Hili suala linawavua nguo sana waislam maandazi mkuu. Hawa maamuma wajukuu wa allah wasiojitambua ndio chanzo cha watu kukashfu uislam humu JF kwani sijui wana roho gani. Yaani kila kitu afanyacho muarabu wao ni sawa kwa kuwa ni wenzao katila Allah. Kujibizana nao unajipotezea muda ru bro.
 
Wa Ijumaa mwenzao huyo, hawawezi kumtimua!
 
Ungetoa mimba ungekufa, na usiendelee kuzitoa kama ulivyozoea wewe ni Mama Mpumbavu we ni mamangu kabisa!!
Usiongelee SUA ya bongo, kila mtu anajua na ameona hata list ya graduates, nauliza huko Israel walikua internship katika chuo gani au ofisi gani au kitengo gani?? Na wailkua wakiishi wapi na tukio liliwakuta katika mazingira gani?? Hizo ni info rahisi tu ila naona kichefuchefu tu ndo kinakusumbua na halahala USITOE MIMBA!!
 
Tatizo na sa100 ni pro-hamas
 
Wewe unajua kiarabu tafsiri Kwenye video wanasemaje
 
Palestina hawana faida yoyote nafuu Israel wanaleta teknolojia na misaada
 
Hapa kwenu wamekufa wangapi na umepaza sauti mara ngapi

Umeandika mara ngapi kuhusu Ben saa8, Azory, Akwlina, Alphons, Lwajabe! Huna uhalali wa kumpigania aliyopo uwanja wa vita ikiwa umeshindwa kumpigania aliyopo uwanja wa amani!
 
Wanaweza wakasema huyu balozi hatokani na hamas, anatokea chama chama fatah kinachotawala ramallah. Hii nchi isingekuwa inaogopa nchi za kiarabu zenye kuwapendelea wapalestina huyu balozi wao angefungashiwa virago kuonesha hatujakubali kitendo alichofanyiwa raia wetu. Hao magaidi ni wapumbavu sana walishindwa nini kutambua hata rangi yake tu kuwa huyo si muisrael? Mtu anaonekana mpaka kuongea kwake si myahudi wala mwarabu kwa nini wamuue?
 
haina haja,
Kwanza huyo balozi ni wa kutoka serikali ya Ghaza chini ya Hamasi au ni kutoka serikali ukingo wa Magharibi chini ya Fatah?

Anawakilisha Palestine ipi?

Tuanzie hapo kwanza
 
Ukiangalia ile video ya mauaji ya kijana mdogo kabisa wa Kitanzania ambaye alikuwa anajitetea kwa kujieleza kuwa ni Mtanzania, lakini ukiacha utetezi wake, wauaji walijua fika kuwa yule siyo Muisrael kulingana na wajihi wake na rangi yake.
Hoja nzuri na naiunga mkono, lakini nina swali moja je Palestinian Authority iliyochini ya chama cha Fattah inawatambua hao Hammas kama nao ni wawakilishi?

Akisema NDIYO asindikizwe hadi Airport tena ikibidi kwa Gobole.
 
Bila kujua chimbuko la mgorogoro huu wa Palestina na Israel utawalau Hamas bure ... hata kivyo RIP KIJANA WETU...

Wewe pia ni mjinga au ndani yako una roho ya ugaidi. Au wewe ni miongoni mwa masalia ya yale magaidi ya Kibiti ambayo sahizi yapo Msumbiji.

Hiyo historia ya mgogoro wa Palestina ina husiana vipi na kijana wetu aliyeuawa kinyama na haya mashetani?

Siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na mwenye utu wa kibinadamu anaweza kuona haya mashetani ya Hamas yalichokifanya ni sahihi.

Hii inatupa picha halisi ya haya magaidi ya Hamas jinsi yalivyo. Kwa majitu kama haya, inachofanya Israel dhidi yao ni sahihi. Maana majitu ya namna hii, usipoyadhibiti, yatamaliza watu wote.
 
Wewe Nyathika sijui nani unapaswa utumie akili kidogo, Kwa wale tuliopata bahati ya kupitia vyuo vikuu hasa vya nje tunajua jinsi Israel walivyo na utaalam wa kilimo kuanzia cha Horticulture na Matunda, na jinsi walivyoweza kubadilisha sehemu kubwa ya sehemu yao iliyokuwa jangwa kwenda kuwa sehemu productive, utashangaa leo Israel inaongoza kwa kilimo na wanafunzi wa nchi zote duniani wanakwenda huko kujifunza, kugeuza sehemu ambazo ni arid au semi- arid siyo mchezo, Wanafunzi waliotoka SUA, Uyole na LITI nk huwa wana kawaida ya kwenda kujifunza Israel. Na kawaida ukiwa huko unafanya kilimo kwa vitendo na wanakaa katika communal settlements zinaitwa Kibbutz, kwa hiyo hao jamaa zako magaidi wa Hamas walipowavamia walikuta wanafunzi wengi tu wakiishi maisha ya kwenye community hiyo. Siyo lazima ukiwa huko lazima uishi vyuoni, unaishi kwenye community ili kujifunza. Na hili si jambo jipya kwani hata rais wa China Xi Jiaping alivyokuwa kwenye studies USA aliishi na family ya kimarekani huko Iowa badala ya kuishi chuoni. Kibbutz Orr ilipovamiwa tarehe 7 october ndiyo hayo yaliwakuta. kwa hiyo acha kuwatetea hao wauaji Hamas. Wataendelea kupigwa hadi waishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…