Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wale Tasac aisee wanaingizia wateja wao hasara Sanaa ya storage na gharama zingine za ziada kwa sababu wanafanya kazi kibwanyenye sana yaani kuna bonge moja ucheleweshaji wa mizigo ya watu kupitia wao Bora wasifanye hizo kazi sio sehemu yao kabisa na hawawezi kuzifanya kuishindaniTasac kaporwa mizigo karibia yote wacha wagombanie ndo kufungua uchumi huko
Hiyo point namba 5 lazima watu waikimbieNaomba kuuliza, tulifanya PPP na TICS, tukabinafsisha baadhi ya Mageti, Je ufaninisi uliongezeka?je mapato yaliongezeka? Je tumejifunza nn kutokana na mkataba huo?
Solution niionayo mimi.
1. Tukamilishe upanuzi wa bandari ya Tanga - Uganda, Rwanda na Burudi ile ndo iwe destionation port yao.- hii sio tu itapunguza msongamao Dar bali pia itafufua uchumi wa Tanga.
2. Tukamilishe upanuzi wa Bandari ya Mtwara - Mizigo ya Zambia na Malawi ipitie huko. Hii nayo itapunguza msogamano Dar na kukuza mji wa Mtwara.
3. Dar ibaki na mizigo ya Congo na Mizigo ya Ndani tu.
4. Tujenge highway kwenda mikoa yote inayopakana na inchi jirani.
5. Tuwajengee uwezo watanzania waweze kuziendesha bandari zao..kuwalaumu na kuwatumbua kwakua tu hawaperfom km bandari za nje ni km kuwatumbua viongozi Simba na Yanga kwakua tu hawaendeshi vilabu vyao km na team za ulaya, uarabuni or asia...by theway kwann serikali haijalaumu kwa kutojiendesha km serikali za ng'ambo?
These people need exposure, resouces, support and political will.
6. Mimi sio muumini wa Bagamoyo. Sababu kuu ni kua tukiijenga hii bandari za Tanga na Mtwara ndo bai bai..no one will want to go there, 2nd ipo karibu sana na Dar which doesnt make sense...
Barabara ya mandela road,umetishaAmani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.
Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!
Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.
Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.
Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa
1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani
2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector
Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo
a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi
b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA
c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!
d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.
e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!
Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!
Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Pumbafu kabisa. Mmeshindwa kusimamia hiyo iliyopo na unasema eti wakijenga kubwa ndiyo watu hawataiba? Jinga!Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.
Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!
Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.
Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.
Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa
1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani
2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector
Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo
a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi
b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA
c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!
d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.
e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!
Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!
Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Mkuu 'Lord denning', siyo mara yangu ya kwanza kukusoma hapa JF. Unaonyesha ujinga sana.Umeshawai hata finally bandarini? Usikute unaongea hata Dar hujawai fika!
Waliopo Dar wanaopita njia ya baharini wakishuhudia foleni ya meli hadi mwezi kila siku hawapingi wewe ulioko kijijini huko unapinga pinga tu hapa
Ni ujinga kushindwa kusimamia serikali na kudhani kukabidhi kila kitu kwa wawekezaji ndiyo suluhisho. Huu ni uvivu na uzembe uliovuka mpaka, Kuna nchi nyingi tu zainafanya mambo yao bila kutegemea wawekezajidawa yao hao wote ni management nzimq isimamiwe na strong private sector!
Muwekezaji makini akiwa anamanage bandari hawezi kuacha upuuzi kama huo kuendelea maana utaharibu biashara yake na reputation yake
Huyo mtu kichwani zimefyatuka, hayupo sawa.Pumbafu kabisa. Mmeshindwa kusimamia hiyo iliyopo na unasema eti wakijenga kubwa ndiyo watu hawataiba? Jinga!
Kabisa.Huyo mtu kichwani zimefyatuka, hayupo sawa.
Nani kasema Bandari isimamiwe na serikali? Umesoma uzi au unakurupuka tu?Pumbafu kabisa. Mmeshindwa kusimamia hiyo iliyopo na unasema eti wakijenga kubwa ndiyo watu hawataiba? Jinga!
Unataka kusema Maraisi 6 wote wameshindwa kusimamia bandari vizuri? Unadhani wote walikuwa wanapenda Bandari kuwa hivi ilivyo? Wameteuliwa wangapi kuendesha na kusimamia Bandari?Ni ujinga kushindwa kusimamia serikali na kudhani kukabidhi kila kitu kwa wawekezaji ndiyo suluhisho. Huu ni uvivu na uzembe uliovuka mpaka, Kuna nchi nyingi tu zainafanya mambo yao bila kutegemea wawekezaji
ujinga unauonesha wewe!Mkuu 'Lord denning', siyo mara yangu ya kwanza kukusoma hapa JF. Unaonyesha ujinga sana.
Kwa hiyo Samia kamtumbua Eric, kwa sababu Samia hajawahi kuona msongamano wa bandari ya Dar; na Eric kashindwa kupambana na msongamano huo, ambao umesababisha atumbuliwe.
Wewe hapo, mjinga unaleta pendekezo ambalo hata lingetekelezwa bado Dar haitaleta ufanisi wowote. Halafu unakuja hapa na kujisifu juu ya Ngorongoro?
Hivi unayo akili timamu wewe?
Sasa kama una solution jitokeze hadharani akuteueAmani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.
Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!
Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.
Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.
Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa
1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani
2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector
Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo
a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi
b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA
c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!
d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.
e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!
Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!
Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Kurudia kufanya jambo kwa namna ile ile huky ukitegemea matokeo tofauti ni uendawazimu. BTW wakati wa mwalimu Nyerere hakukuwa na ufisadi wa kutisha kama sasa na serikali ilikuwa inatimiza majukumu yake mengi. Bandarini kumeanza kuoza kipindi cha Mwinyi na wote waliofuta walikuwa wanarudia makosa yale yale.Unataka kusema Maraisi 6 wote wameshindwa kusimamia bandari vizuri? Unadhani wote walikuwa wanapenda Bandari kuwa hivi ilivyo? Wameteuliwa wangapi kuendesha na kusimamia Bandari?
Aniteue mimi kuwa nani?Sasa kama una solution jitokeze hadharani akuteue
Nani kakwambia kipindi cha Mwalimu hakukuwa na ufisadi?Kurudia kufanya jambo kwa namna ile ile huky ukitegemea matokeo tofauti ni uendawazimu. BTW wakati wa mwalimu Nyerere hakukuwa na ufisadi wa kutisha kama sasa na serikali ilikuwa inatimiza majukumu yake mengi. Bandarini kumeanza kuoza kipindi cha Mwinyi na wote waliofuta walikuwa wanarudia makosa yale yale.
Tukipata serikali inayotumia akili tatizo la bandarini litapungua sana sana. Kulivyo na maendeleo ya teknolojia siyo rahisi kukosa solution. Bora waingie mkataba na kampuni yenye weledi ifanye utafiti wa kina na kuja na suluhisho la uendeshaji wa bandari (siyo waingie ubia).Nani kasema Bandari isimamiwe na serikali? Umesoma uzi au unakurupuka tu?