Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sijui yule mzee wa kataa ndoa atapita huku
Anataka kubinafsisha shirika la umma aiseee[emoji23]Yaani unataka ugeuze daladala iwe usafiri binafsi?
[emoji3][emoji3]Anataka kubinafsisha shirika la umma aiseee[emoji23]
Hana cha kupoteza na anajua maisha ni niniBar maid form 4, single Maza engineer
HahahahaNachukua point wakuu
Mpaka Sana bar maid anaongoza
Poapoa
Mzee wa Liverpool VPN
Sijui yule mzee wa kataa ndoa atapita huku
Bora huyo wa siteangalia anayetoa mchezo vizur uoe au njoo sait kuna dem tunabeba naye tofari umuoe
Sio kila baa maid ni mtoaji, wengine wapo kikazi na maisha tuHzo sifa ulizoziona za kufaa kuwa mke kwahuyo barmaid ni zipi.?? Maana hao watu bana daahh ni ngumu sanaa kutuchomoleaga wajuba
Watoto wawili kila mmoja na baba yake bro ur the next victim kama utachagua single motherWakuu
Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani
Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.
Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo
Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Unafikiri huyo single maza atatoa ushirikiano katika hayo mahojiano???Single Mother, ila muhoji kwanza ni kwanini amekuwa Single
Unaweza Kuta mwanamke ni Bar maid harafu single mom.Patamu hapo 😁😁Mkuu oa huyo bar maid, hiyo kazi yake isiwe kikwazo sana ikiwa anajitambua mana si utamwachisha au? Pia huyo bar maid hatakuwa na jipya la kupapalikia na pia moyo wake uko na amani sana mana ameshazoea fujo, matusi na kejeli za walevi hivyo atakuwa na busara sana.
Kumbuka mwanamke humheshimu na kutokumsahau mwanaume alie fanya aitwe mama shauri yako.
Aliyewahi kukataliwa na barmaid atoe ushuhuda hapa kwamba barmaids siyo malaya.Sio kila bar maid ni malaya, nakushauri chukua bar maid
Kha engineer kabeba mimba na de liboloz mbili tofauti. Aisee job true true!Bar maid form 4, single Maza engineer