katiba. Katiba sio ya Chama na tusisubiri vyama kwenye hili
 
..huwezi kumdharau mtu aliyefika nafasi ya juu kiutawala kama huyu mama.

..ni kweli alianguka kimasomo, lakini pia aliamua kuinuka na kujiendeleza, na sasa ni RAISI.

..uzuri wa kazi ya Uraisi ni kwamba anaweza kuwatumia WASOMI NGULI wa ndani na nje kumpa ushauri.
Lakini inatakiwa uwe makini sana maana washauri saa nyingine wanaweza kukuingiza mjini. !!
 
Sasa utashabikia Wapinzani wasiojielewa hao? Wapinzani njaa Nani awashabikie? Tumeona enzi za Jiwe kilichotokea na wengi waliounga mkono juhudi walinufaika na jasho na rasilimali zangu directly.

I will never repeat tena
Wapinzani njaa waliunga huhudi wazalendo wa kweli bado wanadunda
 
Back
Top Bottom