Nakubaliana na wewe kuwa wanawake ndo wapiga kura ingawa sina uhakika na asilimia, na nimesema mfumo dume si kwa wanaume tu wapo wanawake wengi wamewabeza wanawake wenzao kuwaona hawawezi.
Swali lako la b, yawezekana walipoamua kuingiza vitimaalumu walifanya study unluck i was not there na sijui historia yake.
Swali la c, nauliza how pure wabunge wa majimbo they are? au je hakuna wabunge wababa ni vilaza? Mimi naona asilimia ndogo hata haizidi 30 ya wabunge wanaume ni wazuri, je unasemaje katika hili? tuwafanyaje hawa? wako safi kwa kuwa ni wamajimbo? hivi ni kweli in every sekta tunataka watu wote wawe wazuri? mbona kila eneo tuna watu wa aina zote? ni wabunge tu wa viti maalumu? no way? Tujenge hoja nyingine lakini si ya uzuri.
Vipi uteuzi wa kura za maoni kwa wa majimbo? je hatuna watoto wa wakubwa? hatuna walio na uhusiano na wakubwa? kwenye idara nyingine serikalini au kwenye ajira hakuna nepotisim? ni vitimaalumu tu?
Swali lako la e, mi naona yes wakidai kupata wawakilishi wafanyiwe hivyo, suala si uwakilishi? what the problem? money?
Swali la mwisho, tunataka uwiano unaokubalika, wamama wakizidi ni problem wala si upande wa wanawake tu.