Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Kama unataka kufa mwakani, oa huyo singo maza
 
Single mother,huyu ataendelea kuwasiliana na wazaz wenzake so kupasha vipolo inaweza kutokea japo sio lazima,huyu bar maid ndio achana nae kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Sijaisoma thread yako ila kichwa cha habari kimenifanya nicommmet..BAR MAID anafaa sana. Wengi wao ni wake wazuri sana..story za maisha waliyopitia na changamoto za maisha ndio zimewafanya wawe hapo...unaweza ukambadilisha akawa mke Mzuri...ila single mother sikushauri wengi ni problematic huwezi ishi nae..
 
Sijaisoma thread yako ila kichwa cha habari kimenifanya nicommmet..BAR MAID anafaa sana. Wengi wao ni wake wazuri sana..story za maisha waliyopitia na changamoto za maisha ndio zimewafanya wawe hapo...unaweza ukambadilisha akawa mke Mzuri...ila single mother sikushauri wengi ni problematic huwezi ishi nae..
Mkubwa niaje? Kwa uzoefu wangu wengi wa mabarmaid wamepita kwenye ndoa na Wana watoto huko walikotoka,halafu kama ni changamoto kwa maisha yetu ya kibongo ni wanawake wengi wanapitia ila kinachofanya waingie kwenye ubarmaid ni hulka ya uhuni na kupata pesa bila jasho,maana Kuna kazi nyingi sana za kufanya ambazo zinaendana na maadili lakini wao hawazitaki,halafu hapo kwenye kumbadilisha mtu asije akajidanganya hata siku moja,yani kama Mungu tu aliyemuumba ameshindwa kumbadilisha tabia mpaka anafanya kazi isiyo na maadili yeye ni nani hasa mpaka aweze kumbadilisha?
 
Mkuu oa huyo bar maid, hiyo kazi yake isiwe kikwazo sana ikiwa anajitambua mana si utamwachisha au? Pia huyo bar maid hatakuwa na jipya la kupapalikia na pia moyo wake uko na amani sana mana ameshazoea fujo, matusi na kejeli za walevi hivyo atakuwa na busara sana.

Kumbuka mwanamke humheshimu na kutokumsahau mwanaume alie fanya aitwe mama shauri yako.
Daladala iwe gari binafsi ya kutembelea..? Mmmhh lift itakua ya watu wengi mno
 
Back
Top Bottom