Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Ushauri tafadhali: Nimchague yupo kati ya single mother na Bar maid?

Mm kuna dada nimezaa nae na tayari tushatemana na anamtu wake tayari na mtoto nakaa nae kila akija kumuona mtoto uwa ni mim tu ndiyo naamua kumuacha, sasa siku ya mkesha akanipgia anataka kuja ghetto usiku saa nne akaja akalala na mchezo nikala tena wa kiwango cha juu nilikuja gundua aligombana na uyo jamaa yake kauli alotoa kuwa wazaz uwa hawaachani hata sema sikupenda na sasa najitahidi kumkwepa sana so utapata jibu by experience kwa single mother.
 
Mm kuna dada nimezaa nae na tayari tushatemana na anamtu wake tayari na mtoto nakaa nae kila akija kumuona mtoto uwa ni mim tu ndiyo naamua kumuacha, sasa siku ya mkesha akanipgia anataka kuja ghetto usiku saa nne akaja akalala na mchezo nikala tena wa kiwango cha juu nilikuja gundua aligombana na uyo jamaa yake kauli alotoa kuwa wazaz uwa hawaachani hata sema sikupenda na sasa najitahidi kumkwepa sana so utapata jibu by experience kwa single mother.
Single maza sio wa kufanya nao maisha
 
Mm kuna dada nimezaa nae na tayari tushatemana na anamtu wake tayari na mtoto nakaa nae kila akija kumuona mtoto uwa ni mim tu ndiyo naamua kumuacha, sasa siku ya mkesha akanipgia anataka kuja ghetto usiku saa nne akaja akalala na mchezo nikala tena wa kiwango cha juu nilikuja gundua aligombana na uyo jamaa yake kauli alotoa kuwa wazaz uwa hawaachani hata sema sikupenda na sasa najitahidi kumkwepa sana so utapata jibu by experience kwa single mother.
Single maza sio wa kufanya nao maisha
 
Single maza sio wa kufanya nao maisha
Hakika kaka yani nachokiona we acha tu kila akimis mchezo kaja kwangu kwa jamaa anampiga pesa ananitumia ananambia mnunulie mtoto kitu fulan sasa binafsi nikampiga stop mana sijawahi shindwa kumuhudumia mwanangu lakin anadai namnyima uhuru wakumuhudumia mwanae pale anapoweza, na tangu agundue namkwepa ndiyo akatoa kauli kuwa wazazi hawaachani tena alienda mbali akadai hata aolewe au nioe bado tutakulana tu akiamua kwani ananijua vyema anajua wapi aanzie.
 
Wakuu

Mimi ni kijana miaka 30 sasa, nimekuwa nikijihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanawake wa aina tofauti tofauti, lakini mwisho wa siku najiona kabisa nahitaji kuoa mapema hapo mwakani

Changamoto yangu kubwa nashindwa kuamua kati ya kumuona baa maid ambaye hajawahi kuzaa I mean yupo single na ana kila sifa za kuwa mke tatizo kazi yake.

Wa pili ni single mother mwenye watoto wawili kila mtoto na Baba yake lakini mbali na hii naye pia ana sifa zote ninazohitaji mke wangu awe nazo

Wanajamvi naombeni ushauri nifanye chaguo sahihi
Achana nao hao wote wawili.

Tafuta mwingine.
 
Hakika kaka yani nachokiona we acha tu kila akimis mchezo kaja kwangu kwa jamaa anampiga pesa ananitumia ananambia mnunulie mtoto kitu fulan sasa binafsi nikampiga stop mana sijawahi shindwa kumuhudumia mwanangu lakin anadai namnyima uhuru wakumuhudumia mwanae pale anapoweza, na tangu agundue namkwepa ndiyo akatoa kauli kuwa wazazi hawaachani tena alienda mbali akadai hata aolewe au nioe bado tutakulana tu akiamua kwani ananijua vyema anajua wapi aanzie.
Aisee
 
Mkuu oa huyo bar maid, hiyo kazi yake isiwe kikwazo sana ikiwa anajitambua mana si utamwachisha au? Pia huyo bar maid hatakuwa na jipya la kupapalikia na pia moyo wake uko na amani sana mana ameshazoea fujo, matusi na kejeli za walevi hivyo atakuwa na busara sana.

Kumbuka mwanamke humheshimu na kutokumsahau mwanaume alie fanya aitwe mama shauri yako.
Sure naona kwa jirani yangu hapa, alibeba huyo miaka ya nyuma huko hadi leo they're walking pamoja.

Japo huyu ana kiburi tu jamaa anadai nasi tunaona 😃!.
 
Zote ngumu kumeza ebu endelea kutafta afu ulete tkuchagulie tena ikipendeza uje na picha zao
 
Kuoa single maza hakuna tofauti na kujichimbia kaburi lako kabisa alafu uwe unalala humo kulilinda huku unasubiria siku ya kufa
 
Mm kuna dada nimezaa nae na tayari tushatemana na anamtu wake tayari na mtoto nakaa nae kila akija kumuona mtoto uwa ni mim tu ndiyo naamua kumuacha, sasa siku ya mkesha akanipgia anataka kuja ghetto usiku saa nne akaja akalala na mchezo nikala tena wa kiwango cha juu nilikuja gundua aligombana na uyo jamaa yake kauli alotoa kuwa wazaz uwa hawaachani hata sema sikupenda na sasa najitahidi kumkwepa sana so utapata jibu by experience kwa single mother.
🤔🤔🤔🤔Kwaiyo nilikua nachapiwa unataka kusema dah Eeh Mungu nieoushe na hiki kikombe
 
Back
Top Bottom