Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanya kazi baa ni sawa na kujitoa muhangaSio kila bar maid ni malaya, nakushauri chukua bar maid
Asante Sana mkuuAchana na single mother
Achana na single mother
Achana na single mother
Kama hutosikia uradidi huu
Utakufa ukiwa na miaka 40 takriban
Nimchukue nani sasaKufanya kazi baa ni sawa na kujitoa muhanga
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Wakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Usituchoshe bure wewe ndiyo unawafahamu zaidi kiasi cha kufanya maamuzi mwenyewe.Sisi tukuchagulie kweli na wewe ndiyo unajua sifa zao! Hata hivyo ningekuwa mimi ningewapiga chini wote na kutafuta wife material.Ukifanya uamuzi wa kuoa mmoja wapo wa hao usisite kuja hamvini kutupatia mrejesho wa ndoa kusambaratika.Wakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Oa bamedi maana huyu ataturia kama una hamau ya kupata kitunguu maji oa single motherWakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Just imagine unaongea na mama yako kuhusu hili suala, unadhani yeye angependelea yupi kati ya hao wawili.Wakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Kimboka By Night, Mkuu umenikumbusha mbali sanaa😂😂😂Ni Bora uoe Malaya wa kimboka kuliko single mother mwenye watoto 2 kila mmoja na baba yake.