Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Mm kuna dada nimezaa nae na tayari tushatemana na anamtu wake tayari na mtoto nakaa nae kila akija kumuona mtoto uwa ni mim tu ndiyo naamua kumuacha, sasa siku ya mkesha akanipgia anataka kuja ghetto usiku saa nne akaja akalala na mchezo nikala tena wa kiwango cha juu nilikuja gundua aligombana na uyo jamaa yake kauli alotoa kuwa wazaz uwa hawaachani hata sema sikupenda na sasa najitahidi kumkwepa sana so utapata jibu by experience kwa single mother.