Ukikataliwa na barmaid aisee wee ukajinyonge tuuAliyewahi kukataliwa na barmaid atoe ushuhuda hapa kwamba barmaids siyo malaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikataliwa na barmaid aisee wee ukajinyonge tuuAliyewahi kukataliwa na barmaid atoe ushuhuda hapa kwamba barmaids siyo malaya.
Kama unataka kufa mwakani, oa huyo singo mazaWakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Huoni anaitwa scholastika anataka umchukue yeye. wasilam wanasema umsitiri. anataka kusitiriwa na mhuniNimchukue nani sasa
Nakwambia wazazi wako wana hasara hivi hujaelewa bado,ila nyie watoto mtakuja kutuua imagine kijana wako anakuletea hizo options,watoto tuoneeni huruma jamani mtatuua kwa presha.Nimchukue nani sasa
Aaah,mimi tena nimetulia kwenye ndoa yangu sijawahi kuwa na mahusiano nje ya ndoaHuoni anaitwa scholastika anataka umchukue yeye. wasilam wanasema umsitiri. anataka kusitiriwa na mhuni
Basi nikuchukue weweNakwambia wazazi wako wana hasara hivi hujaelewa bado,ila nyie watoto mtakuja kutuua imagine kijana wako anakuletea hizo options,watoto tuoneeni huruma jamani mtatuua kwa presha.
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ona sasa yaleyale nilomaliza kuongeaBasi nikuchukue wewe
Tumia akili dogo acha kuendeshwa na mihemkoBasi nikuchukue wewe
Nakwambia wazazi tunapitia magumuTumia akili dogo acha kuendeshwa na mihemko
Mkubwa niaje? Kwa uzoefu wangu wengi wa mabarmaid wamepita kwenye ndoa na Wana watoto huko walikotoka,halafu kama ni changamoto kwa maisha yetu ya kibongo ni wanawake wengi wanapitia ila kinachofanya waingie kwenye ubarmaid ni hulka ya uhuni na kupata pesa bila jasho,maana Kuna kazi nyingi sana za kufanya ambazo zinaendana na maadili lakini wao hawazitaki,halafu hapo kwenye kumbadilisha mtu asije akajidanganya hata siku moja,yani kama Mungu tu aliyemuumba ameshindwa kumbadilisha tabia mpaka anafanya kazi isiyo na maadili yeye ni nani hasa mpaka aweze kumbadilisha?Sijaisoma thread yako ila kichwa cha habari kimenifanya nicommmet..BAR MAID anafaa sana. Wengi wao ni wake wazuri sana..story za maisha waliyopitia na changamoto za maisha ndio zimewafanya wawe hapo...unaweza ukambadilisha akawa mke Mzuri...ila single mother sikushauri wengi ni problematic huwezi ishi nae..
Daladala iwe gari binafsi ya kutembelea..? Mmmhh lift itakua ya watu wengi mnoMkuu oa huyo bar maid, hiyo kazi yake isiwe kikwazo sana ikiwa anajitambua mana si utamwachisha au? Pia huyo bar maid hatakuwa na jipya la kupapalikia na pia moyo wake uko na amani sana mana ameshazoea fujo, matusi na kejeli za walevi hivyo atakuwa na busara sana.
Kumbuka mwanamke humheshimu na kutokumsahau mwanaume alie fanya aitwe mama shauri yako.