Shida za wananchi chadema ndio wanaokusanya kodi ili watatue Shida za wananchi?MaCHADEMA yanaacha shida za wananchi hapa yanazurura ulaya kujifunza ushoga. Pumbavhu saaanaaa
Weye ulizunguka nchi ipi na ipi wakakufunza ushoga hadi utoe ushuhuda?MaCHADEMA yanaacha shida za wananchi hapa yanazurura ulaya kujifunza ushoga. Pumbavhu saaanaaa
Basi wacha kupingapinga na kuita tuhuma kila kinacholetwa humu kisa hujapatakuona/kusikia.Mikuu JokaKuu asante kwa hii, hii Ndio nimeisikia Leo, na pia kusikia mkopo usio na riba!. Ule mtindo wa JPM kuingia na mafaili chumbani na kuwapigia simu mawaziri usiku mkubwa, sasa hawa chawa wa JPM, wanataka kuuleta uchawa huu kwa Samia!, saa za kulala kwa nini umpigie simu rais usiku na kumkatisha usingizi wake kwa jambo ambalo sio emergency?!.
P
Nadhani muuliza swali ataelewa na kama hakuelewa tumuongezee ushahidi wa nchi kukopa na kulipa deni lingine Kama wfanyavyo kinamama kwenye Vikoba...kuna hotuba moja ya Dr.Ssh anazungumzia suala hilo la mkopo mmoja kutumika kulipa mkopo mwingine, au fedha za uviko kutumika kulipa madeni.
..nadhani mtoa mada anazungumzia hiki anachokieleza Rais Dr.Ssh hapa ktk video.
Cc bagamoyo
Hii ni tuhuma nzito sana!, please substanciate ni benki gani, na ni lini tulikopa WB na kuzitumia hizo pesa za WB kulipia mkopo wa bank binafsi?. Kati ya fedha ngumu kuwa diverted ni fedha za WB!. Kila mkopo wana u ring fence kwanza, kisha a length procedure za approval, mpaka zipate no objection ndipo zitoke na zitafanya kile tuu kilichokubaliwa!. Naomba ufafanuzi hapa hilo liliwezekana vipi?.
P
Nynvnn nb .f. jmvrxsNamshauri Rais Samia kukaa chini na kufikiria vizuri kuhusu siasa kwa ujumla wake. Upinzani hasa CHADEMA nilipopitia mitandao ya majadiliano na navyoona huku USA Mbowe anavyopokelewa ni vizuri kwa manufaa ya nchi Rais awapuuze hao wanaofikiri wakati wa Magufuli utawezekana tena.
Vikao wanavyofanya Mbowe , Lissu na Lema si vidogo na vimejipanga kuhakikisha wakianza kudai katiba na mikutano wana uhakika wa support ya nchi hasa za Magharibi zinazotusaidia. Je kwanini tusipuuze haya.
Tukipuuza tutakuwa kama Magufuli ambaye mwisho wa miaka yake mitano ndiyo aligundua makosa na kuanza kurekebisha.
Kosa kubwa ni kukopa kwenye bank binafsi kwa muda mfupi na kwa riba ya juu. Mfano bank ya Dunia ili tupa mkopo wa $1.4B kwa riba ya 3% kwa miaka 20 wakati Magu alichukuwa mkopo kutoka bank wa $1.5B kwa riba ya 8.5% kwa miaka 6.
Malipo ya mkopo wa Magu kwa mwaka yalikuwa makubwa kiasa kwamba kati ya mkopo wetu wa $1.4B walichukuwa nusu $700M na kwenda kupunguza mkopo wa Magu wa $1.5B mbao bila kufanyiwa mabadiliko uingekuwa Tsh 700B kwa mwaka.
Sasa je nani anatupa mikopo ya bei rahisi? Nani anatupa $500M kwenye afya kila mwaka? ni hao wadau. Sasa kama Raisi ni kupima kama maandamano ya katiba na ndiyo kukosoa Serikali ni sawa na faida nyingi ambazo tunapata kwa wananchi wa kawaida.
Lakini je nani hasa ananufaika na kubana watu au kuzuia wapinzani kuongea? sio Raisi Samia bali ni mafisadi pekee ndiyo wanafaidika.
Tuogope sana utulivu kuliko fujo wapinzani kwa muda wametulia na haina maana ni wajinga.
Kinana kwa wale wa Arusha tunamjua ni mfanyabiashara atakuwaacha kweupe.
Endeleeni kuzunguka Ulaya na Marekani watawapigia Kura Wala msijali ππ
Wewe ndio utatoka mbele kwenda kuongoza hayo machafuko?Hata kura zikipigwa zinaheshimiwa? Au mnadhani watu wataendelea kupoteza muda kusimama kwenye mstari wa kura usioheshimiwa? Machafuko tu ndio yatarejesha heshima ya kura.
Hapo kwamba anasifia mawazo aliyopewa na waziri wa fedha na Mwigulu akapiga makofi ni mtego wa kuvishwa bomu likiwa safety pin off Mwigulu mwenyewe.Kwani kwenye hotuba aliyosema akina mama wa vikoba wanajua unakopa huku unaziba huku, akasifia mawazo aliyapata kwa waziri wa fedha haukumbuki?
Wewe ndio utatoka mbele kwenda kuongoza hayo machafuko?
Hadi Sasa CCM Ina mtaji wa wapigakura kwenye Makundi yafuatayo
1.Wakuliama,
Wanawake wa vikoba,
Watu wa tasaf,
Matajiri
Hao wengine Sasa Ni wa kugawana
Dkt huyo ujueWameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
View attachment 2439194
ππ Dr wa mchongo.Dkt huyo ujue
Uchaguzi wa marudio hauna dili,subiria 2025 ambako kwanza wapigakura wenu wanasema ooh lazima tuu atapita ππUsijali nani atakaa mbele boss, ww subiri siku ikifika upige picha aliyeko mbele.
Ni watu wachache wanaojitambua watakaojitokeza kupiga kura kwenye hizi chaguzi zetu. Ukitaka kuelewa ninachosema, subiri uone hizi chaguzi za marudio za kesho kutwa, uone kama wapiga kura watakuwa wa kuridhisha.
Uchaguzi wa marudio hauna dili,subiria 2025 ambako kwanza wapigakura wenu wanasema ooh lazima tuu atapita ππ
CCM itahimiza watu wao kupiga kura nyie mtaendelea kulalamika
unatakiwa uwe na akili nusu na robo ili kukishabikia!Nashangaa sana kwamba kuna watu wanaishabikia CCM pamoja na hovyo yote inayoendelea! Nafikiri wengi ni vichaa ama wachawi.
Wewe mjinga wa kutupa, unakaa ukifikiria uwepo wa mbowe, lema na lisu nje ya nchi una mchango wowote kwenye siasa za Tanzania leo? Hii nchi ina vijana wa hovyo hovyo kweli.Namshauri Rais Samia kukaa chini na kufikiria vizuri kuhusu siasa kwa ujumla wake. Upinzani hasa CHADEMA nilipopitia mitandao ya majadiliano na navyoona huku USA Mbowe anavyopokelewa ni vizuri kwa manufaa ya nchi Rais awapuuze hao wanaofikiri wakati wa Magufuli utawezekana tena.
Vikao wanavyofanya Mbowe , Lissu na Lema si vidogo na vimejipanga kuhakikisha wakianza kudai katiba na mikutano wana uhakika wa support ya nchi hasa za Magharibi zinazotusaidia. Je, kwanini tusipuuze haya.
Tukipuuza tutakuwa kama Magufuli ambaye mwisho wa miaka yake mitano ndiyo aligundua makosa na kuanza kurekebisha.
Kosa kubwa ni kukopa kwenye bank binafsi kwa muda mfupi na kwa riba ya juu. Mfano bank ya Dunia ili tupa mkopo wa $1.4B kwa riba ya 3% kwa miaka 20 wakati Magu alichukuwa mkopo kutoka bank wa $1.5B kwa riba ya 8.5% kwa miaka 6.
Malipo ya mkopo wa Magu kwa mwaka yalikuwa makubwa kiasa kwamba kati ya mkopo wetu wa $1.4B walichukuwa nusu $700M na kwenda kupunguza mkopo wa Magu wa $1.5B mbao bila kufanyiwa mabadiliko uingekuwa Tsh 700B kwa mwaka.
Sasa je nani anatupa mikopo ya bei rahisi? Nani anatupa $500M kwenye afya kila mwaka? ni hao wadau. Sasa kama Rais ni kupima kama maandamano ya katiba na ndiyo kukosoa Serikali ni sawa na faida nyingi ambazo tunapata kwa wananchi wa kawaida.
Lakini je nani hasa ananufaika na kubana watu au kuzuia wapinzani kuongea? sio Rais Samia bali ni mafisadi pekee ndiyo wanafaidika.
Tuogope sana utulivu kuliko fujo wapinzani kwa muda wametulia na haina maana ni wajinga.
Kinana kwa wale wa Arusha tunamjua ni mfanyabiashara atakuwaacha kweupe.
Ukute mtoa mada ni graduate wa law school. Hii nchi ina shida kubwa sana kuliko wanasaiasa tulionaoUnajua hueleweki unaposema Mbowe amepokelewa vizuri, wewe ulitaka apokelewe vibaya sio?
Unaandika ukiwa umeshatia ugoro au viroba! Ni vyema ungekaa kimya kuficha upuuzi!
Umri jamaniBasi wacha kupingapinga na kuita tuhuma kila kinacholetwa humu kisa hujapatakuona/kusikia.
Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app