Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi


Mcheki Maza ako maana ndo anajua kichaa chako kama kilipungua
 
[emoji478]
FB_IMG_1689244373343.jpg
 
Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Usituchoshe bure wewe ndiyo unawafahamu zaidi kiasi cha kufanya maamuzi mwenyewe.Sisi tukuchagulie kweli na wewe ndiyo unajua sifa zao! Hata hivyo ningekuwa mimi ningewapiga chini wote na kutafuta wife material.Ukifanya uamuzi wa kuoa mmoja wapo wa hao usisite kuja hamvini kutupatia mrejesho wa ndoa kusambaratika.
 
Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Oa bamedi maana huyu ataturia kama una hamau ya kupata kitunguu maji oa single mother
 
Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Just imagine unaongea na mama yako kuhusu hili suala, unadhani yeye angependelea yupi kati ya hao wawili.

NB: kibiblia mama yako ndo anajua sifa za mke anayekufaa.
 
Back
Top Bottom