USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi
Hapa ndipo panapolengwa, mnaanzia mbaaaali ili mradi tu mfikie hapa.

Haridhishwi na kitu gani? Amesema madhaifu yoyote?
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Bandari bila reli ni kazi bure, kazi bure bureshi
 
Maendeleo ni process! Roma haikujengwa kwa siku moja! Kikubwa ni kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
Na watanzania tulivyo……tunashabikia viongozi dhaifu tulionao na hata kufikia kutetea kasi ndogo ya maendeleo yetu!
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Serikali yenyewe imeitelekeza bandari ya Dar huyo DG ataweza nini? Mkataba wa TICS ni kandamizi na TICS hawaperform na hawajawahi kuperform. Bandari haina miundombinu itakuwaje efficient? Yaani hata hivi vidaraja hicho cha Tazara na hicho kingine kinachojengwa cha Uhasibu vyote vimeigonore route ya Bandari ambayo ilipaswa kuwa kipaumbele. Yaani mzigo wa bandari unaweza kutumia masaa ma3 kutoka bandari mpk Ubungo ambapo ni chini km 15 halafu tunatafuta efficiency toka kwa DG kweli huku si kumuonea tuuuu? Dry port ya Kwala imekwama zaidi ya miaka 7, are we really serious au ndiyo tunapiga siasa kama kawaida yetu?
 
Kuna watu wananufaika na hiyo Bandari na ndio wanasabisha yote hayo yasifanyike,Hii nchi kuna watu wanahujumu miradi kwa sababu ya matumbo yao binafsi....Nasikia kuna watu wakisikia mradi wa Reli unafanikiwa matumbo yanawauma!!! Ubinafsi umewajaaa...
 
Serikali yenyewe imeitelekeza bandari ya Dar huyo DG ataweza nini? Mkataba wa TICS ni kandamizi na TICS hawaperform na hawajawahi kuperform. Bandari haina miundombinu itakuwaje efficient? Yaani hata hivi vidaraja hicho cha Tazara na hicho kingine kinachojengwa cha Uhasibu vyote vimeigonore route ya Bandari ambayo ilipaswa kuwa kipaumbele. Yaani mzigo wa bandari unaweza kutumia masaa ma3 kutoka bandari mpk Ubungo ambapo ni chini km 15 halafu tunatafuta efficiency toka kwa DG kweli huku si kumuonea tuuuu? Dry port ya Kwala imekwama zaidi ya miaka 7, are we really serious au ndiyo tunapiga siasa kama kawaida yetu?
Barabara ya Mandela Road haifai! kuna muda ukifika kule Bandarini unaweza kuacha gari ukaamua kuchukua pikipiki! Maroli yanaziba njia na kuweka foleni ya hatari sana!

Bila kujenga Bandari ya Bagamoyo na kurekebisha miundombinu hatuwezi ona ufanisi kwenye sekta ya Bandari kamwe
 
Kuna watu wananufaika na hiyo Bandari na ndio wanasabisha yote hayo yasifanyike,Hii nchi kuna watu wanahujumu miradi kwa sababu ya matumbo yao binafsi....Nasikia kuna watu wakisikia mradi wa Reli unafanikiwa matumbo yanawauma!!! Ubinafsi umewajaaa...
Dawa ni kuwapa private sector wajenge hizo reli na hiyo miundombinu as long as watakuwa wametoa hela zao na kukopa lazima watataka zijiendeshe kwa faida! Obvious hutaona kukwama au kuchelewa kwa mizigo na mifumo bandarini. Serikali tukusanye kodi na kusimamia ulinzi na usalama tu! Uendeshaji wafanye private sector
 
Serikali yenyewe imeitelekeza bandari ya Dar huyo DG ataweza nini? Mkataba wa TICS ni kandamizi na TICS hawaperform na hawajawahi kuperform. Bandari haina miundombinu itakuwaje efficient? Yaani hata hivi vidaraja hicho cha Tazara na hicho kingine kinachojengwa cha Uhasibu vyote vimeigonore route ya Bandari ambayo ilipaswa kuwa kipaumbele. Yaani mzigo wa bandari unaweza kutumia masaa ma3 kutoka bandari mpk Ubungo ambapo ni chini km 15 halafu tunatafuta efficiency toka kwa DG kweli huku si kumuonea tuuuu? Dry port ya Kwala imekwama zaidi ya miaka 7, are we really serious au ndiyo tunapiga siasa kama kawaida yetu?
TICS kuna malalamiko sana juu ya mkataba wao! it's high time huo mkataba uwe renegotiated au otherwise watolewe Alltwen muwekezaji mwingine mwenye uwezo
 
Amani iwe nanyi
Leo Rais wa JMT amemtumbua Mkurugenzi wa Bandari Ndug Erick Hamis.

Pamoja na kumtumbua Rais Samia amelalamika juu ya efficiency ya Mamlaka yetu ya Bandari na kusema kuwa Mamlaka hii ingekuwa inafanya kazi vizuri ingeweza kuchangia hata nusu ya mapato ya Bajeti yetu. Ni kweli kabisa naungana na Rais Samia kwenye hili!

Mfupa wa Bandari ni mfupa uliowashinda Marais karibu wote waliowai kutawala Tanzania! Hii imekuwa kawaida kila Rais mpya akiingia au Waziri Mkuu mpya akiteuliwa sehemu ya kwanzq kwenda kulalamika na kutumbua imekuwa Mamlaka ya Bandari Tanzania.

Kwa kumbukumbu zangu kuanzia kwa Mkapa, Kikwete, Magufuli hadi sasa Samia, Bandari hapajawai kupoa.

Hoja yangu kuu kwenye hili ni kwamba inawezekana sana bado hatujajua shida ni nini hasa pale Bandarini na kwa uelewa wangu mdogo napenda leo nimshauri Mhe Rais mambo ya kufanya na naamini kama nilivyoshauri kuhusu Ngorongoro na ikafanyika na sasa imefanikiwa basi nashauri juu ya hili la Bandari na naamini ikifanyika itafanikiwa

1. Lazima tukubali kuwa Bandari ya DSM haiwezi kuwa efficient kwa sababu imekuwa finyu kuhimili idadi ya mizigo, Meli na Magari kiushindani

2. Lazima tukubali kuwa Serikali haiwezi kuendesha bandari kwa ufanisi tunaoutaka katika dunia hii ya ushindani. Bandari kubwa zote duniani na zinazofanya vizuri kwenye soko la ushindani kuanzia Dubai, Hong Kong, Singapore, New York na nyinginezo, zinaendeshwa either kwa sehemu kubwa na private sector au kwa ubia baina ya Serikali na Private Sector

Hivyo ili kufanikiwa kupata ufanisi hapa Tanzania kwenye sekta ya Bandari , Lazima tutake tusitake, tufanye yafuatayo

a. Kwa haraka sana, Ijengwe Bandari ya Bagamoyo ambayo iwe na Gati zisizopungua 40. Bandari hii iendeshwe na Private sector with exception kwenye masuala ya Ulinzi, Usalama na Kodi

b. Sekta binafsi wapewe pia fursa ya kujenga Miundombinu ya Reli na barabara kuunganisha Bandari ya Bagamoyo na Jiji la Dar es Salaam ikiwemo reli ya kati SGR na TAZARA

c. Bandari za DSM, Tanga, Mwanza na Kigoma na Mtwara ziendeshwe kwa ubia na Private sector. Serikali isimamie masuala ya kodi , ulinzi na usalama tu!

d. Barabara ya Mandela Road( dsm) itanuliwe kuwekwa njia 8 kutokea Bandarini hadi Ubungo na utanuzi wa njia 6 uendelee kutoka Kimara hadi Ubungo. Hii ni ili kuleta ufanisi wa usafirishaji mizigo katika Jiji la Dsm. Ikiwezekana Private sector washirikishwe kwenye hili.

e. Kulikuwa na Mpango wa Kujenga Barabara ya Malori kutokea Bandarini hadi Chalinze. Mpango huu ufufuliwe na barabara hii ijengwe hata kwa kutumia Private sector! Fedha zitarudi haraka sana hata kwa toll tax!

Nchi kubwa duniani ziliona hili na wakaamua kufanya! Hata kwa Tanzania Serikali iking'ang'ania kuendesha bandari kila siku mtaishia kushikana uchawi na kutumbuana!

Ni suala la kuamua tu na wakati ni sasa
Bandarini kumeoza kweli kweli. Mwezi uliopita nilikuwa nimetokea zangu huku Dk Mwinyi na kuna machine flani flani used nilikuwa nimenunua. Hivo nikalazimika kusafiri na meli ya mizigo ili nikifika nitoea kabisa mzigo wangu. Baada ya meli kufunga gati nilikaa kwa muda wa masaa matatu nikisubiri mtu wa kuja kukadiria CBM ya mzigo wangu. Baada ya makadirio nilipewa control number ya kwenda kulipia, ili kuokoa muda nikamtafuta potter mmoja nikamkabidhi kazi ya kwenda kulipia na mimi nikatoka nje kutafuta gari. Baada ya kurudi na gari na tayari potter ameshalipia wafage na sms ninayo kwenye simu yangu, walinzi wakagoma kuruhusu gari kupita getini. Nikamwuliza dereva shida ni nini akasema wanataka tuwape elfu 20 ili waruhusu gari. Nikamwita yule mlinzi nikamwuliza tatizo ni nini akabaki anajiuma jiuma tu, nikamwambia nina haraka nimetoka kazini Zanzibar natakiwe nifikishe huu mzigo nyumbani na nirudi zanzibar, akaanza kuniuliza wewe unafanya kazi gani nikamwambia siyo juumu lako. Na kama unataka nikupe hiyo elfu 20 nipe control number na nikamwambia dereva usiondoe gari hapa acha tuweke foleni.

Kinyonge saana akaruhusu gari kwende mbele tena kuna geti lingine kwenye kona kushoto nako wanataka hela ili gari kupita nikawambia wasubiri nirudi, kifupi kila mahali na kila mtu anataka hela. Huo ni mzigo tu mdogo ambao umetokea ZNZ vipi mizigo mikubwa? Bandarini kuna laana hata huyu aliyechukuwa nafasi naye atafurushwa tu kwa sababu Tanzania tunaanza kufundisha rushwa vijana wetu wakiwa wadogo. Kwa nini utakuta kijana anafuatilia cheti cha kuzaliwa anakwenda ofisi ya serikali anaambiwa kama unataka cheti ndani ya wiki moja toa elfu 50, ila kama hauna haraka lipia hiyo serikali ambayo nadhani ni elfu 10, unajiuliza mtu huyu huyu anauwezo wa kufanya hiyo kazi kwa siku chache lakini anataka rushwa kwanza.

Niseme tu kuwa hakuwezi kuwa na efficiency bandarini kwa sababu kinachofanyika ni miradi ya watu kupiga hela
 
Bandari imeshatushinda kuiendesha, bado tuna akili za kitoto kwenye uendeshaji wa biashara na usimamizi, we are not matured enough to run these show.

Watu wetu wengi kwenye management and control ni zero na sio wakutegemea kabisa.
Tuna jamii ya watu wavivu, wezi, walevi, wazinzi na wasiojali chochote.
Hayo yote yameletwa na malezi mabaya kuanzia ngazi za familia, mfumo mbaya na mbovu wa elimu, jamii kuishi kwa kudekezana, Serikali kudekeza watu wake nk.

NINI KIFANYIKE PALE BANDARINI? naelezea chini kwa kirefu.
 
NINI KIFANYIKE?

Kwasasa serikali ipige hesabu zake, kiasi gani cha fedha bandari kila mwezi inaingiza kwenye Hazinia yetu, kuanzia Kodi na mapato mengine. Tukishapata figure kamili ya kiasi cha fedha kwa mwezi kama mapato yetu, twende stage ya pili.

Tutafute muwekezaji mwenye jina kubwa kwenye operations za bandari kama MSC au MAERSKY nk, tubinafsishe bandari na operations zake kwa makubaliano ya yeye kutulipa kiasi kile cha fedha kulingana na hesabu zetu.
Tumpe kwa kuanzia miaka 10 afanye kuanzia management na operation kwa hiyo miaka 10.

Muwekezaji apewe mamlaka ya kuajiri kwa kuleta watu wenye uwezo kwenye utawala na uendeshaji.
Watanzania wabaki waajiriwa kwa muwekezaji na serikali iachane kabisa kudeal na uendeshaji wa bandari.
Serikali iwe na joint forces na muwekezaji kwa ajiri ya kumonitor mapato na malipo kwa serikali, kwenye joint force kuwe na watu wetu wa system wenye akili timamu wajaribu kuona in 10yrs muwekezaji anaingiza kiasi gani.
Serikali iwe haina mwajiriwa hata mmoja bali waajiriwa wote wawawe wameajiriwa na mwekezaji na mamlaka ya kuhire,kufire na kulipa mishahara ibaki chini yake muwekezaji.
 
Jambo muhimu ambalo linaweza kuwa na msaada maeneo mengine.

Serikali iache kutoa ajira za kudumu kwa wafanyakazi wake, Serikali ianze kupima waajiriwa wake kulinagana na utendaji kazi wao, Serikali ianze utaratibu kwa kuongeza mishahara na kupandisha vyeo kutokana na utendaji wa mhusika. Serikali isisite kufukuza kazi watendaji wazembe kila uzembe unapotokea.
 
Naomba kuuliza, tulifanya PPP na TICS, tukabinafsisha baadhi ya Mageti, Je ufaninisi uliongezeka?je mapato yaliongezeka? Je tumejifunza nn kutokana na mkataba huo?
Solution niionayo mimi.

1. Tukamilishe upanuzi wa bandari ya Tanga - Uganda, Rwanda na Burudi ile ndo iwe destionation port yao.- hii sio tu itapunguza msongamao Dar bali pia itafufua uchumi wa Tanga.

2. Tukamilishe upanuzi wa Bandari ya Mtwara - Mizigo ya Zambia na Malawi ipitie huko. Hii nayo itapunguza msogamano Dar na kukuza mji wa Mtwara.

3. Dar ibaki na mizigo ya Congo na Mizigo ya Ndani tu.

4. Tujenge highway kwenda mikoa yote inayopakana na inchi jirani.

5. Tuwajengee uwezo watanzania waweze kuziendesha bandari zao..kuwalaumu na kuwatumbua kwakua tu hawaperfom km bandari za nje ni km kuwatumbua viongozi Simba na Yanga kwakua tu hawaendeshi vilabu vyao km na team za ulaya, uarabuni or asia...by theway kwann serikali haijalaumu kwa kutojiendesha km serikali za ng'ambo?
These people need exposure, resouces, support and political will.

6. Mimi sio muumini wa Bagamoyo. Sababu kuu ni kua tukiijenga hii bandari za Tanga na Mtwara ndo bai bai..no one will want to go there, 2nd ipo karibu sana na Dar which doesnt make sense...
WAZO ZURI SANA SIJAJUA KUNA WATU WANA AKIKLI HIVI. TATIZO NCHI HII VIONGOZI WAMEKARIRI KILA KITU DAR ES SALAAM KANDA ZINGINE ZITAENDELEAJE KWA MTINDO HUU. HALAFU NJIA YA USAFIRISHAJI ILIEILE. WABORESHE BARABARA KWA MFANO KWA MIZIGO KUTOKEA TANGA WAJENGE BARABARA YA LAMI KUTOKEA KARATU-MEATU-MASWA MIZIGO YOTE YA KANDA YA ZIWA ITAPITIA KULE PAMOJA NA YA NCHI JIRANI ZA RWANDA, UGANDA. JAMANI KWANINI KILA KITU DAR? NDIO MAANA WATU WAMEJAZANA HUKO KWASABABU MAENEO MENGIE MMEWANYIMA FURSA WANAKIMBILIA DAR. MUNGU AWAFUNGUE AKILI VIONGOZI WETU.
 
NINI KIFANYIKE?

Kwasasa serikali ipige hesabu zake, kiasi gani cha fedha bandari kila mwezi inaingiza kwenye Hazinia yetu, kuanzia Kodi na mapato mengine. Tukishapata figure kamili ya kiasi cha fedha kwa mwezi kama mapato yetu, twende stage ya pili.

Tutafute muwekezaji mwenye jina kubwa kwenye operations za bandari kama MSC au MAERSKY nk, tubinafsishe bandari na operations zake kwa makubaliano ya yeye kutulipa kiasi kile cha fedha kulingana na hesabu zetu.
Tumpe kwa kuanzia miaka 10 afanye kuanzia management na operation kwa hiyo miaka 10.

Muwekezaji apewe mamlaka ya kuajiri kwa kuleta watu wenye uwezo kwenye utawala na uendeshaji.
Watanzania wabaki waajiriwa kwa muwekezaji na serikali iachane kabisa kudeal na uendeshaji wa bandari.
Serikali iwe na joint forces na muwekezaji kwa ajiri ya kumonitor mapato na malipo kwa serikali, kwenye joint force kuwe na watu wetu wa system wenye akili timamu wajaribu kuona in 10yrs muwekezaji anaingiza kiasi gani.
Serikali iwe haina mwajiriwa hata mmoja bali waajiriwa wote wawawe wameajiriwa na mwekezaji na mamlaka ya kuhire,kufire na kulipa mishahara ibaki chini yake muwekezaji.
Umetoa madini sana ndugu yangu. Asante sana

Uendeshaji wote apewe muwekezaji ambae awe na mamlaka ya kuhire and fire. Kwa mfumo wetu wa malezi unaowafanya watu waishi kuwaza kupiga na kupata utajiri wa fasta kamwe hatuwezi kupata ufanisi kwenye Bandari
 
Back
Top Bottom