USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

Inasemekana chama Cha kijani kinaweka makada wake huko bandarini kwa maslahi ya kichama wakitaka mpunga wanaupata kirahisi can
Hiki chama uwepo wake Ni hatari kwa maendeleo ya Tanzania.
 
Inawezekana! Singapore wanafanya kwa nini isiwezekane Tanzania?
... ndio maana nikasema kuna mahali tunakosea! Bila kurekebisha, kufikia level za Singapore ni ndoto za alinacha! Tutaendelea kuota ndoto za maendeleo miaka nenda miaka rudi.
 
dawa yao hao wote ni management nzimq isimamiwe na strong private sector!

Muwekezaji makini akiwa anamanage bandari hawezi kuacha upuuzi kama huo kuendelea maana utaharibu biashara yake na reputation yake
 
Inasemekana chama Cha kijani kinaweka makada wake huko bandarini kwa maslahi ya kichama wakitaka mpunga wanaupata kirahisi can
Hiki chama uwepo wake Ni hatari kwa maendeleo ya Tanzania.
Tupe ushahidi kwenye hili
 
... ndio maana nikasema kuna mahali tunakosea! Bila kurekebisha, kufikia level za Singapore ni ndoto za alinacha! Tutaendelea kuota ndoto za maendeleo miaka nenda miaka rudi.
Tuanze kufanya hili sasa
 
Chama Cha kijani kikiendelea kuishi Basi tujue kabisa haya yataendelea kutokea Hadi Kiama....
 
Tasac kaporwa mizigo karibia yote wacha wagombanie ndo kufungua uchumi huko
 

Attachments

  • IMG-20220703-WA0003.jpg
    51.8 KB · Views: 13
Hizi ndio akili za kawaida alizokua anasema Samia.
 
Umemaliza kiongozi
 
Bandari ya Bagamoyo haiepukiki! Ukipita barabara ya sea view upanga hadi masaki unaona meli nyingi ziko kwenye foleni! Zile meli zinakaa foleni hadi two weeks!

Kwa mendoza ule hatuwezi pata ufanisi kwenye bandari kamwe

Ukiangalia duniani nchi nyingi sana zina bandari nyingi kwa sababu hizi
Kama biashara ipo Kwanini tusiwe na International Ports zaidi?

Kwa mfano tu Philippine wana Major international Ports 10
Hiyo ya 3 ina ukubwa wa 150 hectares inaitwa Batangas
Na wanapokea watalii 10m kwa mwaka

Sasa ni lazima twende na wakati kwani tangu tupate Uhuru mamilioni ya watu wameongezeka

Kwa hiyo tunakuwa masikini zaidi na zaidi kwa kukosa maarifa huku tukijifanya wajuaji
 
Kwel Kweli kabisa
 
Naunga mkono hoja. Bado kuna changamoto za trafiki njiani mteja anasubiri mzigo lubumbashi njiani unasimamishwa mara 50 na trafiki hizi sekta zingine ziwe zinaenda na kasi ya kufungua uchumi la sivyo tutakuwa tunazunguja palepale.
 
1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani
Ushauri wako umefeli kuanzia hapa.

Huko chini sijasoma, lakini ulitakiwa ujikite hapa kwenye hii hii yenye ufinyo kabla hujaenda kwingine kokote.

Ukipewa kazi wewe utakuwa hovyo zaidi kwa sabau inaonyesha huna 'focus'. Unaacha tatizo lililopo sasa unaanza kuzunguka kwingine?

Ngoja nikaangalie huko chini umeweka takataka gani.
 
Kumbe hakuna kitu!
 
Umeshawai hata finally bandarini? Usikute unaongea hata Dar hujawai fika!

Waliopo Dar wanaopita njia ya baharini wakishuhudia foleni ya meli hadi mwezi kila siku hawapingi wewe ulioko kijijini huko unapinga pinga tu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…